bernard morrison

Bernard Morrison (born 20 May 1993) is a Ghanaian professional footballer who is currently playing for Simba SC in the Vodacom premier league.

View More On Wikipedia.org
  1. liwaya

    Mahakama ya kimataifa ya usuluhishi wa michezo ‘CAS’ imetupilia mbali Rufaa ya klabu ya Yanga, dhidi ya mchezaji Bernad Morrison

    Nasikia kitu kizito kimeshatua huko Ila imetoka kwa lugha ya malkia mwenye taarifa atuwekee kitu hapa ==== MAHAKAMA ya kimataifa ya usuluhishi wa michezo ‘CAS’ imetupilia mbali Rufaa ya klabu ya Yanga, dhidi ya mchezaji Bernad Morrison Raia wa Ghana na kumfanya mchezaji huyo kuwa halali...
  2. M

    Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa

    Hakuna Wakili anayedharaulika Tanzania nzima kama Alex Mgongolwa (Mkuu wa Jopo la Mawakili) wa hovyo hovyo waliojitutumua Kupambana na Wakili Msomi Mmoja tu Raia wa Ghana huko CAS Bernard Morrison na leo Kawaumbua. Kuna Wakili Msomi Mmoja (tena Mwandamizi tu) aliwahi kunipa Takwimu za Kesi...
  3. demigod

    Ghetto la Bernard Morrison ni hatari

    Hivi ndivyo wenzetu wanavyojali wachezaji wao... Ona ghetto la mchezaji wao wa kimataifa linavyo fanana. Yanga SC mna mengi sana ya kujifunza...kutoka kwa Boss Mo Dewji.
  4. GENTAMYCINE

    Ukweli utakaojitokeza juu ya Hukumu ya Kesi ya Bernard Morrison ambao Msemaji Bumbuli na Mawakili Uchwara wa Yanga SC hawaujui

    Siku zote Watu wa Simba SC ambao 99.99% si tu kwamba ni Wasomi bali pia tumebarikiwa Akili Kubwa ili tuweze kutoa Elimu kwa Mashabiki wenye bahati mbaya ya kuwa na Upeo mdogo pamoja na Uelewa mbovu kama wa Yanga SC. Hivyo basi kwa Faida ya Watu wenye Uelewa mdogo wa Kufikiri kutoka Yanga SC...
  5. GENTAMYCINE

    Baada ya Kutuaminisha kuwa Hukumu ya Bernard Morrison ni leo, hatimaye mambo yawa Magumu kwa Yanga SC mpaka 14 Agosti, 2021

    Ushauri wangu wa bure tu Kwenu huu muda mwingi ambao mnautumia kutaka Kuwaaminisha Mashabiki zenu kuwa mnashinda Kesi dhidi ya Mchezaji Bernard Morrison na leo imegonga mwamba tena kwa Hukumu yake kutolewa mngeutumia katika Kusaka Wachezaji wazuri wa Kukiimarisha Kikosi chenu Kibovu. Ndani ya...
  6. M

    Itakuwaje ikionekana Morisson ana mkataba na Yanga?

    RATIBA YA KESI KASI WEEK HII 26.07.21 CAS 2021/A/7689 Dilhara Lokuhettige v. International Cricket Council (ICC) CAS 2021/A/7935 International Cricket Council (ICC) v. Dilhara Lokuhettige 29.07.21 CAS 2020/A/7397 Young Africans SC v. Bernard Morrison 05.08.21 CAS 2021/A/7799 Yeni Malatyaspor...
  7. BASIASI

    Zahera aliadhibiwa kuvaa pensi; Morrison kavaa chupi hajaadhibiwa. TFF mnaiogopa Simba?

    Huu ni upumbavu kabisa! Aliekuwa kocha wa Yanga Mwinyi Zahera aliadhibiwa kwa kuvaa pensi Kitendo cha Morrison kubaki na chupi nilitaraji kusikia Waziri husika, BMT na TFF vikikemea tendo lile Mpaka sasa hakuna aliyeamka kuongelea inasikitisha sana sana Unawaza shida n isimba ama shida ni...
Back
Top Bottom