bomba

Bomba the Jungle Boy is a series of American boys' adventure books produced by the Stratemeyer Syndicate under the pseudonym Roy Rockwood. and published by Cupples and Leon in the first half of the 20th century, in imitation of the successful Tarzan series.Twenty books are in the series. The first 10 (published from 1926-1930) are set in South America, where Bomba, a white boy who grew up in the jungle, tries to discover his origin. The second set of 10 books (published from 1931-1938) shift the scene to Africa, where a slightly older Bomba has jungle adventures.
A common theme of the Bomba books is that Bomba, because he is white, has a soul that is awake, while his friends, the dark-skinned natives, have souls that are sleeping. Richard A. Lupoff, in his book Master of Adventure, a study of the works of Tarzan creator Edgar Rice Burroughs, describes the Bomba tales as more blatantly racist than the often-criticized Tarzan books.From 1949 through 1955, Monogram Pictures brought the character to the motion-picture screen in 12 Bomba films, starring Johnny Sheffield. Sheffield was already established as an outdoor star; he had portrayed the character Boy in the Tarzan movies with Johnny Weissmuller. When the Bomba films, all set in Africa, proved popular with young audiences, the first 10 Bomba books were reprinted in the 1950s by Grosset & Dunlap, a publisher of many popular series books such as the Hardy Boys and Nancy Drew. These same books were reprinted again by Clover Books, a short-lived publisher that also reprinted the Grosset and Dunlap series Tom Quest.
In 1962, WGN-TV repackaged the Bomba films as a primetime summertime series called Zim Bomba that became a local ratings sensation. WGN executive Fred Silverman stated that "Zim" meant "Son of" in Swahili.In 1967–68, DC Comics published a Bomba comic book series. It ran for seven issues and included scripts by Denny O'Neil and artwork by Jack Sparling.

View More On Wikipedia.org
  1. Meneja Wa Makampuni

    Walioguswa na Mradi wa Bomba la Mafuta Nkomelo wakabidhiwa nyumba zao mpya

    Ilikuwa ni furaha na tabasamu kwa wanakijiji 10 wa Nkomelo wilayani Muleba mkoani Kagera baada ya kukabidhiwa nyumba zao mpya zkama sehemu ya fidia kwa ajili ya kupisha ujenzi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) linalotarajiwa kuanza ujenzi baadae mwaka huu. Nyumba hizo...
  2. Mgalula MzTz

    Vifaa vya bomba( pipe fittings) vinauzwa kwa Tsh. 65,000/= vyote kwa pamoja.

    Vifaa vya bomba (pipe fittings) vinauzwa. Bei= 65,000/= kwa vyote Mahali= Mbezi ya kimara Mawasiliano= 0765 150672 Size= 3/4 vyote
  3. BARD AI

    Ufaransa waandamana kupinga TotalEnergies kujenga Bomba la Mafuta ghafi la EACOP

    Wanaharakati mjini Paris Jumatano waliandamana dhidi ya Benki 2 zinazohusika katika ufadhili wa mradi wa mafuta wenye utata katika Afrika Mashariki, sehemu ya maandamano yanayoratibiwa katika miji kadhaa duniani kote. Takriban wanakampeni vijana 30 kutoka kundi la Stop Total waliandamana mbele...
  4. Roving Journalist

    Januari Makamba: Wanaozuia bomba la mafuta lisijengwe ni wanafiki. EWURA yatoa kibali cha kuanza Ujenzi

    Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetoa kibali cha Ujenzi wa Bomba la Mafuta kutoka Mtukula hadi Tanga lenye urefu wa km 1147. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), James A. Mwainyekule amesema EWURA imetoa kibali cha Ujenzi wa...
  5. Stephano Mgendanyi

    Mradi wa Bomba la Maji la Mugango-Kiabakari-Butiama wakaguliwa na Kamati ya Bunge - Jimbo la Musoma Vijijini

    Jumamosi, 14.1.2023, Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji ilikagua Mradi wa ujenzi wa miundombinu ya Bomba la Maji la Mugango-Kiabakari- Butiama. Gharama ya Mradi huu ni kubwa: ~ Tsh bilioni 70.5 kutoka Serikali ya Saudi Arabia (49.12%), BADEA (31.40%) na Serikali ya Tanzania...
  6. Bujibuji Simba Nyamaume

    Je, umewahi kuusikia Utamaduni wa wanaume wa Kigoma kujipiga bomba ili kuongeza nguvu za kiume?

    Kigoma kuna utamaduni unafanywa na wanaume unaitwa kujipiga bomba. Wanafanya hivyo ili kupunguza mafuta kiunoni na kuongeza nguvu za kiume. Wanachemsha mchanganyiko wa madawa kisha mchesho ukipoa na kufikia kipimo cha uvuguvugu hutafuta bomba kubwa la sindano ya ng'ombe, kisha hufyonza...
  7. chiembe

    Hizi taarifa kwamba Gerald Hando hana taaluma ya uandishi wa habari ni kweli? Kwamba alisomea ufundi bomba?

    Kuna hizi tetesi kwamba Gerald Hando hana taaluma ya habari, na kwamba kitaaluma ni fundi Bomba. Anayemjua vizuri atupe za ndani
  8. E

    INAUZWA Vifaa vya bomba bei ya jumla kwa watu wote.

    Punguza gharama za ujenzi kwa kununua vifaa vya bomba kwa bei ya jumla jumla. IPS, PPR, GS, PVC Gutter Karibu Gerezani, kariakoo Whatsapp +255 669 494650 Ukiitaji bei njoo whatsap au fika dukani na requirements zako.
  9. K

    Hatukuwahi kuwa na maji ya Bomba, Rais Samia ametuletea

    Wakazi wa Kijiji cha Ilela, Wilaya ya Ludewa mkoani Njombe waliokuwa wanakabiliwa na kero ya maji safi na salama wameondokana na adha hiyo baada ya serikali ya awamu ya sita chini ya Dkt. Samia Suluhu kuwapelekea mradi wa maji ikiwa ni muendelezo wa utekelezaji wa kampeni ya kumtua mwanamke ndoo...
  10. M

    Mafundi bomba (plumbers)

    Naona mafundi bomba huku mtaani wengi bado wanapenda kujenga hizi chemba za kawaida (inspection chambers) katika mfumo wa maji taka wa nyumba (drainage system) Kama upo kwenye ujenzi, utajenga au ulishajenga tuna kitu cha kujifunza katika mfumo huu wa maji taka nimeulewa sana Kitaalamu mfumo...
  11. BARD AI

    Tanzania kusafirisha Dizeli kwa bomba kwenda Zambia

    Mawaziri wa nishati wa Tanzania na Zambia, wamekubaliana taratibu za namna ya kuimarisha ulinzi katika bomba la TAZAMA litakalosafirisha mafuta ya dizeli kutoka nchini kwenda katika Taifa hilo jirani. Miongoni mwa masuala hayo ni kuongeza askari katika njia ambazo bomba hilo linapita...
  12. MK254

    Bomba la gesi lalipuka Urusi, zaidi ya watu milioni moja kukosa gesi, hivi vita vinakwenda pabaya

    Hili tukio linadhaniwa kama ulipizaji wa kisasi baada ya Urusi kushukiwa kwenye ulipuaji wa bomba la gesi la "Nord Stream". Zaidi ya Warusi milioni moja kukosa gesi, huku wakielekea kwenye msimu wa baridi, kwa kifupi hivi vita havifai, Putin anapaswa afahamu anaowashambulia na wao pia wako...
  13. M

    Huu sasa ni uharamia: Kumbe bomba la gesi Nord 1 lilifumuliwa, kipande cha mita 40 kikatoka!

    Sasa nimeelewa kwa nini nchi za magharibi hazikutaka kabisa kuihusisha Urusi kwenye kuchunguza kilichotokea kwenye mabomba ya gesi toka urusi. Tuliambiwa gesi ilivuja kumbe siyo kuvuja bali ILIMWAGIKA!! Kuvuja maana yake kuna tundu kwenye bomba. Kumbe si tundu bali bombomba lilifumuliwa na...
  14. JanguKamaJangu

    Nigeria: Wabaini bomba lililotumika kuiba mafuta kwa miaka 9

    Maafisa wamegundua njia hiyo haramu iliyounganishwa kutoka baharini ikiwa na urefu wa kilometa 4 katika moja ya kituo ambacho kinasambaza mapipa 250,000 ya mafuta kwa siku. Mkuu wa Kampuni ya Mafuta ya Serikali NNPC LTD, Mele Kyari ametoa ripoti suala hilo kwa kamati ya Bunge ya Nigeria...
  15. Getrude Mollel

    TPDC kujenga Bomba jipya la gesi Mtwara

    Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeanza mchakato wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Ntorya hadi Madimba lenye urefu wa kilomita 35. Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeanza mchakato wa ujenzi wa bomba la gesi kutoka Ntorya hadi Madimba lenye urefu wa kilomita 35...
  16. BARD AI

    Kampuni ya China yasema Bomba la Mafuta (EACOP) litajengwa kwa namna yoyote ile

    CNOOC International, kampuni ya Mafuta na Gesi ya China ambayo inamiliki hisa za uchimbaji Mafuta nchini Uganda, imesema mradi huo utatekelezwa kama ulivyopangwa, licha ya mvutano wa Tanzania, Uganda na Bunge la EU. Makamu wa Rais wa CNOOC, Dan Shao amesema walichokuwa wanahitaji ni msimamo wa...
  17. MK254

    Poland, Denmark na Norway waanza maandalizi ya bomba la gesi, kwaheri Urusi

    Putin anaimaliza Urusi yake kwa ujinga wake, soko linamtoka kizembe sana... "The era of Russian domination of gas is coming to an end, an era marked by blackmail, threats and coercion," Polish Prime Minister Mateusz Morawiecki said Tuesday at the symbolic inauguration of the Baltic Pipe...
  18. BARD AI

    Standard Bank yatetea ujenzi wa Bomba la Mafuta (EACOP)

    Standard Bank Group, benki ya kimataifa na yenye ushawishi katika ufadhili wa miradi mikubwa ya maendeleo barani Afrika imesema ujenzi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) utakuwa na manufaa kwa wakazi wa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Standard...
  19. M

    Ningekuwa Mimi nisingejipendekeza kwenda Msibani London na kupandishwa DalaDala bali ningepambania hasa Ujenzi wa hili Bomba

    Bunge la Ulaya limemwita Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Kimataifa ya Mafuta ya TotalEnergies, Patrick Pouyanné kujibu madai ya Bunge la Ulaya kwamba Mradi wa Bomba la Mafuta kutoka Uganda hadi Tanga Tanzania haukuzingatia tahadhari za kimazingira na haki za binadamu. TotalEnergies ndiyo kampuni...
  20. Jidu La Mabambasi

    Bomba la mafuta EACOP toka Uganda lazima lijengwe

    Big Up Mheshimiwa Cassim Majaliwa Kassim, Waziri Mkuu wa JMT. Suala la bomba la mafuta toka Uganda kuelekea Tanga, inapitia kwa umbali mrefu zaidi nchini Tanzania. Uchumi wa Tanzania utafaidika sana na ujenzi wa bomba hili, kwani kuna wananchi watafaidika moja kwa moja kwa kupata kazi na...
Back
Top Bottom