The BBC World Service is an international broadcaster, owned and operated by the BBC. It is the world's largest of any kind. It broadcasts radio news, speech and discussions in more than 40 languages to many parts of the world on analogue and digital shortwave platforms, internet streaming, podcasting, satellite, DAB, FM and MW relays. In 2015, The World Service reached an average of 210 million people a week (via TV, radio and online). In November 2016, the BBC announced that it would start broadcasting in additional languages including Amharic and Igbo, in its biggest expansion since the 1940s.The World Service is funded by the United Kingdom's television licence fee, limited advertising and the profits of BBC Studios. The service is also guaranteed £289 million (allocated over a five-year period ending in 2020) from the UK government. The World Service was funded for decades by grant-in-aid through the Foreign & Commonwealth Office of the British Government until 1 April 2014.BBC World Service English maintains eight different regional feeds with several program variations, covering, respectively, East and South Africa; West and Central Africa; Europe and Middle East; Americas and Caribbean; East Asia; South Asia; Australasia; United Kingdom. There are also two separate online-only streams with one being more news-oriented, known as News Internet. The service broadcasts 24 hours a day.
The current controller of BBC World Service English is Mary Hockaday.
Hakuna binadamu aliye mkamilifu. Rais SSH alifanya makosa kwa kutoa kauli zisizo "sahihi" ktk interview yake na Salum Kikeke wa BBC.
Hilo siyo jambo geni kumtokea kiongozi yeyote yule. Kinachofanyika ktk mazingira kama hayo ni kiongozi mwenyewe, au wasaidizi wake, kujitokeza kuomba RADHI na...
Ushauri aliotoa Binamu Bananga kwa CHADEMA kuhusu Mahojiano ya Rais Samia na BBC
Makamanda habari za jioni? Naamini wengi tumesikiliza mahojiano ya mama Samia na Kikeke, Nimeona Kaka yangu Lema ameandika Mahali kwamba Chama Kitakutana kumjibu, nimeshtuka kidogo, tunataka kujibu nini? Mimi...
Speech Mh. Samia Suluhu Hassan jana akihojiwa na Kikeke wa BBC naona imeligawa taifa. Kwamba tabaka la watawala na Watawaliwa.
Na kwamba ukishaazishwa uongo basi unasimamiwa na wote ili kulinda madaraka.
Kundi hili la watawala wanawatoza watawaliwa wanyonge makodi makubwa bila kujali kama...
Tathmini yangu ya juu ya mahojiano kati ya BBC Na Rais Samia Suluhu Hassan.
Na Dotto Bulendu (MwanaPuge).Nikiandika kutoka kijijini Puge.
@@@@@@
BBC wamefanikiwa kuongeza umaarufu wao Kwa Siku ya jana Kwa Maana ya Idadi ya watu wanaowasikiliza na kuwatazama kupitia Vyombo vyao vya Redio,TV na...
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani- Chadema- Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi.
Katika mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Salim Kikeke, Rais Samia amesema ana imani sheria itachukua mkondo wake...
bbcswahili
freeman mbowe
kesi ya mbowe
kesi ya ugaidi
mahakamani
mahojiano
rais samia
salim kikeke
ugaidi
uhuru vyombo vya habari
uhuru wa mahakama
upinzani
Shule ya kimataifa ya UWCEA Kampasi ya Moshi, Kaskazini mwa #Tanzania imesitisha mafunzo ya ana kwa ana kwa Wanafunzi kwa madai ya mmoja wa Wanafunzi kuthibitishwa kuwa na maambukizi ya Corona.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na tovuti ya Shule hiyo, Januari 18 Mwanafunzi huyo alithibitishwa...
Kuna tatizo Sehemu? ama kuna kitu kinatafutwa kwa makusudi?
Kwa chombo cha habari chenye nguvu kubwa Kama hiki kutangaza habari namna hii kinaleta madhara makubwa sana kwa jamii na kuharibu kabisa taswira na biashara husika ambayo nina hakika Kuna watu wamewekeza kwayo.
Hii itatufanya hata...
Niaje.
Noamben kujua kuna tatizo gani kwa hawa wanaorusha habari za bbc Swahili na Sauti ya Ujerumani siwapat kabisa redion wamefungiwa au?
Halafu pia naomba kujuzwa hawa BBC Swahili na vituo vingine vya habari vyanzo vyao vya mapato ni vipi maana nimezoe kuona huku kwetu radio station...
Wafahamu wachezaji wa soka wanaolipwa mapato ya juu zaidi 2020
Linapokuja suala la kupima wachezaji wazuri katika mchezo unaoshabikiwa sana, macho yote huangazia wachezaji wawili walio na upinzani mkali na umaarufu wakidaiwa kuweza kujipatia kipato cha $1 bilioni wakisakata soka. Inaweza kuwa...
Wadau habarini za usiku,
Kama heading isemavyo, ni wazi hili shirika now days professionalism imepungua kwa kiasi kikubwa mnoo uandaaji wa habari usioeleweka.
Mfano Usiku huu nimetazama ripoti iliyosomwa na Lulu Odhiambo kuhusu kupungua maambukizi ya corona huko Kenya sasa katka display pale...
Journalist, BBC Swahili Service - Dar es Salaam
Job Reference: BBC/TP/788771/50346
Contract Type: Permanent
Job Category: Journalism
Business Unit: News - WSG World Service
Location: Dar es-Salaam, Tanzania, United Republic of
Job Title: Journalist
Job Introduction
The BBC is an...
Katika mojawapo ya mahojiano aliyowahi kufanya miaka ya nyuma, Rais Yoweri Museveni wa Uganda alipata kuulizwa anadhani nini hasa ilikuwa siri ya Baba wa Taifa la Tanzania, Julius Nyerere, kudumu muda mrefu madarakani.
Bila kupepesa macho, Rais huyo alitoa jibu moja tu; He tamed the army...
Mimi ni miongoni mwa wasikilizaji wa redio mbalimbali hapa nchini, miongoni mwa hizo ni BBC SWAHILI kupitia washirika wao. Si kwamba wanachonikwaza wao hakitokei kwenye redio nyingine la hasha ila naangalia na ukubwa wa shirika husika.
Hakuna shaka kuwa sehemu kubwa ya Wasikilizaji wa Kiswahili...
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.