Ndugu wanajf, naomba tupeane ujuzi, Kuna binti Moja nimetokea kumpenda, nimemwambia kuwa namuelewa nae akakubali ila shida ninapomwambia swala la kummega ananipa kalenda daily.
Naomba munipe ujuzi na mbinu ya kumshawishi huyu binti ili nimle.
Naomba michango yenu tafadhali