Habari zenu wana jf, nimepata wazo la kuanzisha blog, nahitaji kufahamu faida na hasara kuhusu blog, kwa wale wanaojihusisha na hii kitu maana bado nahitaji kufahamu zaidi kuhusu blog. Karibu.
Unahitaji content(maudhui) inayovutia, yenye uhalisia, na inayobadilisha wasomaji kuwa wateja? Iwe kwa ajili ya blog/ website yako, product descriptions, email marketing, business documents, video scripts, au social media posts!
Tuna uzoefu wa kuandika makala, blog posts, SEO content, na hata...
Habri waungwana,
Naomba kujua ABCs zinazotakiwa kisheria na kitaaluma ili mtu aweze kufungua blog hapa nchini. nomba kujua kwanza taratibu za kufuata ili kuwekeza ktk blog hapa nchini pasi na kukutana na mkono wa gavoo.
Pia taratibu au hatua za kufuata (kitaaluma na kitaalamu ) ili kuifanya...
Pave Ayo Blog ni chanzo kinachopaswa kuondolewa mtandaoni kutokana na kueneza habari za kupotosha.
Tovuti hii imejikita katika kutoa taarifa zisizo sahihi na za kupotosha, ambazo zinaweza kuathiri mtazamo wa jamii na kuleta machafuko. Habari zinazotolewa kwenye blogu hii mara nyingi haziwezi...
Introduction: Why Blogging in 2024?
Starting a blog in 2024 offers incredible opportunities for personal expression and financial gain. With advancements in technology and digital marketing, blogging has become more accessible and rewarding. Whether you're aiming to share your passion, build a...
Habari wakuu njoeni tufanye kazi
Mimi ni Developer nipo na team yangu tunatengeneza software zote isipokuwa Os tu
Ila tunapunguzo la bei kwa wanaoitaji website ya wordpress au domain na themes kwa ajili ya blogger tunaset up SEO and other related issues
Karibu PM
Ukiwa na 100k unapata...
Blog yangu ina miaka miwili lakini hamna lolote;
Hamna hela
Hamna viewer
Hamna comment
Hamna faida yeyote
Wakuu niliingia kwa kukurupuka kwa kuwasikiliza Motivation speaker.
Naambulia kulipia tu domain
Habari zenu wanajamvii,
Mimi ni blogger mchanga, namiliki blog yangu hii www.binruwehy.co.tz kwaajili ya habari za michezo lakini ninashangazwa na jambo hili kwenye upande wa views kuna wakati nilikuwa natumia template fulani inaitwa korve ka siku nimekuwa nikipata views elfu 20 mpaka 50...
Jinsi ya Kujenga Blogu Inayofanikiwa na Kupata Pesa Mtandaoni 💨
Chagua mada unayopenda na inayoweza kuwa na hadhira inayoweza. Fanya utafiti kuhusu mada na mwenendo wa sasa ili kupata niche unayoweza kuandika.
Unda blogu kwa kutumia jukwaa kama WordPress au Blogger. Chagua jina la kikoa...
Ni kweli Yanga ndio walikuwa na tovuti mapema zaidi kuanzia mwaka 2012 tofauti na Simba walioanza kuwa na tovuti mwaka 2019 lakini kinachoendelea kwenye tovuti ya Yanga ni aibu na wala hakiendani na uzito wa idara ya habari inayofanya makubwa kwenye mitandao ya kijamii.
Daima mbele nyuma mwiko...
Mambo vipi bloggers
Kwa miaka kadhaa nimekuwa na blogs ninazoziandikia kimombo, sasa najikuta natamani kumiliki blog ya kiswahili.
Lengo langu nipate visitors 2M kwa mwezi kupitia SEO mana bongo competition ni ndogo
Swali ni je mnapataje mpunga kupitia hizi blog za kiswahili
Habari wakuu, endapo unahitaji blog nzuri kwaajili ya matumizi yako basi hapa umefika, tutakutengenezea blog yakisasa na kwa bei hizi;
1. Blog isiyo na custom domain name 10,000/= yaani address yake inakuwa hivi (jinakako.blogspot.com)
2. Blog + custom domain name 30,000/= yaani address yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.