Binti Jua (born March 17, 1988) is a female western lowland gorilla in the Brookfield Zoo, in Brookfield, Illinois, outside of Chicago, US. She was involved in an incident in 1996, in which she tended to a three-year-old boy who had fallen into her enclosure.
Binti Jua (whose name means "Daughter of Sunshine" in Swahili) is the niece of Koko, a gorilla whose linguistic accomplishments have been the subject of several scientific studies. Her mother, Lulu, was originally from the Bronx Zoo and died on January 24, 2011, after residing at the Columbus Zoo and Aquarium. Her father is Sunshine, from the San Francisco Zoo.
A Form Four girl was stabbed to death in Kavasya, Kitui under unclear circumstances.
Maluki Mumo, the area chief, reported the incident on Monday night, saying the perpetrator stabbed the victim several times.
According to witnesses, the 27-year-old also attempted suicide by stabbing himself...
Sakata la Mtoto na mwanafunzi wa miaka 15 kulubuniwa kimapenzi na Mwenyekiti wa CCM Mbeya Mjini.
Sakata hilo limeshafika kwa RPC na RC wa Mbeya.
Mzazi na Baba wa mtoto huyo amelalamika kunyimwa ushirikiano baada ya kufika ofisi ya RC Mbeya na kumfikishia malalamiko yake.
Chanzo: HAROUBTV.
Binti huyo aitwae Israella (8) alifariki siku ya jumatatu tar 29/3 nchini Kenya alipokuwa anapatiwa matibabu kutokana na matatizo ya mapafu. Hata hivyo, familia imelalamikia kitendo cha Serikali ya Malawi kuizuia kuruka ndege binafsi iliyokuwa inamuwahisha mtoto huyo hospitali na hivyo...
Wakuu nimeanza mahusiano na binti wa Kihaya amehitimu mwaka Jana MUHAS - Doctor of Medicine (MD)
Sasa anatafuta ajira ila nilipofikisha taarifa home kuwa nataka tupeleke mahari kwao. Wazazi wamekataa katakata bila sababu.
Ushauri tafadhali. Mimi Mnyasa wa Mbamba bay.
Umoja wa Mataifa umesema utaingilia kati hatua ya mamlaka ya Milki za Kiarabu (UAE) kumshikilia bila hiari Malkia Latifa, binti ya mtawala wa Dubai.
Malkia Latifa amemlaumu baba yake kwa kumzuilia mateka Dubai tangu alipojaribu kutoroka mji huo mwaka 2018.
Katika video iliyorekodiwa kisiri na...
Wanasheria hebu tusaidiane hapa.
Mfano binti alipata divisheni 3 mwaka 2018 na akawa mtaani sasa kapata mimba, yeye anasema bado ni mwanafunzi anasubiri kwenda form 5.
Je, hii ni kesi ya kumpa mimba mwanafunzi?
Umri usiozidi miaka 35.
Awe mtanzania wa kuzaliwa.
Asiwe amewahi kuwa ndani ya Ndoa (Kuolewa na kuachika-Hapana)
Awe amesoma angalau kiasi.
Awe mwenye Hofu ya Mungu.
Awe anajitambua na mwenye kujishughulisha.
Mvuto wa ndani uushinde mvuto wa nje.
Akiwa na Ajira yake/Kazi yake itapendeza ila si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.