bolt

The BOLT Browser was a web browser for mobile phones including feature phones and smartphones that can run Java ME applications. The BOLT Browser was offered free of charge to consumers and by license to Mobile network operators and handset manufacturers. BOLT was produced by Bitstream Inc., the company which previously produced the ThunderHawk for Mobile network operators and handset manufacturers.
BOLT was originally introduced into private beta on January 15, 2009 and was made available to the public on February 16, 2009 when the public beta was announced at Mobile World Congress in Barcelona. BOLT supported Java-based handsets with Java MIDP 2 and CLDC 1.0 or higher. BOLT also has specially optimized version for BlackBerry smartphones and worked with Windows Mobile and Palm OS devices that employ a MIDlet manager or Java emulator. BOLT was built using the WebKit rendering engine to display a full Web page layout as found on desktop web browsers.
In December 2011, BOLT Browser was discontinued and all installs were rendered useless.

View More On Wikipedia.org
  1. Msanii

    Lightning bolt struck Christ the Redeemer in Rio De Janeiro 🤯⚡

    A photographer @fsbragaphotos has captured a breathtaking image of a lightning bolt which has hit the Christ the Redeemer statue on February 10th, 2023. The bolt of flash struck the head of the statue. The statue, situated in Brazil’s Rio De Janeiro, is visited by nearly two million people...
  2. stevhinoz

    Natafuta mtu wa kunisaidia kupata akaunti za udereva wa Bolt na Indrive

    Kama unaweza nisaidia nikapata akaunti za udereva wa Bolt na Indrive kwa haraka. Nicheki PM tufanye makubaliano. Mimi nna gari ila sina akaunti. Utanisaidia kwa makubaliano tutayoelewana.
  3. The Tactician

    Natafuta gari ya kukodi

    Habari zenu wakuu, Nahitaji kukodi gari zifuatazo, kwa ajili ya mizunguko ya hapa na pale ndani ya jiji la Dar es Salaam. Yoyote mwenye moja kati ya hizi gari au zote kwa pamoja naomba aipost gari hapa tujadili au anicheki kupitia +255627315218 niione gari, kisha tuanze jadili gharama na...
  4. M

    Nyakati za usiku mnafanya nini BOLT/UBER wasikatae maombi (request) yenu?

    Habari zenu wanajamvi Kwa wale wenzangu na mimi wazee wa kusakata rhumba usiku kucha hususani weekend mtakuwa na uzoefu kama wangu juu ya usafiri wa hili jiji la Dar. Juzi nlikuwa na wana kwa party Kurasini, Kilwa road mtaa wa Loliondo. Tulikuwa wana kama wote, vile tunamimina maji toka saa 4...
  5. Donnie Charlie

    Uber, Bolt kurejesha huduma Tanzania

    Arusha. Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri Ardhini (Latra) imesema, kampuni za usafiri kwa njia ya mtandao Bolt na Uber zinatarajia kurejea kutoa huduma za usafiri nchini Tanzania. Hayo yamesemwa leo Jumatatu, Septemba 12, 2022 na Mkurugenzi Mkuu wa Latra, Habibu Suluo wakati akizungumza na...
  6. Mowwo

    Maisha baada ya Uber na Bolt

    Wakuu habari Kama wengi tulizoea kutumia huduma za Bolt au Uber katika kuingiza kipato. Ningependa kufahamu baada ya hizi app mbili maarufu kusitisha huduma maisha yanasongaje kwa kutumia app zingine? App ama Paisha, Tantax, Indrive,Little Ride,Taxify....nk zina faida nzuri? Au watu...
  7. Suley2019

    Bolt kusitisha huduma ya magari kwa wateja binafsi

    Kama wengi wenu mnavyojua, LATRA ilitoa maagizo ya namba LATRA/01/2022 yaliyotolewa tarehe 14 Machi 2022. Licha ya athari za agizo la bei na kamisheni kwa biashara, Bolt imeendelea kutoa huduma za usafiri ili kuonyesha nia njema na kuunda fursa ya azimio la amani. Hivyo basi, Bolt na LATRA...
  8. ziggibro

    Dereva - Natafuta gari ya hesabu (Bolt & Uber)

    Naitwa Ayoub, Natafuta gari ya hesabu kwa ajili ya Bolt na Uber. Ninazo account zote za kuendesha tax online (Uber, Bolt, Paisha, Little, Moovn etc) Nipo tayari kwa kazi nachohitaji ni gari tu. Mawasiliano 0767553726
  9. mirindimo

    Siasa isiingilie Uber na Bolt zipunguze gharama kwa wateja

    Tunajua Serikali inataka kupata mapato lakini kuna huduma mhimu kama usafirishaji na nishati nashauri zisingeguswa! Mfano Bolt miezi michache iliyopita mtu ukiwa na 20,000 unaweza kufanya safari 5 au 6 , kwa sasa 20,000 ni safari 1 tu na chenji inabaki kidogo ambayo huwezi itumia kwa safari...
  10. Jamii Opportunities

    Account Manager at Bolt

    Account Manager We are looking for an Account Manager to join Bolt for Business. You’ll be the face of Bolt for Business, working closely with key businesses, to meet their needs and understand how we can grow their business with us. B4B has big targets, the product is evolving, getting better...
  11. T

    Dereva wa Bolt, Uber au Tax ni siri gani alishawahi kukwambia abiria hutakuja kusahau

    Great thinker Kama kichwa kinavyosema, ni siri/stori gani hutasahau uliyokutana nayo ukiwa kazini.? Hiki kisa kilimtokea mdogo wangu alikuja nihadithia kama mwezi baada ya kutokea Miaka kama miwili nyuma, alimbeba dada mmoja kutoka club, alikua kalewa ila kwa nje alionekana mtaratibu sana...
  12. Interest

    Kuna 'misinformation' inaendelea kuhusu Uber/Bolt kufunga biashara Tanzania..

    Sababu za tishio la kufunga biashara kwa makampuni haya sio sababu halisi kama wengi wanavyozipokea. Ukisoma statements zao, zimeandikwa kimkakati kwamba LATRA wameongeza new charges ya 15%. Seriously?!. Sio kweli kwamba Serikali imeweka kodi mpya ya 15%. Uhalisia ni kuwa LATRA wamewataka Uber...
  13. beth

    Meneja Afrika Mashariki: Bolt inaweza kusitisha huduma Tanzania

    Baada ya Kampuni ya Uber kusitisha baadhi ya huduma zake Nchini Tanzania, huenda Kampuni ya Bolt nayo ikafanya hivyo kwa upande wa Huduma za Usafiri wa Gari kutokana na ada ya huduma ya 15% iliyowekwa na LATRA Meneja wa Bolt Kanda ya Afrika Mashariki, Kenneth Micah amesema Kampuni hiyo imeomba...
  14. JanguKamaJangu

    Madereva waandamana kwenda LATRA wanataka Uber, Bolt wapandishe bei ya nauli

    Madereva wa taxi za mitandao (Uber na Bolt) wameamua kuandamana mpaka makao makuu ya Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhnj(LATRA), kudai kupandishwa kwa bei elekezi ambazo licha ya kupandishwa wahusika bado hawazifanyii kazi hali hiyo inatokana na kuendelea kupanda kwa bei ya mafuta Source: Dar...
  15. K

    Kweli usafiri wa Bolt ni poa sana ukiwa Dar es Salaam

    Nilibahatika kuja Dar es Salaam kwa safari ya kibinafsi na mojawapo la tatizo la Dar ni usafiri. Kwenye hoteli niliyofikia nikawauliza usafiri utakaonisaidia nikiwa Dar na wakanishauri nijiunge na bolt. Kwa kweli usafiri wa bolt ni poa sana. Unaweza kusafiri na bolt toka Sinza na kwenda...
  16. A

    Dereva wa uber / bolt

    Habari naitwa hussein n dereva wa uber /bolt natafut gari ya kazi iwe hesabu au mkataba na uzoef miak 3 sas kam uko nay nichek 0689588127
  17. M

    Dereva wa Uber na Bolt natafuta kazi

    Habari, mimi ni kijana wa kitanzania na mkazi wa daresalaam tabata, nipo mbele yenu natafuta gari kwa ajili ya biashara ya uber na bolt nipo tayari kwa mkataba au hesabu. Mawasiliano; 0622570507, 0657715052 au email me mdullanicholous@yahoo.com, mdullanick8@gmail.com Asanteni
  18. MTAU JR

    Nina milioni 8 nifanye kipi kati ya kununua bajaji au kununua gari kwa ajili ya Uber na Bolt?

    Habari za mda huu wana JF nimejichanga hatimaye nimefanikiwa kufikisha 8m cash binafsi nimewaza vitu viwili kichwani chakwanza nifungue duka la spea za magari au pikipiki na akili nyingine inaniambia ni nunue gari kwajili ya Uber na Bolt. Nipo hapa nduguzangu kupokea maoni tofauti naamini hapa...
  19. Ernestcuthbert

    Dereva Wa uber na Bolt natafuta kazi

    Habari za muda naitwa Ernest mimi ni Dereva wa uber na Bolt Kama awali hapo mimi ni dereva wa Uber natafuta Gari ya hesabu au mkataba nina leseni class C3 na vigezo vyote vya kuendesha gari za Uber ikiwa plate number njano au nyeupe haina shida. Also apart from Uber, pia natafuta nafasi ya...
  20. Jamii Opportunities

    Business Development Manager at Bolt

    We are looking for a Business Development Manager to join our team. You’ll be the face of Bolt for Business, identifying potential clients, getting them excited about the possibilities, then negotiating and signing them. B4B has big targets, the product is evolving getting better and better and...
Back
Top Bottom