bifu

The Banking, Insurance and Finance Union (BIFU) was a British trade union.
The union was founded in 1946 as the National Union of Bank Employees (NUBE), when the Bank Officers' Guild and the Scottish Bankers' Association merged. In 1979, it was renamed the Banking, Insurance and Finance Union. In 1999, it merged with the NatWest Staff Association and the Barclays Group Staff Union to form UNIFI.By the time of its merger, the union had 113,000 members, in national and international banks, the Bank of England, insurance companies, building societies, finance houses and the Financial Services Authority. It was affiliated to the Trades Union Congress.

View More On Wikipedia.org
  1. dvj nasmiletz

    Dada yako unayempenda sana anataka aolewe na jamaa ambaye una bifu naye la 2-Pac na Big

    Husika na kichwa hapo juu. Utamridhisha dada yako wako wa pekee kwa kuruhusu aolewe naye huyo jamaa ambaye ni paka na panya kati yenu au utamkatalia ili abaki bila furaha (ambayo ndio kitu unapenda awe nacho)
  2. PACHOTO

    Salaam SK- Harmonize bifu hilo kwio

    Msibani Morogoro mazishi ya Mke wa Babu Tale, SALAAM SK mmoja wa mameneja wa Diamond akataa mkono wa HARMONIZE, binfsi sijapenda bifu hadi msibani, kama hasira angekuwa nazo Harmonize kwa zile M600, sio yeye. NB: kumbe WCB walikuwa wanafaidika na uwepo wa TEMBO sasa mambo magumu
  3. Jackal

    Hivi Carry Mastory huwa ana bifu na Diamond?

  4. Influenza

    Mrisho Gambo atenguliwa Ukuu wa Mkoa wa Arusha

    UTEUZI WA RC ARUSHA NA DC ARUSHA WATENGULIA Rais Magufuli, leo ametengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo na nafasi yake imechukuliwa na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Monduli, Idd Kimanta Pia ametengua uteuzi wa Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Gabriel Daqarro na nafasi yake imechukuliwa...
  5. Planett

    Bifu kati ya 50 Cent na Rick Ross.

    Hawa jamaa nilikua nasikia tuu kua wana bifu ambalo hakuna wa kuamua ila leo nimeamini. Cheki hii verse kutoka kwenye wimbo wa Rick Ross unaoitwa BUY BACK THE BLOCK anamwambia 50 Cent kua "nina kazi kwa ajili ya baba yako". Hii ni dharau ya kiwango cha juu sana. It's time to clean up the...
  6. Burnaboy

    Somo kutoka kwa Davido na Wizkid: Bifu zina mchango gani kwenye kukuza au kuua wasanii?

    Jana nimemsikia presenta mmoja wa radio maarufu akidai kwamba "wasanii wa Nigeria wanaendelea sababu wana UMOJA, hawana ma-bifu". Hata wasanii wanaoheshimika bongo wamekua wakitoa hii hoja. Je, ni kweli wasanii wa Nigeria wana UMOJA? (kwa kuangalia mfano wa Davido na Wizkid).Je, bifu zina faida...
Back
Top Bottom