blog

  1. Technophilic Pool

    Mwenye kuweza kutengeneza Blog kama hii aje tuongee biashara

    Wakuu nataka blog advanced kama hii. Tafadhari kabla hujasema dau ipitie kwanza uione
  2. Technophilic Pool

    Blog /Website 10 Bora zinazolipwa vizuri Tanzania

    Hizi ni Blog/Website zinazolipwa vizuri tanzania 1.Mabumbe .com -Milion 100 /mwezi 2.Millard Ayo-million 88/mwezi 3.The citizen-Million 75/mwezi 4.Ajira yako- Milion 43/mwezi 5.Kupatana -Milion 39/Mwezi 6. 7. 8. 9. 10. Itaendelea
  3. 2v1

    Nahitaji kuanzisha blog

    Habari zenu wana jf, nimepata wazo la kuanzisha blog, nahitaji kufahamu faida na hasara kuhusu blog, kwa wale wanaojihusisha na hii kitu maana bado nahitaji kufahamu zaidi kuhusu blog. Karibu.
  4. Hypersonic WMD

    Namiliki blog ila sioni faida yake

    Wakuu nina hii blog ambayo naimiliki lakini hamna inachoniingizia
  5. RMK Freelance services

    JE, UNAHITAJI CONTENT KWA AJILI YA BLOG, WEBSITE, AU SOCIAL MEDIA POSTS? TUKO HAPA KUKUSAIDIA!

    Unahitaji content(maudhui) inayovutia, yenye uhalisia, na inayobadilisha wasomaji kuwa wateja? Iwe kwa ajili ya blog/ website yako, product descriptions, email marketing, business documents, video scripts, au social media posts! Tuna uzoefu wa kuandika makala, blog posts, SEO content, na hata...
  6. milele amina

    Pave, Ayo Blog kwenye Group la Whatsapp la Moshi yetu, lengo lake ni nini?

    Fuatilia,tupe ushauri!
  7. S

    Naomba kujuzwa ABCs zinazotakiwa kisheria na kitaaluma ili mtu aweze kufungua blog hapa nchini

    Habri waungwana, Naomba kujua ABCs zinazotakiwa kisheria na kitaaluma ili mtu aweze kufungua blog hapa nchini. nomba kujua kwanza taratibu za kufuata ili kuwekeza ktk blog hapa nchini pasi na kukutana na mkono wa gavoo. Pia taratibu au hatua za kufuata (kitaaluma na kitaalamu ) ili kuifanya...
  8. milele amina

    Ukweli: Pave Ayo Blog ni chanzo kinachopaswa kuondolewa mtandaoni kutokana na kueneza habari za kupotosha

    Pave Ayo Blog ni chanzo kinachopaswa kuondolewa mtandaoni kutokana na kueneza habari za kupotosha. Tovuti hii imejikita katika kutoa taarifa zisizo sahihi na za kupotosha, ambazo zinaweza kuathiri mtazamo wa jamii na kuleta machafuko. Habari zinazotolewa kwenye blogu hii mara nyingi haziwezi...
  9. Jackson News

    The Ultimate Guide to Starting a Blog in 2024 in December

    Introduction: Why Blogging in 2024? Starting a blog in 2024 offers incredible opportunities for personal expression and financial gain. With advancements in technology and digital marketing, blogging has become more accessible and rewarding. Whether you're aiming to share your passion, build a...
  10. Andazi

    Natengeneza Website (From Scratch or CMS(Wordpress) na blog OFA

    Habari wakuu njoeni tufanye kazi Mimi ni Developer nipo na team yangu tunatengeneza software zote isipokuwa Os tu Ila tunapunguzo la bei kwa wanaoitaji website ya wordpress au domain na themes kwa ajili ya blogger tunaset up SEO and other related issues Karibu PM Ukiwa na 100k unapata...
  11. Friedrich Nietzsche

    Natafuta AI ya kutengenezea picha kwa ajili ya blog

    Wakuu nahitaji kutengeneza picha za kuweka kwenye blog
  12. Technophilic Pool

    Blog ina miaka 2 lakini hali mbaya!

    Blog yangu ina miaka miwili lakini hamna lolote; Hamna hela Hamna viewer Hamna comment Hamna faida yeyote Wakuu niliingia kwa kukurupuka kwa kuwasikiliza Motivation speaker. Naambulia kulipia tu domain
  13. Cecil J

    Blog ya Millardayo.com imekuwa suspended baada ya kutolipia huduma ya hosting

    ...
  14. Abu Haarith

    msaada kwenye blog yangu jambo hili linanichanganya

    Habari zenu wanajamvii, Mimi ni blogger mchanga, namiliki blog yangu hii www.binruwehy.co.tz kwaajili ya habari za michezo lakini ninashangazwa na jambo hili kwenye upande wa views kuna wakati nilikuwa natumia template fulani inaitwa korve ka siku nimekuwa nikipata views elfu 20 mpaka 50...
  15. Moseskyey

    How To Build A Successful Blog And Make Money Online memo

    Jinsi ya Kujenga Blogu Inayofanikiwa na Kupata Pesa Mtandaoni 💨 Chagua mada unayopenda na inayoweza kuwa na hadhira inayoweza. Fanya utafiti kuhusu mada na mwenendo wa sasa ili kupata niche unayoweza kuandika. Unda blogu kwa kutumia jukwaa kama WordPress au Blogger. Chagua jina la kikoa...
  16. sky soldier

    Yanga wapewe maua yao kwenye kitengo cha Habari lakini tovuti rasmi ni kituko, imekachwa, ina muonekano kama blog za udaku. Mtutolee hii aibu

    Ni kweli Yanga ndio walikuwa na tovuti mapema zaidi kuanzia mwaka 2012 tofauti na Simba walioanza kuwa na tovuti mwaka 2019 lakini kinachoendelea kwenye tovuti ya Yanga ni aibu na wala hakiendani na uzito wa idara ya habari inayofanya makubwa kwenye mitandao ya kijamii. Daima mbele nyuma mwiko...
  17. djwakibajaji

    Blog ya kiswahili ni rahisi lazima niifungue

    Mambo vipi bloggers Kwa miaka kadhaa nimekuwa na blogs ninazoziandikia kimombo, sasa najikuta natamani kumiliki blog ya kiswahili. Lengo langu nipate visitors 2M kwa mwezi kupitia SEO mana bongo competition ni ndogo Swali ni je mnapataje mpunga kupitia hizi blog za kiswahili
  18. Unasemeje

    Tunatengeneza Blog za kisasa pamoja na YouTube Channels. Malipo ni baada ya kazi

    Habari wakuu, endapo unahitaji blog nzuri kwaajili ya matumizi yako basi hapa umefika, tutakutengenezea blog yakisasa na kwa bei hizi; 1. Blog isiyo na custom domain name 10,000/= yaani address yake inakuwa hivi (jinakako.blogspot.com) 2. Blog + custom domain name 30,000/= yaani address yake...
  19. Roy Keane

    Nauza Blog yangu

    Blogger blog Iko mezani nauza. Bei ni Laki 2 , ukinunua nakupa na channel yake ya Telegram.Blog hii hapa . Nicheki DM
Back
Top Bottom