bonde

House of Bonde is an ancient Swedish noble family. Today, two branches of the family lives on; The Barons of House Bonde (number 20 in the Swedish House of Nobility) and the Counts of House Bonde af Björnö (number 41 in the Swedish House of Nobility).
Prominent members and others bearing the name include:

Tord Bonde (c. 1350s–1417), medieval Swedish magnate
Karl Knutsson Bonde (1408/1409–1470), King Charles VIII of Sweden, Charles I of Norway, Magdalena of Sweden
Gustaf Bonde (1620–1667), Swedish statesman
Wilhelmina Bonde (1817–1899), Swedish courtier
Jens-Peter Bonde (1948–2021), Danish politician
Carl Bonde (1872–1957), Swedish Army officer, equerry
Carl C:son Bonde (1897–1990), Swedish Army officer
Thord Bonde (1900–1969), Swedish Army officer
Gustaf Bonde (1911–1977), Swedish diplomat
Oskar Bonde (born 1979), Swedish drummer
Line Bonde (born 1979), Danish fighter pilotBonde (Swedish for farmer) was also a member one of the four houses (Bönderna, the Peasants) of the Swedish Riksdag of the Estates.

View More On Wikipedia.org
  1. Jumuiya ya Bonde la Usangu yamtaka Balile kuomba radhi kabla ya haijamshtaki

    Jumuiya Ranchi hizo (Uraa) imepinga taarifa ya kuhusika kwake na operesheni zinazozuia maji kuingia kwenye Mto Ruaha Mkuu, na kutishia kumshitaki Deodatus Balile aliyewahusisha na sakata hilo. Mapema wiki hii kwenye hafla ya mazingira mbele ya Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango mjini Iringa...
  2. Familia za vigogo 12 zilizojimilikisha Bonde la Ihefu kuchunguzwa

    Makamu wa Rais, Dk Phillip Mpango ameagiza kushughulikiwa kwa watu zikiwamo familia 12 za viongozi waliovamia na kuchepusha maji Bonde la Ihefu. Amekemea uchepushaji huo kwani umesababisha kutotiririka kwa Mto Ruaha Mkuu kwa zaidi ya siku 130 sasa hivyo kuhatarisha maisha ya viumbe hai na...
  3. Watu 'Powerful' 12 ni akina nani hadi waachiwe kuharibu Bonde la Ihefu?

    Ni taarifa inayoonesha kwamba hatutaendelea. Tuna kundi la watu wa hovyo, lakini wanaitwa ni powerful! Kwa maoni yako endelea;
  4. Wavamizi Bonde la Songwe na Ihefu kuondolewa, watakaofuatwa kulipwa fidia

    Naibu Waziri Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ridhiwani Kikwete amesema wanachukua hatua hiyo ili kulinda Mazingira na Kunusuru vyanzo vya Maji. Amesema wale ambao watafuatwa kwenye maeneo yao, Serikali itawafidia lakini hawatakuwa tayari kuona ukame ukiendelea katika Mabonde hayo...
  5. Mwanamke atembea barabarani aanguka na kufa bonde la Msimbazi

    Sijui kama napaswa kuiandika hii. Watu wengine wataona labda siyo muhimu. Lakini hii imetokea juzi. Huyu mwanamke alikuwa anatembea katika bonde la Msimbazi,pale kutoka Msimbazi Center kuelekea njia panda ya Kigogo,akaanguka akafa,mwenyewe tu, without any prodding. Basi watu wakakasirika...
  6. Bonde la Msimbazi na Jangwani Kilimo na Vibanda Vyarejea Kwa Kasi - Uchafuzi Mazingira Hatarini Tena!

    Wakuu wa Jukwaa Kama mada ilivyo hapo juu, miaka kadhaa iliyopita kwenye awamu ya tano wavamizi wote wa bonde la Msimbazi na Jangwani waliondolewa, nyumba kuvunjwa ikielezwa walikiuka sheria hivyo kusababisha uchafuzi wa mazingira uliokithiri. Baada ya muda zoezi hilo kufanyika uoto wa asili...
  7. Operesheni ondoa wavamizi katika Bonde la Wami/Ruvu

    OPERESHENI ONDOA WAVAMIZI KATIKA BONDE LA WAMI/RUVU imeanza ambapo Wafugaji wanaodaiwa kuwa ni wavamizi wamekutwa na ng’ombe zaidi ya 400 kwa siku ya leo tarehe 14-10-2022. Wameondolewa katika Kijiji cha MSONGE ambapo waliweka KAMBI, pembezoni mwa Mto Ruvu. Askari kadhaa wakiwa na silaha za...
  8. Mifugo 200,000 kuondolewa Bonde la Ihefu ndani ya siku 10

    Kamatiya Ulinzi na Usalama ya Mkoa wa Mbeya kwa kushirikiana na Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA), wameanzisha oparesheni maalumu ya kuondoa zaidi ya mifugo 200,000 iliyovamia eneo la ardhi oevu ya Bonde la Ihefu ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Ruaha wilayani Mbarali. Mifugo hiyo iliyoingizwa...
  9. S

    Awamu ya 4 wafugaji (mostly wasukuma) waliondolewa bonde la Usangu na kupelekwa Lindi. Kwanini iwe nongwa kwa wamasai wa Loliondo?

    Kuna kelele nyingi sana kufuatia dhamira njema ya serikali ya kuwaondoa wamasai kwenye pori tengefu la Loliondo. Kwanini wamasai wa Loliondo wanataka wawe na special treatment nchi hii? Awamu ya 4 iliwaondoa wafugaji maeneo ya bonde la Usangu, Ihefu, na Ujiji lkn hakuna aliyepiga kelele. Why??
  10. The one and only Haji Sunday Manara

    THE ONE AND ONLY HAJI SUNDAY MANARA Nimemjua Haji bado mtoto mdogo Mtaa wa Bonde karibu na Msikiti wa Sheikh Idrissa bin Saad. Baba yake Sunday "Computer," Manara rafiki yangu na sote tunafanyakazi East African Cargo Handling Services (EACHS). Tumekutana kwenye walima wa mmoja wa wajukuu zetu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…