Habari wadau, moja kwa moja kwenye mada.
Ni biashara gani ama huduma ipi unaweza kufanya ambayo haina BEI ELEKEZI, yani bei unajipangia wewe mwenyewe?
Mfano wa biashara za bei elekezi nin kama duka la takataka, Madawa, Vyakula, Kuuza magari, nguo, nafaka n.k.
Naomba kujua biashara/ huduma...