bei elekezi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mnyenz

    Je wajua: Siasa za CCM & CHADEMA huamua bei elekezi ya vitu hivi?

    Katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi, sisi kama wananchi tunayo mengi ya kujifunza. Tunayo haja ya kuchuja sera zao kwa upana kwa maana wao hawa wanasiasa ndio huamua bei za vitu tunavyohitaji katika maisha ya kila siku. Leo nakuchapishia picha ya vyombo vya moto ambavyo wanasiasa...
  2. zabron k

    MANYONI: Bei elekezi ya Korosho mwezi January 2025

    Leo Tarehe 30 Jan 25 umefanyika mnada wa kwanza wa zao la Korosho kwenye Ghala la Kuhifadhia Korosho na bei kutangazwa ni Tsh 3,167/= kwa kilo Moja. Tunaendelea kuupiga mwingi.
  3. kimara Kimara

    Ni biashara/huduma ipi unaweza kufanya/kutoa ambayo haina bei elekezi?

    Habari wadau, moja kwa moja kwenye mada. Ni biashara gani ama huduma ipi unaweza kufanya ambayo haina BEI ELEKEZI, yani bei unajipangia wewe mwenyewe? Mfano wa biashara za bei elekezi nin kama duka la takataka, Madawa, Vyakula, Kuuza magari, nguo, nafaka n.k. Naomba kujua biashara/ huduma...
  4. jiwe angavu

    Bila rushwa wala konenisheni sahau kuhusu uhamisho mfumo ni kiini macho

    Suala la uhamisho kwa watumishi wa umma limekua kero kubwa hasa baada ya ujio wa mfumo wa ess,ambapo sasa maombi yote ya uhamisho hufanyika katika mfumo huu. Tangu kuanza kwake hadi sasa kumekua na malalamiko mengi kutoka kwa watumishi wanaaomba uhamisho kupitia mfumo,ambapo pamoja na...
  5. ministrant

    KERO LATRA, mulikeni ukiukwaji mkubwa wa bei elekezi za nauli katika njia za Kibiti, Ikwiriri na Muhoro

    Kumekuwa na ukiukwaji mkubwa na wa wazi wazi wa maelekezo yenu juu ya bei elekezi za nauli katika njia hizo. Watoa huduma wanatoza bei wanazotaka wao na kuwabighudhi abiria wanaotaka kulipa nauli elekezi. Mathalani nauli kutoka Mbagala rangi 3 kwenda Kimanzichana ni Tshs. 3100/= lakini kwa...
  6. Teslarati

    DHARURA: Naitisha kikao cha wanaume usiku huu tujadili bei elekezi ya mahali kwa mchumba

    Leo naingia ofisini nimemkuta kijana wangu mmoja ana manung'uniko sana na nilitegemea awe na furaha sababu alitujulisha anaenda kuchumbia. Kummuliza shida nini akasema story ile ile inayotaka kufanana na nilichokiona humu jf Sikutegemea nilichokikuta ukweni Dogo kaenda kule wamemwambia mahali...
  7. Roving Journalist

    Serikali yaiagiza TCRA kufatilia wanaouza vocha tofauti na bei elekezi

    Naibu Waziri wa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi Maryprisca Mahundi amesema Serikali imetoa maelekezo kwa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kufuatilia Wafanyabiashara wanaouza vocha za kukwangua kinyume na bei elekezi. Amesema hayo wakati akijibu swali la...
  8. Jidu La Mabambasi

    Kuingia kwa Bei Elekezi: Failure ya market economy katika Tanzania?

    Asubuhi hii nasikiliza taarifa ya habari, nasikia Zanzibar nako serikali ya huko imetangaza Bei Elekezi kwa sukari! Nafika ofisini mapema n inabidi nijiulize kwa makini. Nini maana ya bei elekezi? Hii ni bei iliyopangwa na serikali baada ya kuondoa gharama zote za uzalishaji, na kuongeza...
  9. JanguKamaJangu

    Katavi: 18 wamekamatwa kwa kuuza sukari nje ya bei elekezi

    Wafanyabiashara 18 Mkoa wa Katavi wamekamatwa kwa kuuza sukari kinyume na bei elekezi ya Serikali ambapo katika mkoa wa huo sukari inapaswa kuuzwa kuanzia Tsh. 2,900 hadi 3,200. MrinMkuu wa Mkoa wa Katavi, Mwanamvua Mrindoko amewataka Wafanyabiashara kuzingatia maelejezo ya Serikali hususani...
  10. BARD AI

    Shinyanga: Wafanyabiashara 6 wakamatwa kwa kuuza Sukari kinyume na Bei elekezi

    JESHI la Polisi mkoani Shinyanga, linawashikilia wafanyabiashara sita wa sukari kwa tuhuma za kuuza sukari kinyume na bei elekezi ya serikali. Taarifa hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Christina Mndeme, katika kikao alichofanya na wafanyabiashara wa sukari mkoani humo kilichokuwa na...
  11. Suley2019

    Dar es Salaam: Sita wadakwa kwa kutozingatia bei elekezi ya sukari

    Bodi ya Sukari kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limewanasa watu sita ambao ni Wafanyabiashara kwa kushindwa kuzingatia Bei Elekezi ya Sukari kama ilivyotangazwa na Serikali. Watuhumiwa hao Sita wamekamatwa kufuatia Msako mkali iliyofanyika Jijini Dar es Salaam...
  12. K

    Kwanini bei elekezi ya Sukari haifuatwi?

    Serikali ilitangaza bei elekezi ya sukari kwa nchi nzima lakini mpaka sasa bei hiyo haifuatwi na bei ya sukari imebaki vile vile kabla ya matangazo ya bei elekezi. Kwa nini?
  13. Suley2019

    Hussein Bashe: Acheni kuijadili bei elekezi ya sukari

    Waziri wa Kilimo Hussein Bashe amejibu baadhi ya hoja zilizoibuliwa kuhusu kupanda bei kwa sukari huku akiwatahadharisha Wafanyabishara wanaotumia Wanasiasa kuishikilia bango ajenda ya kupanda kwa bei ya sukari kwamba ajenda hiyo haitofanikiwa kwasababu tayari kuna bei elekezi inayotakiwa...
  14. Analogia Malenga

    Nani ameweka hizi bei elekezi za taxi pale Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere?

    Mbali na uwepo wa taxi mtandao kama Uber, bolt nk, bado Watanzania tuko nyuma ya muda. Karne ya 21. bado tunakomaa na namna ya zamani ya kufanya biashara. Sisemi kwamba watu wafanye taxi kizamani, kwa kuwa kuna maeneo madereva wa taxi mtandao hawataki kwenda. Hata hivyo, walioweka bei hizi...
  15. R

    Kutangaza bei elekezi ya sukari bila kuweka consequences za wauzaji watakao kiuka hakusaidii

    Mnajua kabisa kuwa hakuna mfanyabiashara atakayeshusha bei ya sasa 3800-5000 Tsh per kilo. sasa muuzaji asiyefuata bei hiyo namshitaki wapi/natoa taarifa wapi? Au nyie mamlaka ya sukari nachukua tahadhali gani kukabiliana na watakaokiuka bei elekezi. Short of that mnakuwa wasanii nyie mamlaka...
  16. BARD AI

    Serikali yatangaza Amri ya Bei Elekezi za Sukari Tanzania Bara

    Kufuatia malalamiko ya Wananchi juu ya kupanda kwa gharama za Sukari, Serikali imetangaza Amri ya Bei Elekezi iliyoanza kutumika Januari 23, 2024 katika Mikoa yote ya Tanzania Bara kwa lengo la kudhibiti Bei holela za Bidhaa hiyo Kwa mujibu wa Tangazo la Serikali, Amri hiyo imesema Mtu yeyote...
  17. BARD AI

    Sukari inauzwa hadi 5000 na Serikali iko kimya hadi sasa, bei elekezi ni ipi?

    Hivi hii Serikali inafuatilia kweli maisha ya Wananchi wake huko mitaani? Watu wanauziwa Sukari Tsh. 5000 kwa kilo na Wafanyabishara hata hawana hofu yoyote. Ni kwamba hakuna anayejali hali za Wananchi tayari linatengenezwa tatizo la kisiasa ili waje walitumie kwenye kampeni zao?
  18. Forgotten

    Naomba kujua bei elekezi za 4G router za Vodacom

    Habari wana-JF, naomba kujua bei elekezi kwa 4G router ya Vodacom inayoweza ku-connect devices 5. Nimeona vifurushi vyao bei iko juu kushinda Airtel ila wateja wengi wanalamikia mtandao wa Airtel. Je, ni ipi bora kuchukua kati ya Vodacom au Airtel?
  19. Sa 7 mchana

    Naomba bei elekezi ya Tagged

    Naomba bei elekezi ya Tagged kwa mkoa wa Dar es salaam Uzi tayari
  20. Kilimbatzz

    Naomba bei elekezi ya iPhone 15 plus 128GB

    Baada ya kutumia Samsung muda mrefu nimewiwa kujaribu na iPhone. Ningependa kuanzia na iPhone 15 Plus yenye GB 128 Nataka nioneni nini kinachofanya wadada wachizike na hizi simu,nataka nione ni nini kinachowapa mvuto wanaume wanaotumia simu hizi hadi kuweza kuwang'oa kirahisi wadada wa kibongo...
Back
Top Bottom