bei

Liu Bei (Chinese: 劉備, pronunciation ; Mandarin pronunciation: [ljǒu pêi]; 161 – 10 June 223), courtesy name Xuande (玄德), was a warlord in the late Eastern Han dynasty who founded the state of Shu Han in the Three Kingdoms period and became its first ruler. Though he was a distant relative of the imperial family, Liu Bei's father died when he was a child and left his family impoverished. To help his mother, he sold shoes and straw mats. When he reached the age of fifteen, his mother sent him to study under Lu Zhi. In his youth, Liu Bei was known as ambitious and charismatic. He gathered a militia army to fight the Yellow Turbans. Liu Bei fought bravely in many battles and started getting famous. Rather than join the coalition against Dong Zhuo, he joined his childhood friend Gongsun Zan and fought under him against Yuan Shao many times with recognition.
Later he was sent to help Tao Qian against Cao Cao. Thanks to the support of the influential Mi and Chen families along with Tao Qian's last will, Liu Bei inherited the Xu Province. After his defeat against Cao Cao, Lü Bu joined him and seized the province while Liu Bei was away fighting Yuan Shu. After many conflicts, he joined Cao Cao and they defeated Lü Bu at the Battle of Xiapi. Although he was treated well, Liu Bei received a secret edict from the emperor to kill Cao Cao and rebelled against him taking back Xu province. After a brief alliance with Yuan Shao, Liu Bei was quickly defeated by Cao Cao and had to flee to the warlord in the north. He was sent by Yuan Shao to raise uprisings behind Cao Cao's main base but he was ultimately defeated by Cao Cao and joined his kinsman Liu Biao. Liu Biao doubted his loyalty so he located him at Xinye to serve as a shield against Cao Cao. After Liu Biao's death, Liu Bei led many civilians to join Liu Qi to Xiakou where they allied with Sun Quan to oppose Cao Cao at the Battle of Red Cliffs.
After Cao Cao's defeat, Liu Bei quickly took control of the majority of Jing Province, then he married Sun Quan's sister who recognised his legitimacy over the province and agreed to "lend" him Nan Commandery. Liu Bei later led his army to join another kinsman, Liu Zhang in his war against the warlord Zhang Lu. Under the advices of his advisors, he betrayed Liu Zhang and seized the Yi Province from him. After some disputes and seeing Cao Cao growing closer to the Yi province. Liu Bei agreed to yield half of the Jing province to Sun Quan and led his army against Xiahou Yuan at Hanzhong and seized it. Liu Bei then declared himself "King of Hanzhong" and set up his headquarters in Chengdu. However soon after Guan Yu was killed by Liu Bei's "ally" Sun Quan who took the rest of Jing province for the "lending" of Nan commandery. Liu Bei was furious and after declaring himself emperor to challenge Cao Pi's authority, he led his army against his former "ally". Though some early success, his army was soon blocked into a stalemate against Lu Xun and was finally defeated. Ashamed by his failure, he never returned to Chengdu and settled in Baidicheng until his death one year later. Urging his heir to not emulate him and being as virtuous as possible he appointed to help him Zhuge Liang in charge of domestic matters and Li Yan for the military matters.
Despite early failings compared to his rivals and lacking both the material resources and social status they commanded, he gathered support among disheartened Han loyalists who opposed Cao Cao, the warlord who controlled the Han central government and the figurehead Emperor Xian, and led a popular movement to restore the Han dynasty through this support. Liu Bei overcame his defeats to carve out his own realm, which at its peak spanned present-day Sichuan, Chongqing, Guizhou, Hunan, and parts of Hubei and Gansu. Culturally, due to the popularity of the 14th-century historical novel Romance of the Three Kingdoms, Liu Bei is widely known as an ideal benevolent, humane ruler who cared for his people and selected good advisers for his government. His fictional counterpart in the novel was a salutary example of a ruler who adhered to the Confucian set of moral values, such as loyalty and compassion. Historically, Liu Bei, like many Han rulers, was greatly influenced by Laozi. He was a brilliant politician and leader whose skill was a remarkable demonstration of "Confucian in appearance but Legalist in substance" .

View More On Wikipedia.org
  1. Investaa

    Msaada wa machimbo ya jeans bei ya jumla

    Habari wa JF. Kama title inavyojieleza hapo juu nahitaji chimbo ya jeans kkoo kwa bei ya jumla, kuna jamaa niliongea nae leo tuonane kkoo anipeleke matokeo yake hapokei simu ko nimeenda nimerudi empty.
  2. Neema Mkangwa

    Nauza Ubuyu Mtamu sana kwa Bei ya Jumla na Rejareja

    Jipatie ubuyu mtamu sana wa kiarabu ambao unapata kwa ladha tofauti tofauti Ladha ya Vanilla Ladha ya Chocolate Ladha ya Pilipili Ni mtamu na hauchubui Mdomoni Call:0752228138 Jumla na Rejareja
  3. Mike Moe

    Naomba kujuzwa lodge za bei nafuu dodoma

    Hello wana jamii kwa wenyeji wa dodoma na hata wale ambao si wenyeji ila umewahi kufika dodoma kwa ajili ya interview ya utumishi naomba tujuzane lodge za bei nafuu kipande hicho ili ndugu zenu tusiangaike tutakapo wasili jijini hapo
  4. scientificall

    NJOO NIKUUZIE SALOONI YA KIUME BEI YA KUOKOTA

    kwa anaehitaji saloon ya kiume in a kila kitu mashine za kunyoa 2, vioo 3, viti vya kunyolea vya dukani 2 kiti cha wateja cha chuma vile special vya dukani kinakaliwa na watu watatu 1 ,shelf 2. ,salooni nauza kwa 350,000/= fixed. location ni mwanza Buhongwa kama upo interested hamna haja ya...
  5. G

    LGE2024 Ulaghai wa bei ya korosho na kiki za kisiasa za CCM kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

    Mnada wa kwanza wa korosho uliofanyika 11/10/2024 ulifunguliwa kwa bei ya TSh 4150/= kwa kilo moja ya korosho. Kwenye mnada huu kulikuwa na tani chache sana za korosho. Ukafuata mnada wa pili ambapo bei ilishuka mpk kufikia TSh 3750/=, napo pia kulikuwa na tani chache sana za korosho. Bei...
  6. N

    Bei ya Vitunguu Singida

    Samahani aisee wadau kwa yeyote anae jua bei ya vitunguu SINGIDA anijuze ...nahitaji gunia kama ishirini namba angu 0710686877
  7. Yofav

    Bidhaa za Mapambo ya majumbani kwa bei za jumla/kitonga

    Habarini Wakuu, Nimekuja na tangazo langu fupi hapa, Nimefungua group la WhatsApp ambalo ni kwaajili ya wateja wangu ambao nitakuwa nachapisha picha na bei za bidhaa mbalimbali za mapamboo ya majumbani kwa. Bei nafuu sana (I mean nafuu sana) hii inaweza kuwa fursa pia kwa wengine watakaohitaji...
  8. Mzee wa Code

    Bei ya kunganisha umeme mjadala Bungeni, Wabunge wahoji kwanini haibadiliki?

    Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania siku ya jana Oktoba 29, 2024 katika kipindi cha maswali na majibu wameibana Serikali kuhusu bei ya kuunganisha umeme maeneo ya mijini, ambapo bei hiyo ni shilingi 320,000. Akijibu swali la Mbunge wa Korogwe, Timotheo Mzava, Naibu Waziri Judith...
  9. K

    Nauza mfumo wa gesi kwenye bajaj kwa bei kitonga 200k

    Habari wakuu, nauza mfumo wa gas kwenye bajaj bei ni laki mbili.. Ila bado una deni la laki Saba na hamsini utaenda kumalizia mkopo wako. Mazungumzo yapo Wahi sasa
  10. Wauzaji wa containers

    SOLD: konteina hii hapa futi 20 imebaki moja kwa bei ya 3.6 mil

    Wale mlikokuwa mnahitaji container Kwa bei nafuu zaidi sasa imebaki moja Utapata Kwa 3.6 mil Kuna hii tu nyingine bei zake zipo juu kidogo. Tupo kurasini DSM Call and WhatsApp 0625 085 224
  11. T

    INAUZWA American fridge, good condition inatumia umeme kidogo bei 1.6m

  12. W

    TUNUNUA MATAIRI MABOVU YA MABASI NA SCANIA KWA BEI NZURI!

    Tunatafuta matairi yaliyotumika ya mabasi makubwa na Scania. 💸 Tunatoa TZS 3,000 kwa kila tairi moja! ✅ Kiasi kinachohitajika: Tunapokea matairi kuanzia 50 au zaidi. 📍 Eneo: Upo Dar es Salaam? Tutakuja moja kwa moja hadi eneo lako!
  13. Half american

    Wapi napata spea parts za scania kwa bei rafiki ya jumla?

    Habari za siku wakuu, naomba kujulishwa machimbo ya spea parts za Scania kwa bei ya jumla hasa Temeke na kariakoo. Natanguliza shukrani.
  14. Manfried

    Watu wanasukuma Magari ya bei mbaya sana hapa DSM inaonekana nchi imeshafnguliwa tayari.

    Nchi imefunguliwa kimya kimya inavyoonekana maana watu wanasukuma vyuma vya bei mbaya sana . Kiukweli hapa DSM watu wanasukuma magari ya bei mbaya hatari.
  15. OKW BOBAN SUNZU

    Ipi Microsoft Office for Android konki kwa bei nafuu?

    Wakuu naomba kujua App ya Microsoft kali kwa gharama nafuu. Kila kitu cha Microsoft office nachofanya kwenye PC nifanye kwenye Tablet Nimejaribu Microsoft 365 App inanigomea. Nadhani tablet yangu haisapoti
  16. Aliko Musa

    Jifunze nguvu ya Sera ya Serikali inavyopaisha bei ya viwanja na mashamba hapa Tanzania

    Tofauti Kati ya Mji Mdogo (Township Authority) na Mji Kamili (Town Council) Mji mdogo (Township Authority) na mji kamili (Town Council) ni ngazi mbili tofauti za utawala wa miji, zenye mamlaka na majukumu tofauti. Tofauti kati yao inahusiana zaidi na ukubwa wa mji, uwezo wa kifedha, na huduma...
  17. Mlaleo

    Pete ya Nasrallah kuuzwa kwa Mnada kwa yeyete Bei ya kuanzia mnada ni USD 113,000$ = na TZS Milion 300 na ushee

    Iranian network announces auction of Nasrallah's ring to aid Lebanese people, starting bid at $113,000 Lebanon News 2024-10-23 | 17:28 Mtandao wa "Ofogh" wa Iran ulitangaza kwenye akaunti yake ya X kwamba unapanga kupiga mnada pete ya Gaidi katibu mkuu wa zamani wa Hezbollah, Hassan Nasrallah...
  18. Backend

    Nawezaje kuagiza bidhaa kutoka China kwa kununua katika mtandao wa Alibaba nikapata hiyo bidhaa Kwa bei nafuu zaidi?

    Wakuu habari ya muda huu, hongereni kwakuendelea kupambana kuhakikisha ndoto zenu zinatimia🤝 hakika Atukuzwe Mungu anaye tuwezesha katika Hatua hizi zote🙏. Wakuu nimekuwa nikiangalia Bei za bidhaa mbalimbali zinazouzwa katika mtandao WA Alibaba kwakweli zina Bei nafuu kuliko hapa nyumbani..Sasa...
  19. W

    Simu yako ya gharama ulinunua bei gani na siku ulipopoteza au kuibiwa ulijisikiaje?

    Nilijitahidi sana na kufanikiwa kununua iPhone 7 Plus nikiwa mwaka wa kwanza chuoni mwaka 2019, kipindi hicho simu hiyo bado ilikuwa maarufu sana. Nilikuwa naipenda sana kwa sababu ilikuwa inapiga picha nzuri na pia niliweza kuhifadhi mambo yangu mengi. Siku moja nikiwa njiani kuelekea Mwenge...
  20. B

    Msaada wa bei ya chicken wire kwa bei ya jumla

    Habari za wakati huu GTs, Naomba usaidizi ni wapi wanauza chicken wire kwa bei ya jumla. Nipatikana Mwanza
Back
Top Bottom