Benjamin William Mkapa (12 November 1938 – 24 July 2020) was the third president of Tanzania, in office from 1995 to 2005. He was Chairman of the Revolutionary State Political Party (Chama Cha Mapinduzi, CCM).
Leo ni sikukuu kwa wapenda kandanda nchini Tanzania.
Mnyama Mkubwa mwituni, Simba Sc atashuka katika dimba la Benjamin Mkapa kucheza dhidibya RS Berkane ya Morocco majira ya saa 10:00 jioni kwa saa za Afrika Mashariki.
Simba itaingia dimbani huku ikiwakaribisha nyota wake waliotoka majeruhi...
Muda mchache ujao, mabingwa wa nchi Simba Sc watashuka dimbani kuwakaribisha Dodoma Jiji katika dimba la Benjamin Mkapa.
Ungana nasi hapa kwa updates..
Wakisoma Risala mbele ya Rais uongozi wa Shule ya sekondari Benjamin Mkapa wamemweleza Rais kuwa imebidi wanunue Generator sababu ya umeme Tanesco kukatika katika mara kwa mara.
TANESCO Mungu anawaona mjue.
Ndugu zangu nawasalimu kwa jina la JMT
Kazi iendelee!
Kwa jinsi awamu ya sita toka imeingia madarakani takribani miezi nane sasa.
Rais SSH amedhihirisha utendaji wake wa kazi ni awamu ya pili, na tatu, combined.
RUKHSA (awamu ya pili)
Rais SSH amekuwa akisisitiza Mara nyingi kuifungua nchi...
Leo kutakuwa na Mchezo wa Kufuzu Kombe la Dunia mwaka 2022 pale Qatar, kati ya Tanzania dhidi ya DR Congo katika dimba la Benjamin Mkapa hapa Dar Es Salaam.
Taifa Stars wataingia dimbani wakitafuta point 3 muhimu ili waendelee kutengeneza mazingira mazuri ya kufuzu kombe la Dunia.
Ni mchezo...
NBC Premier League kuendelea leo. Mabingwa watetezi Simba SC wakitoka kupata sare mchezo uliopita, leo saa 1:00 usiku kuwaalika Namungo FC ambao nao pia walitoka sare mchezo wao uliopita. Je, leo nani kuondoka na alama 3?
Kwa upande wa Simba, Mkude Anarejea katika nafasi ya kiungo baada ya kuwa...
Coastal Union haijawahi kupata ushindi mbele ya Simba kwenye ligi kuu kwa misimu mitatu mfululizo iliyopita tangu msimu wa 2018/19. Katika mechi sita walizokutana, Simba imeshinda mechi tano na kutoka suluhu mechi tatu, Jumla Ya Magoli 21 Wagosi wa Kaya Wafungwa na simba katika Michezo hii 6...
Baada Ya Kupigwa 3 kwa Moja Na Jwaneng Galaxy, Leo simba Wanaikaribisha Polisi Tanzania Kwenye Mchezo wa Ligii kuu Tanzania Bara.
Polisi Tanzania Wamekuwa na Mwanzo Mzuri wa Ligi hii huku Simba Akiwa amefungwa michezo yote aliyocheza uwanja Wa Benjamini Mkapa Kwa msimu huu. Alifungwa na Yanga...
Ni Simba Sports Club Dhidi Ya Jwaneng Galaxy Fc Kutoka Botswana.
Baada ya Mechi Iliyopita Simba Sc Kuibuka na Ushindi wa Goli Mbili Bila Ugenini, Leo Jwaneng Galaxy Wanakuwa na Kibarua Kizito mbele ya Miamba ya Soka Afrika Simba Sc kuhakikisha Wanapata Ushindi Wa Goli 3 bila Dhidi ya Wenyeji Wa...
Tarehe 13 mwezi August mwaka 1990 magazeti yote ya Tanzania yalikuwa na vichwa vya habari vilivyohusu kujiuzulu kwa baraza la mawaziri jana yake yaani tarehe 12.
Taarifa hizo zilisema kuwa katika kikao cha baraza la mawaziri kilichoongozwa na Rais mzee Ally Hassan Mwinyi aliwaambia mawaziri...
Another way to help the poor in a direct way was the National Health Insurance Fund which offered health insurance to families. I learnt about this scheme from Rostam Azziz, a member of parliament and successful businessman. In 1996 he started a health insurance scheme for the resident of his...
Kama mada kwenye kichwa ilivyo, ukimuondoa MZEE NYERERE aliyetupatia uhuru na kisha baadaye kuwa na Mzee Mkapa katika awamu ya tatu, niseme wazi Tanzania imekuwa ikongozwa na viongozi wenye uwezo mdogo na wastani sana.
Katika Uongozi, Mzee Mkapa ndiye angalau aliimarisha mifumo ya Serikali na...
Nimesikiliza tangu mwanzo kumbukumbu ya Hayati Benjamin William Mkapa. Hii ni Tanzania ya waswahili. Unaandaaje kumbukumbu kama hii na kuiendesha kwa lugha ya kingereza? HAPANA.
Waandaaji wa matukio kama haya kama wa leo UONGOZI INSTITUTE ni vema wakajua kila waandaacho ni kwa ajili ya...
Jumatano ijayo tarehe 14 katika Siku ya Kumbukizi ya mwaka Mmoja wa Kifo cha Rais wangu bora wa Pili Tanzania Benjamin Mkapa kutakuwa na Kongamano la Kujadili yale mema yote ambayo Hayati Mkapa ameifanyia Tanzania yetu hii.
Kongamano hilo litafanyika katika Ukumbi wa Mlimani City na Mgeni rasmi...
Rais Samia Suluhu amehudhuria mchezo wa Watani wa Jadi kati ya #Simba SC na #Yanga SC unaochezwa Uwanja wa Taifa
Iwapo Simba itaondoka na alama 3 itakuwa imetawazwa Bingwa wa Ligi Kuu Bara kwa mara ya nne mfululizo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan...
Naaaam..!
Hujambo na Karibu kwenye Matangazo ya Habari za Michezo, Burudani na Uchambuzi.
Patashika ya Ligi Kuu Tanzania Bara kuendelea kupigwa leo Jumamosi ya July 3, 2021, ambapo mchezo unaobeba hisia za mashabiki wengi Tanzania na nje ya Tanzania kati ya Watani wa Jadi, Kariakoo Derby...
Match kama ya leo itusaidie kupandisha wafungaji wetu wafikishe bao nyingi. Huyu kipa wa Mwadui tunamfahamu vizuri sana.
Naomba tutumie nafasi hii kupata ushindi wa kishindo.
===========
21' Goaaal, Yanga wanauweka ubao sawa, Yanga 1-1 Mwadui
28' Yanga wanapata mpira wa adhabu ndogo nje...
Naaaaaaam Barabara kabisa...
Karibuni wapendwa wanamichezo katika mpambano wa kukata na shoka kati ya Simba ya Tanzania dhidi ya Kaizer chiefs ya Afrika Kusini, mechi hii ni ya mkondo wa pili baada ya ile ya kwanza kuchezwa Afrika kusini jumamosi iliopita 15/5/2021 ambapo Matokeo yalikuwa...
Nime observe striking similarities baina ya Marais walio tangulia mbele za haki kwa Tanzania:
1. Wote ni Marais walio toka upande mmoja wa muungano, Tanzania Bara.
2. Wote walikua wasomi zaidi Kuliko walio baki.
3. Wote walikua dini moja, wakristo.
4.Wawili Kati yao walirekebisha uchumi kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.