benz

Mercedes-Benz (German: [mɛɐ̯ˈtseːdəsˌbɛnts, -dɛs-]) is a German global automobile marque and a division of Daimler AG. Mercedes-Benz is known for luxury vehicles, vans, trucks, buses, coaches and ambulances. The headquarters is in Stuttgart, Baden-Württemberg. The name first appeared in 1926 under Daimler-Benz. In 2018, Mercedes-Benz was the largest seller of premium vehicles in the world, having sold 2.31 million passenger cars.Mercedes-Benz origins' come from Daimler-Motoren-Gesellschaft's 1901 Mercedes and Karl Benz's 1886 Benz Patent-Motorwagen, which is widely regarded as the first internal combustion engine in a self-propelled automobile. The fuel was not gasoline, it was a much more volatile petroleum spirit with several names including ligrane/ligrain/ligroin. This was used as a degreaser, spot remover, paint thinner, etc. and was so quick to burn or explode, it was not stored inside. The slogan for the brand is "the best or nothing".

View More On Wikipedia.org
  1. Mnyenz

    Magari ya milioni Tano (5M) kushuka chini

    Ndugu msomaji, namba yangu ni 0712 148001. Magari nitakayopost kwenye uzi huu, bei yake ni milioni tano kushuka chini, usije kukubali kupigwa. Nunua gari kuendana na uchumi wetu wa mitano tena. WhatsApp 0712 148001.
  2. D

    Kinahitajika kichwa (cabin) ya Mercedes Benz Axor 2540.

    Kinahitajika kichwa (cabin) ya Mercedes Benz ambayo bado ina hali nzuri.
  3. E

    Mercedes Benz B180, W246 (2012-2018)

    Habari wakuu, Naomba experience kwa mtu amewahi kumiliki gari ya kwenye subject line hapo, petrol option. Changamoto yake kubwa (kama zipo) Vitu vya kuwa navyo makini Average consumption (japo hii najua mara nyingi ni subject to other factors) Natanguliza shukran.
  4. Faana

    Mercedes Benz Generations

  5. Damaso

    Athari Tatu za Kuondoka kwa Lewis Hamilton Kutoka Mercedes

    Mercedes Benz ilimpa Lewis dola milioni 100 kwa miaka miwili na akakataa offa yao. Mercedes Benz, ikagoma katukatu kumpa Sir Lewis Hamilton nafasi ya ubalozi. BONGE LA MISTAKE! Ferrari haikumpa dola milioni 100, lakini iliwekeza dola milioni 446 kwa Sir Lewis Hamilton na taasisi zake za...
  6. DexterLab

    Msaada mwenye biti la wimbo wa kovu ulioimbwa na moni centrozone ft Chidi Benz.

    Msaada tafadhali mp3 NB: beat na sio vocal
  7. Manfried

    Wasanii na ndugu wa Chid Benzi mpelekeni hospitali, huo Mguu wake unaoza

    Chid Benz alipata Tatizo katika Mguu wake na sasa ni zaidi ya mwaka bado hajapata matibabu yanayoeleweka. Huu mguu wake umeshaanza kutoa harufu Kali inayoashiria Tatizo ndani yake. Kwa bahati Mbaya hajapata Matibabu yoyote imara yenye kuweza kumfaa huyu Kijana kupona. Kama ilivyo watanzania...
  8. Benzie

    Benz inayopumua: Jiunge nami tujifunze mengi

    1: Hello humans. My name is Benzie. Mercedes Benz. Iam six months old. Iam a girl. Naomba mnipokee na mnipe nafasi ktk mtandao wenu huu bora kuliko yote hapa Tz🙏🏼🙏🏼. Lengo la kujiunga hapa JF ni; 1)Kuonyesha karama zangu mbalimbali alizonijalia Mungu.Mimi ni paka mwenye uwezo wa kufanya vitu...
  9. chiembe

    Katikati ya kikao Arusha, Makonda atamba kumnunulia Mercedes Benz mtangazaji Cza wa Clouds, alimpigia simu akamchagua aje amuulize maswali

    Nilisikiliza interview ya Makonda huko Arusha, na moja ya jambo alilojitapa ni kumpatia gari mtangazaji wa Clouds aitwaye Cza. Na Cza anakiri kwamba alienda Arusha kwa kuitwa na Makonda, na si kwa kupangiwa kazi na ofisi. Naona kuna mradi wa kumtakatisha mtu.
  10. ukwaju_wa_ kitambo

    KG feat Chidi Benz - Toka Kitambo

    Yeah...!! Aaah Aah Aah Dar es salaam stand Up Again.. Kg song Chuma. Aaah Aaah Aaah Verse.. 1. ( chid benz). Najulikana kama Ugali msingi na Secondari/ Boma primary mita chache na usawa wa Bahari/ Rashind Abdallah nyota kutoka kwa Allah /nipo hapa kama ishara Imara kazi fundi seremala...
  11. Mad Max

    Xpeng Motors wamezindua P7+ Electric Sedan: World first AI car

    Kampuni ya magari kutoka China, Xpeng Motors, baada ya kufanya teaser kwa muda mrefu, hatimaye wamezindua P7+ EV leo tarehe 10 October. Leo wakati wa uzinduzi, Xpeng walisema P7+ ni “World’s first AI car” na mauzo yataanza tar 14 mwezi huu October ila delivery itaanza November. P7+ ina...
  12. Waufukweni

    Chidi Benz ataja sifa za Mwanamke ambaye hawezi kumuoa

    Kila mwanaume ana vigezo maalum au sifa anazozitazamia kwa mwanamke ambaye angependa kuwa naye kwenye ndoa, na mara nyingi tabia hizi zinakuwa ni msingi muhimu kabla ya kuingia kwenye mahusiano. Msanii wa muziki wa Hip Hop, Rashidi Abdallah, maarufu kama Chidi Benz, amefunguka kuhusu aina ya...
  13. Mad Max

    Mercedes Benz C Class (W205) hii chuma Wajerumani walituliza vichwa. Hadi sasa naamini ndio the best katika segment yake

    Wakuu. Katika segment ya compact executive cars tunakutana na wakali wengi sana, mfano BMW 3 series, Mercedes Benz C Class, Audi A4, Volvo S60, Genesis G70, Lexus IS nk. Yote tisa, hii generation ya nne ya Mercedes Benz C Class, W205, iliyoanza mwaka 2014 hadi 2021 ni namba nyingine kabisa...
  14. M

    Nauza Mercedes Benz C Class (EHQ) TZS. 22m

    From Japan YOM 2007 1790cc Automatic Petrol 105,000 Kms Dar Es Salaam . 0717 650800
  15. ukwaju_wa_ kitambo

    Professor Jay & Chid Benz (msilie)

    PROFESOR JAY FT CHID BENZ - MSILIE. ( PRODUCER LAMAR) 41 records.. Verse .. 1. Yeah! Na muomba Mungu ili tuweze kuyakabili/ yanayojili mengi wahenga waliyatabili/ ona nyumba za ibanda leo zimengeuka biashara/ unapata neno la Mungu baadae tiba mbadala/ unafanya usichopenda Wana hubiri...
  16. GENTAMYCINE

    Kwa hii Kauli ya Kidharau niliyomsikia nayo huyu Mtangazaji wa Kike wa TBC1 Janet Leonard leo Asubuhi kwa Atakayemtongoza awe na Gari ya MERCEDES BENZ

    Tusipotezeane sana muda kwani bado nina HASIRA KALI ya Timu yangu ya WAPUMBAVU SC a.k.a Kisingizio cha bado TUNATENGENEZA Kikosi kufungwa tena Wiki iliyopita na kuendeleza ule msemo kuwa Mke huwa hana Ubishi wa Mume. "Kuna Clip moja niliiona Tembo akinyanyua Kigari cha ki IST hadi nikaogopa"...
  17. Mnyenz

    Nauza spea used za magari haya kwenye picha

    ANGALIA PICHA ya gari yako unichek kwa hitaji la spea. WhatsApp 0712 148001. Pia nanunua magari chakavu . Ukiniunganisha nikanunua gari posho MLIMA. Pia nitakua natoa vocha mara moja moja kwenye uzi huu.(simu ziite jamani). Mods uzi usiunganishwe.
  18. Mnyenz

    INAUZWA Nauza spea used za magari haya kwenye picha

    ANGALIA PICHA ya gari yako unichek kwa hitaji la spea. WhatsApp 0712 148001. Pia nanunua magari chakavu . Ukiniunganisha nikanunua gari posho MLIMA. Pia nitakua natoa vocha mara moja moja kwenye uzi huu.(simu ziite jamani).
  19. GoldDhahabu

    Mercedes Benz G Wagon lina upekee gani?

    Naomba kujuzwa! Japo sivutiwi na mwonekano wa nje wa gari tajwa, linaonekana lina upekee usio wa kawaida. Bei yake ipo juu sana. Ningekuwa na ndugu au rafiki mwenye nalo, ningeomba alau lifti ili niujue uzuri wake halisi. Lazima lina upekee unaolifanya liwe ghali sana kuliko magari mengine...
  20. GENTAMYCINE

    Namfuatilia sana Chid Benz na hasa Interviews zake mbalimbali na nilichoguandua Jamaa ni Genius sema dunia ya Walimwengu imemuwahi tu

    Huwa nikimsikiliza sianzi Kumhukumu kwa Madhaifu yake na yaliyompata ila nakuwa makini sana kusikia kile ambacho anakitoa kutoka katika Kinywa chake na hakika huwa navutiwa mno na Madini yake ambaye unaweza hata usiyapate kutoka kwa PhD Holders, Maprofesa na Wasomi wengine nchini. Kama akitokea...
Back
Top Bottom