Haya yanatokea sehemu nyingi duniani. Jukumu la serikali ni kuwahami wananchi wake.
Inatokea Zambia, Rwanda na kote ambako maslahi ya wananchi yamewekwa mbele.
Kuwa viongozi wao si wezi, pana hata haja ya kuuliza?
Kwa hakika tulipo, hitaji la kuwa na katiba itakayo tuhakikishia tuna watu...