bbc swahili

The BBC World Service is an international broadcaster, owned and operated by the BBC. It is the world's largest of any kind. It broadcasts radio news, speech and discussions in more than 40 languages to many parts of the world on analogue and digital shortwave platforms, internet streaming, podcasting, satellite, DAB, FM and MW relays. In 2015, The World Service reached an average of 210 million people a week (via TV, radio and online). In November 2016, the BBC announced that it would start broadcasting in additional languages including Amharic and Igbo, in its biggest expansion since the 1940s.The World Service is funded by the United Kingdom's television licence fee, limited advertising and the profits of BBC Studios. The service is also guaranteed £289 million (allocated over a five-year period ending in 2020) from the UK government. The World Service was funded for decades by grant-in-aid through the Foreign & Commonwealth Office of the British Government until 1 April 2014.BBC World Service English maintains eight different regional feeds with several program variations, covering, respectively, East and South Africa; West and Central Africa; Europe and Middle East; Americas and Caribbean; East Asia; South Asia; Australasia; United Kingdom. There are also two separate online-only streams with one being more news-oriented, known as News Internet. The service broadcasts 24 hours a day.
The current controller of BBC World Service English is Mary Hockaday.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Wasaidizi wa Rais Samia warekebishe makosa aliyofanya katika mahojiano na BBC, vinginevyo ataonekana siyo muungwana

    Hakuna binadamu aliye mkamilifu. Rais SSH alifanya makosa kwa kutoa kauli zisizo "sahihi" ktk interview yake na Salum Kikeke wa BBC. Hilo siyo jambo geni kumtokea kiongozi yeyote yule. Kinachofanyika ktk mazingira kama hayo ni kiongozi mwenyewe, au wasaidizi wake, kujitokeza kuomba RADHI na...
  2. J

    Binamu Bananga: CHADEMA tunakutana kujadili mahojiano ya Rais Samia na BBC ili kujibu nini? Nasisitiza tusikurupuke

    Ushauri aliotoa Binamu Bananga kwa CHADEMA kuhusu Mahojiano ya Rais Samia na BBC Makamanda habari za jioni? Naamini wengi tumesikiliza mahojiano ya mama Samia na Kikeke, Nimeona Kaka yangu Lema ameandika Mahali kwamba Chama Kitakutana kumjibu, nimeshtuka kidogo, tunataka kujibu nini? Mimi...
  3. mekuoko

    Taifa langu linateketea kwa kukosa maarifa

    Speech Mh. Samia Suluhu Hassan jana akihojiwa na Kikeke wa BBC naona imeligawa taifa. Kwamba tabaka la watawala na Watawaliwa. Na kwamba ukishaazishwa uongo basi unasimamiwa na wote ili kulinda madaraka. Kundi hili la watawala wanawatoza watawaliwa wanyonge makodi makubwa bila kujali kama...
  4. blance86

    Dotto Bulendu: Tathmini yangu juu ya mahojiano kati ya BBC na Rais Samia Suluhu

    Tathmini yangu ya juu ya mahojiano kati ya BBC Na Rais Samia Suluhu Hassan. Na Dotto Bulendu (MwanaPuge).Nikiandika kutoka kijijini Puge. @@@@@@ BBC wamefanikiwa kuongeza umaarufu wao Kwa Siku ya jana Kwa Maana ya Idadi ya watu wanaowasikiliza na kuwatazama kupitia Vyombo vyao vya Redio,TV na...
  5. n00b

    Rais Samia: Mashtaka dhidi ya Mbowe sidhani kama yamechochewa kisiasa. Natamani kukutana na Wapinzani

    Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema hawezi kuzungumzia kesi ya kiongozi wa chama kikuu cha upinzani- Chadema- Freeman Mbowe ambaye anakabiliwa na mashtaka ya ugaidi. Katika mahojiano maalum na mwandishi wa BBC Salim Kikeke, Rais Samia amesema ana imani sheria itachukua mkondo wake...
  6. Mzalendo_Mwandamizi

    Mwanahabari Erick Kabendera ahojiwa na BBC Swahili, aeleza yaliyomsibu

  7. Miss Zomboko

    Moshi: International School of UWCEA yasitisha masomo Baada ya Wanafunzi 2 kupatwa na Corona

    Shule ya kimataifa ya UWCEA Kampasi ya Moshi, Kaskazini mwa #Tanzania imesitisha mafunzo ya ana kwa ana kwa Wanafunzi kwa madai ya mmoja wa Wanafunzi kuthibitishwa kuwa na maambukizi ya Corona. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na tovuti ya Shule hiyo, Januari 18 Mwanafunzi huyo alithibitishwa...
  8. Dam55

    BBC Swahili: Tanzania yapiga marufuku biashara ya Nguruwe! Huu ndio weledi wa habari wa BBC au Kuna kitu wanalenga?

    Kuna tatizo Sehemu? ama kuna kitu kinatafutwa kwa makusudi? Kwa chombo cha habari chenye nguvu kubwa Kama hiki kutangaza habari namna hii kinaleta madhara makubwa sana kwa jamii na kuharibu kabisa taswira na biashara husika ambayo nina hakika Kuna watu wamewekeza kwayo. Hii itatufanya hata...
  9. I AM NO ONE

    Matangazo ya BBC Swahili na Sauti ya Ujerumani mbona siyapati siku hizi kwenye Redio

    Niaje. Noamben kujua kuna tatizo gani kwa hawa wanaorusha habari za bbc Swahili na Sauti ya Ujerumani siwapat kabisa redion wamefungiwa au? Halafu pia naomba kujuzwa hawa BBC Swahili na vituo vingine vya habari vyanzo vyao vya mapato ni vipi maana nimezoe kuona huku kwetu radio station...
  10. Gudasta

    Wachezaji wa soka wanaolipwa zaidi 2020: Source BBC swahili

    Wafahamu wachezaji wa soka wanaolipwa mapato ya juu zaidi 2020 Linapokuja suala la kupima wachezaji wazuri katika mchezo unaoshabikiwa sana, macho yote huangazia wachezaji wawili walio na upinzani mkali na umaarufu wakidaiwa kuweza kujipatia kipato cha $1 bilioni wakisakata soka. Inaweza kuwa...
  11. luangalila

    BBC Swahili weledi umepungua

    Wadau habarini za usiku, Kama heading isemavyo, ni wazi hili shirika now days professionalism imepungua kwa kiasi kikubwa mnoo uandaaji wa habari usioeleweka. Mfano Usiku huu nimetazama ripoti iliyosomwa na Lulu Odhiambo kuhusu kupungua maambukizi ya corona huko Kenya sasa katka display pale...
  12. Jamii Opportunities

    Journalist at BBC Swahili Service - Dar es Salaam

    Journalist, BBC Swahili Service - Dar es Salaam Job Reference: BBC/TP/788771/50346 Contract Type: Permanent Job Category: Journalism Business Unit: News - WSG World Service Location: Dar es-Salaam, Tanzania, United Republic of Job Title: Journalist Job Introduction The BBC is an...
  13. magnifico

    BBC SWAHILI: Kwanini CCM imeweza kusalia Madarakani kwa miaka yote?

    Katika mojawapo ya mahojiano aliyowahi kufanya miaka ya nyuma, Rais Yoweri Museveni wa Uganda alipata kuulizwa anadhani nini hasa ilikuwa siri ya Baba wa Taifa la Tanzania, Julius Nyerere, kudumu muda mrefu madarakani. Bila kupepesa macho, Rais huyo alitoa jibu moja tu; He tamed the army...
  14. May Day

    BBC Swahili fanyieni kazi hili...

    Mimi ni miongoni mwa wasikilizaji wa redio mbalimbali hapa nchini, miongoni mwa hizo ni BBC SWAHILI kupitia washirika wao. Si kwamba wanachonikwaza wao hakitokei kwenye redio nyingine la hasha ila naangalia na ukubwa wa shirika husika. Hakuna shaka kuwa sehemu kubwa ya Wasikilizaji wa Kiswahili...
  15. T

    Mwl Nyerere: Tunataka kuona Vijana Jasiri, wanaohoji mifumo Kandamizi, Wasiotikia Ndiyo Mzee

    "Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na matarajio ya jamii ya kitanzania. Tunataka vijana waasi dhidi ya mifumo kandamizi, ubwana na ufisadi...
Back
Top Bottom