Ukiona World Bank wananunua hisa za Equity bank ujuwe kwamba wao wameona Equity bank ina future nzuri. Britam insurance ilinunua shares za Equity zamani sana wakati bado Equity ilikuwa kampuni ndogo. Britam imeuza 6.7% ya shares ya Equity kwa IFC ambayo ni taasisi ya World Bank na kulipwa ksh 13...
Of late I discussed with you and therefore whistleblowing in regard to public fund stealing in the organization I am working on currently. Actually, I have been trying to share in piecemeal which in a way did not become effective.
The story started way back in 2015 whereby the CIA. Alphonse...
Safaricom is set to pay an interim dividend of Sh25.64 billion equivalent to Sh0.64 per share.
The dividend will be 42.44 percent higher or Sh7.64 billion more compared to a year earlier when it paid a first-ever interim dividend of Sh18 billion equivalent to Sh0.45 per share.
The telco said...
Wana JF,
Nijambo la kusikitisha sana kuona kiwanda cha mzalendo kilichojizolea sifa kemikemi kufanya hujuma na kufanya unyanyasaji wa wafanyakazi kwa kiwango chajuu.
Mpaka sasa hakuna mfanyakazi anaijua kesho yake maana mwenye kiwanda anakuwa kana ana kichaa. Hadi kuna wakati anamfukuza hadi...
Wadau huwa tunapigana vita sana huku lakini ukweli usemwe kwamba nchi hizi mbili zikiweka vita kando tunaweza kufanya biashara nzuri sana. Baada ya miezi 11, biashara kati ya Kenya na Tanzania imefikia 905 million dollars na hapo ikumbukwe kuna mwezi moja bado haujahesabiwa. Rais wenu yule...
Wakenya wanaoishi nje ya nchi walituma nyumbani USD 3.7 billion mwaka wa 2021. Hii pesa ni nyingi sana na imeingia kwenye uchumi wetu.
Remittance inflows hit RECORD HIGH in December.
The cumulative inflows in 2021 were a record of USD 3,718 million from USD 3,094 million in 2020, a 20.2...
December 25 2021 NASA kwa kushirikiana na shirika la anga la Canada na Ulaya wamerushe Telescope yenye thamani ya $10 Million yenye Tekinolojia ya hali ya juu sana kwenda kumulika anga za mbali na kutupa data za anga za Mbali kuona matukia ya Miaka 13 Billion iliyo pita.
Ina onesha kama upuuzi...
Ndiyo muite queen vee bosset amezawadiwa mercedes benz pullman na mume wake lenye thamani ya zaidi ya shillingi za kitanzania bilioni 5.
Wadada wa humu ndani iwe funzo kwenu na sio kuhongwa viiphone mnajiona mmefika! Angalieni mwenzenu vera anaenjoy maisha ana hela sio nyie waganga njaa wa...
Takribani siku kadhaa mitandao ya jamii imegubikwa na hoja ya utata wa akiba ya Taifa (6,253B). Hoja kubwa si kiasi si thamani ya kiasi bali neno Bilioni katika dollar ya kimarekani badala ya Milioni. Kiasi ni kikubwa kikilinganishwa na Milioni za mikopo, watu wanahoji kwanini kukopa ikiwa pesa...
Browser ya kuperuzi ya Google chrome inatumika na zaidi ya watumiaji Bilioni 2 ambao wanaitumia sana. Hivi karibuni kuna kesi inaendelea baada ya tetesi kuonyesha zaidi ya Watumiaji Bilioni 2 wa Google Chrome wapo katika hatari ya data zao kukusanywa sana mitandaoni kutokana na baadhi ya...
Wana Jf,
Kama utabiri ukitokea uenda Kagera ikapoteza fedha nyingi kwa kile tunachokiita upuuzi wa mwombolezaji mmoja toka Chato. Chato imebebwa na Kagera miaka mingi tangia falme mpaka kuwa wilaya kamili. Sasa hawa jamaa wanaleta unazi kuwa kila kiongozi mkuu apewe anachohitaji, kwa njia hii...
Dar es Salaam. The Court of Appeal said Vodacom Tanzania must pay the Tanzania Revenue Authority (TRA) Sh3 billion withholding tax on purchase of a computer software from Siemens Telecommunications (Pty) Limited.
The highest court in the land has upheld decisions of the Tax Revenue Appeals...
Dar es Salaam. The government of Tanzania has secured a total of Sh570.6 billion in loans from World Bank for the construction of phases 3 and 4 of the Bus Rapid Transit (BRT), a senior official revealed yesterday.
Phase Three of the BRT project involves construction of infrastructure projects...
Tanesco loses Sh16 billion per month
MONDAY OCTOBER 18 2021
Director general for Tanzania Electric Supply Company Limited (Tanesco), Mr Maharage Chande.
Summary
Tanesco is a big organisation, which collects a revenue worth of Sh1.8 trillion per month, but 60 percent of that money is a loss...
Huyo Tonny Blair tuko wengi tunamuona kama mzandiki fulani.
Alimuunga mkono Bush kuivamia Iraq kwa sababu za uongo eti kuna silaha za maangamizi wakati ni uongo.
Nchi nyingine za Ulaya zilisita ila Tonny Blair akawa kimbelembele na wakaiangamiza Iraq tokea uchumi, watu wake hadi miundombinu...
Msanii, muigizaji, Mc Menina kaishtaki Multichoice akidai fidia ya 1.2 billions. Kadai alichafuliwa na kipindi cha umbea cha ICU
Wakati wa msiba wa mzazi mwenzake Mairmatha Jesse, Juma Lokole, Kwisa walifika msibani wakahoji majirani waliodai marehemu alitelekezwa na Menina akiwa anaumwa akawa...
Wadau Kenya inazidi kuonyesha kwamba sisi ndio baba wa ukanda huu hata likija kwenye swala la kukusanya ushuru. Kenya imekusanya ksh 476 billion katika muda wa miezi mitatu tu. Kiwango cha pesa ambacho Kenya inakusanya kwa muda wa miezi mitatu, Inaichukua Tanzania miezi sita kukusanya. Sasa sisi...
Wafanyabiashara hao wameamua kuondoka kutoka katika soko hilo kwa kukosa wateja hali iliyopelekea biashara kuwa ngumu.
Wafanyabiashara hao hawajui watalipa vipi madeni wanaodaiwa na taasisi mbalimbali za fedha.
Ikumbukwe soko hilo limejengwa na serikali kwa gharama ya shilingi bilioni 5. Pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.