blog

  1. Kasomi

    Zifahamu Biashara zinazolipa sana mitandaoni

    Zifahamu Biashara Zinazolipa Zaidi Mtandaoni. Biashara hizi pia zinakuja na changamoto zake hivyo ni vizuri kuchagua unayoiweza Linapokuja swala la biashara mtandaoni ni wazi kuwa kila mtu ana upeo wake pamoja na uzoefu unaomsaidia kupata pesa mtandaoni, lakini pia kufanya biashara mtandaoni...
  2. AKILI TATU

    Msaada jinsi ya kuweka blog banner ambayo ni responsive

    Wanabodi habari, naomba kufahamishwa namna ya kuset blog ads banner katika mfumo wa responsive maana Kila nikiweka kwenye simu muonekano wake unakuwa mbaya ..ni code Gani nafaa kuweka..!? Pia naomba msaada wa kujua namna ya kuset slide ads banner kwenye blog...yani natengeneza vipi haya...
  3. Simeone

    MSAADA: Jinsi ya kuweka football livescores katika blog

    Habari zenu wakuu, je nitumie njia gani kuweka football livescores katika blog yangu tofauti na kutumia iframe? Msaada Pls!
  4. Binadamu Mtakatifu

    Natafuta blog and youtube channel partner

    Hi nimetengeneza blog na youtube channel yake na Android app ya blog nahitaji partner wa kifanya nae kazi ya kuiendeleza kwa faida ya 50/50 ila bado aijaanza kuingiza mapato kwa sasa link ya blog iihapo na soon nitanunua domain name mpya www.supersoundtz.blogspot.com njoo Pm tuyajenge sitozi pesa
  5. Rogers255

    Nini maana ya breadcrumbs issues detected na kwanini inatokea kwenye blog

    Wakuu. Nilikua nauliza mini maana ya breadcrumbs issues detected kwasababu Mimi nilikua na blog yangu na baadae nili submit kwenye sitemap ilichukua wiki tatu tu wakanitumia icho kitu na sasa ninavyo waambieni blog yangu aipatikani kwenye search engine anaejua anisaidie jamani
  6. Izizimba

    Msaada: Naomba mwenye templates nzuri ya blog anisaidie

    Wakuu habari! Naomba mwenye template nzuri ya blog anisaidie
  7. Father TZA

    Msaada wa namna na gharama za kusajili Blogu

    Habari Wakubwa? Kulingana na suala la ukosefu wa Ajira nchini na Duniani kwa ujumla, baada ya kuhitimu mafunzo yangu ya chuo, nahitaji kufungua blogu yangu, ambayo inakuwa kama entertainment and news media, ili niweze kujipatia chochote kitu. Naomba kujua taratibu za kisheria hususan TCRA...
  8. Badmantebwe

    Aina 3 za blog zinazofaa kuanzisha 2021 ili kuongeza kipato

    Blog ni nini? Blogu ni aina ya tovuti ambayo inatoa taarifa za kila siku za tasnia Fulani, machapisho katika bloghuwekwa mara kwa mara ili kutoa taarifa husika za kila siku. Taarifa hizi za kila siku zinaweza wekwa kwenye blog zinaweza zikawa habari, tetesi muziki na matukio. Mfano wa blogu...
Back
Top Bottom