Leo tarehe 17 Julai 2020, Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu na Mwanachama wa ACT Wazalendo Ndugu Bernard Membe atazungumza na waandishi wa habari.
Ukumbi: Ofisi ya ACT Wazalendo Magomeni, Dar es salaam.
Muda: Saa 8.00 Mchana.
Waandishi wote mnakaribishwa.
Janeth Rithe, Naibu Katibu wa Habari...
ZITTO ANAJUA NINI ANAFANYA.
Mbowe alipompeleka Lowasa CHADEMA (inasadikika kidikteta) alisema wamebadilisha gia angani. Mbowe alikuwa anaamini Lowasa atashinda uchaguzi, alitegemea kuwa ile mitandao ya Lowasa italinda kura na CHADEMA kitashika madaraka. Baada ya matokeo ya uchaguzi (inasadikika...
Leo chama chetu kinampokea rasmi Ndugu Benard Membe ndani ya chama.
Kiongozi wa chama, Ndugu Zitto Kabwe; Mwenyekiti wa Chama Taifa, Ndugu Maalim Seif Sharifu Hamadi; na Katibu Mkuu wa Chama, Ndugu Ado Shaibu na viongozi wengine wa chama wa Bara na Zanzibar wote watawaongoza wanachama kumpokea...
Dar es Salaam, Tanzania
BERNARD MEMBE: NI UCHAGUZI WA KISHINDO
Mahojiano na mwandishi S. Kubenea wa MwanaHALISI TV nyumbani kwake Mh. Bernard C. Membe Waziri wa Mstaafu wa Mambo ya Nje nchini Tanzania, Bernard Membe amegusa mambo mengi kuhusu siasa nchini pamoja na nia yake ya kutaka...
Muda wowote kutokea sasa Membe atatangaza kujiunga na ACT Wazalendo.
Huu utakuwa ni ushindi kwa Zitto Kabwe maana amekuwa akimuomba sana Membe kujiunga ACT.
The way things are going on in this part of the world, the horror of the dictatorial regime, we the people of Tanzania have no choice except to vote out president Magufuli in the forthcoming elections in october this year.
President Magufuli has squandered a good opportunity to build a nation...
Nimemuangalia Rais Magufuli kwenye mikutano mingi sana akihutubia. Niseme tu kuna uhodari fulani anaukosa kwenye kuhutubia ambao ni 'Precision' - usahihi na umakini wa maneno.
Usahihi na umakini ni silaha muhimu sana unapoongea kwenye umati wa watu ambao wanatofautiana utamaduni, imani, na...
Nataka Sana kuamini Bernard Membe ana kitu 'interesting'anakuja nacho lakini nashindwa.
Nionavyo Mimi story ya Bernard Membe itaishia kule kule ilipoishia ya Lowasa na Mrema na wengine.
Nashindwa kabisa kumtazama Bernard Membe kama 'mtu mwenye master plan'
Ya kumtoa Magufuli au hata kuleta Tu...
Mwanasiasa ambaye anaonekana Msumbufu kwa kipindi hiki , ameandika huko katika mtandao was Twitter kuhusu Mchakato wa Kumpata Rais Trump wa Marekani kugombea awamu ya pili
Aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya nje na Ushirikiano wa Kimatifa wakati wa Serikali ya Tanzania, Bernard Membe ambaye mwezi Februari mwaka huu chama chake cha CCM kilipendekeza kumvua uanachama wake amesisitiza kuwa dhamira na uamuzi wake wa kuwania nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa...
Siwezi kusema kauli ya Father of The Nation Mwl. JKN kuwa mpinzani wa kweli atatoka ndani ya CCM, maana hata wakati wa Edo kauli hii ilitamkwa sana na kuaminisha umma kuwa sasa siasa ya Tanzania imepata uhalisia.
CCM ni chama chenye mizizi iliyosambaa sana kiasi ukichimba juu juu huwezi kuiona...
Membe anasema:
Kuhusu kugombea ndani ya CCM:
Kuhusu kugombea ndani ya CCM, tukafikia mwafaka na Washauri, Tukafikia uwamuzi kwamba, sisi hatujamkosea mtu, sisi hatujawa waharifu, sisi hatuna uoga na tunaniamini, sisi tuna haki kabisa kabisa ya kugombea urais huu kwa sababu tunalindwa na Katiba...
Akihojiwa na DW, waziri wa zamani wa mambo ya nje mheshimiwa Bernard Camilius Membe amesema katika awamu hii ya utawala wa Magufuli, diplomasia imeshuka mno.
Membe anaonya kwamba, tanzania awamu hii inajiendeshea mambo kivyakevyake nje ya utaratibu wa jumuia ya kimataifa.
Akoingelea suala la...
"Tulikuwa chipukizi wa chama cha mapinduzi,tukakulia humo,tukasomea humo hatimaye tukaja kuitumikia serekali hiyo hiyo ya chama kilichotukuza kwa weledi na upendo mkubwa,kwa diplomasia makini,kitu kilichosababisha viongozi wa kuu wa dunia kuomba kuja kutembelea taifa letu na kujifunza mambo...
CCM wanamuogopa B. Membe? Kwanini kauli hii ya Katibu Mkuu?
Nimejiuliza kwanini asingeonywa badala yake wanamfukuza tena wanamtaka ombe radhi na kurudi?
"Milango wanachama waliofukuzwa kuomba radhi wakasamemeha iko wazi, mimi tangu nimefika nimeshasaini barua za misamaha ya waliofukuzwa 14...
Wanabodi Salaam.
Ikiwa taarifa za kufukuzwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi Ndugu. Bernard Camilius Membe zikiwa bado zinatikisa mimbari ya siasa Tanzania, nimejikuta ninakumbuka matukio machache kabla ya uchaguzi mkuu uliopita mwaka 2015.
Ikumbukwe wakati ule mgombea aliekuwa anapewa nafasi...
Mwamba wa pande za Kusi, mwanadiplomasia nguli Bernard Membe ameunguruma baada ya kutoswa na CC ya CCM.
Ngoma bado mbichi kabisa hii.
Kwa undani zaidi, jipatie nakala yako ya "The Citizen" hapo kesho Jumamosi 29 February.
,
Pia Gazeti la Mwananchi, Februari 29, 2020 limeandika:
=======
Dar...