Habari za majukumu ndugu zangu wote!
Nategemea kuoa mwakani Mungu akijaalia, kutokana na expirence ya mahusiano ya sasa na maisha kwa ujumla Mimi binafsi nimetamani kutaka kuoa mwanamke ambaye ni BIKRA.
Nina sababu zangu nyingi saana, awe na age yoyote japo najua Bikra wengi watakuwa range ya...