bolt

The BOLT Browser was a web browser for mobile phones including feature phones and smartphones that can run Java ME applications. The BOLT Browser was offered free of charge to consumers and by license to Mobile network operators and handset manufacturers. BOLT was produced by Bitstream Inc., the company which previously produced the ThunderHawk for Mobile network operators and handset manufacturers.
BOLT was originally introduced into private beta on January 15, 2009 and was made available to the public on February 16, 2009 when the public beta was announced at Mobile World Congress in Barcelona. BOLT supported Java-based handsets with Java MIDP 2 and CLDC 1.0 or higher. BOLT also has specially optimized version for BlackBerry smartphones and worked with Windows Mobile and Palm OS devices that employ a MIDlet manager or Java emulator. BOLT was built using the WebKit rendering engine to display a full Web page layout as found on desktop web browsers.
In December 2011, BOLT Browser was discontinued and all installs were rendered useless.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    Toyota Rumion inaweza kitumika kama gari ya bolt?

    Wakuu, nipeni ufafanuzi juu ya hii gari Kwa matumizi ya bolt inafaa?
  2. Madereva zaidi ya 40,000 wafungiwa na Bolt, wapo wa makosa ya uhalifu

    Kampuni ya taski mtandao Bolt imeweka bayana madereva zaidi ya elfu arobaoni (40,000)wamefungiwa akaunti zao kutokana na makosa mbalimbali yakiwemo makosa ya uhalifu. Hayo yamebainishwa na Dimmy Kanyankole Meneja wa Bolt Tanzania wakati akibainisha jinsi kampuni hiyo ilivyowekeza pesa nyingi...
  3. J

    Nikihitaji kujiunga na Bolt au Uber wastani Shilingi ngapi kwa siku naweza ingiza?

    Habari, ningependa kufahamu nikiwa mmiliki wa pikipiki Dar es salaam na nikahitaji kujiunga na Bolt au Uber wastani tsh ngapi kwa siku naweza ingiza. Pikipiki yangu na naendesha mwenyewe. Kuna gharama zipi za uendeshaji pia.
  4. N

    Natafuta gari ya kufanyia Bolt/ Uber iwe dar au dodoma

    Mimi ni dereva wa tax mtandaoni nina leseni yenye daraja c nina acount zote bolt, uber, little ride na farasi. Nina uzoefu wa kazi hii, gari ikiwa ya mkataba au hesabu Mawasliano +255767630088
  5. L

    Dereva Bolt natafuta kazi

    Heri ya mwaka mpya, kwa majina Naitwa Christian naishi Dar es Salaam, Niko apa kuomba mwenye ajira ya dereva bolt iwe Mkataba au hesabu. Leseni yangu iko clean na pia nitakuja na barua ya mwenyekiti nan passport kwa ajili ya usalama wa mwajiri. Namba zangu za mawasiliano 0698568933. Heri ya...
  6. Habari wana jf? Naomba elimu juu ya matumizi ya bolt (taxmtandao)

    Habari zenu ndugu zangu, Mimi ni mgeni kabisa katika ishu za Taxmtandao, hususan BOLT, Nataka kutumia chombo changu bajaj kujipatia riziki, na tayari nina akaunti, lakini sasa nasikia kuna hali ya kufungiwa. Leongo la uzi huu ni kufahamu jinsi ya kutumia Bolt kama dereva POINT 1. Ni makosa...
  7. Natafuta kazi ya Udereva

    Habar za muda huu Asalem aleykum, Ndugu jama na marafiki nipo hapo Leo kuelezea changamoto yangu kwenu nipo hapa kuomba Kazi za udereva wa kumuendesha mtu, taasisi yoyote ile hatakama ipo gari ya Uber. Niko tayari kufanya mana hiyo Kazi nimesha fanya na account zote ninazo za Kazi. Naomba...
  8. M

    BOlT and NUTS dula jumla

    Msaada wenu wakuu wapi ntapata bolt and nuts za mm32 au 30mm inchi 19 kwakariakoo zipo naje zinapatikana
  9. B

    Ni wapi zilipo ofisi za Bolt na namba za huduma kwa wateja?

    Hawa bolt wamefanikiwa sana kupanua wigo wa biashara yao. Ukikutana na adha ukahitaji usaidizi, kwenye menu yao ukianza kujaza tu unajibiwa na AI ambapo kunakuwa na gaps na majibu yao. Nani anahusika na ulinzi wa walaji. Latra mtuambie kwa huduma hii ya bolt, miundombinu mbinu ya kulinda...
  10. Dereva Uber / Bolt natafuta boss mwenye gari tufanye biashara

    Habari, mimi ni kijana mzoefu katika biashara ya tax mtandaoni na nina account active natafuta boss mwenye gari tufanye biashara asante. Mawasiliano yang: 0713458555 Mdullanicholous@yahoo.com
  11. Madereva Taksi Mtandao (Bolt) wagoma, wataka ongezeko la nauli, Polisi waingilia kati

    Mgomo mkubwa wa madereva wa taksi mtandao za mtandaoni za kampuni ya Bolt leo Oktoba 15,2024, mpaka yalipo makao makuu ya kampuni hiyo eneo la Morocco Kinondoni, wakishinikiza ongezeko la nauli. Madereva wa Bolt wameandika malalamiko kuhusu ongezeko la makato ya kamisheni kutoka asilimia 15...
  12. Madereva Bolt Dar Waandamana Mpaka Ofisi za Bolt

    Madereva wa taksi za mtandaoni za kampuni ya Bolt wameandamana leo Oktoba 15,2024, mpaka yalipo makao makuu ya kampuni hiyo eneo la Morocco Kinondoni. Madereva hao wanapinga makato ambayo kampuni hiyo inawakata katika kila safari, ambapo wanaeleza ni asilimia 25, huku wakieleza kuwa agizo la...
  13. K

    Madereva wa Bolt tuunde umoja wetu nasi tusikilizwe

    Madereva wa Bolt wote hapa Tanzania kuna haja ya kuunda umoja wetu ili nasi kwa pamoja tusikilizwe changamoto zetu maana changamoto tunazopitia ni nyingi ila tunashindwa kupewa kipaumbele kwasababu hakuna anaepaza sauti kuhusu hizo changamoto. Changamoto hizo ni kama: (1)Kiukweli Bolt inampa...
  14. D

    Shadrack Isack Boka Bolt

    that's the thread. ⚡⚡BOKA BOLT ⚡⚡ Big signing. He had a slow start in the team. We thought Kibabage would keep the number. He proved us wrong. I had doubted him, not anymore.
  15. A

    Natafuta Gari ya kufanyia Bolt iwe Dar es Salaam au Dodoma

    Natafuta Gari ya kufanyia Bolt iwe Dar es Salaam au Dodoma WhatsApp 0768158999
  16. L

    Mimi ni dereva wa tax mtandao yaan Bolt au Uber

    Mimi ni dereva wa tax mtandao naishi kinondoni naitaji gari ya mkataba ninauzoefu wa udereva miaka saba Kwa mawasiliano 0677938003 0658755355
  17. Wapinzani wa Uber & Bolt wanaokuja: Waymo & Tesla

    Wazee kwema? Riding sharing Apps zipo nyingi, lakini zilizojizolea umaarufu Tanzania ni Bolt na Uber. Kwa kawaida, dereva anakua na App [Bolt Driver au Uber Driver App] hafu anaitwa na App ya mteja, kisha dereva anaenda kumchukua mteja hadi anapoenda, fresh. Sasa Waymo [hii ni kampuni ya...
  18. Madereva wa kampuni za Usafiri Bolt na Uber wanaongoza kuharibu biashara ya usafiri

    Madereva wa Bolt na Uber wanaongoza kuharibu biashara hii ya usafiri na endapo kampuni hizi hazitachukua hatua basi zitakufa hivi karibuni -Madereva hawa huwa wanachelewa sana kumfwata mteja -Kuwashusha wateja katikati ya safari na kudai hawafiki hadi mwisho kwasababu watakosa abiria...
  19. Nilikuwa nahitaji kufahamu ofisi za bolt ziko wapi maana nimesikia wamerudi

    Wana JF anayejuwa ofisi bolt zilipo sasa amenipe location. Asanteni!
  20. Ni mbinu gani zinatumika kutega abiria wa taxi mtandaoni (Bolt, Uber, Faras)?

    Wakuu, habari za muda huu. Ningeomba kujuzwa na wataalamu wa hizi kazi za taxi mtandaoni, namna gani ya kupata abiria wengi. Mimi ni mgeni kwenye hizi kazi na ningependa kupata walau abiria 10 kwa siku. Je, nifanye kazi muda gani, siku gani na maeneo gani ili niweze kunasa abiria kwa urahisi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…