boniface mwabukusi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Heparin

    Pre GE2025 Boniface Mwabukusi: Anayemshikilia wakili mwenzetu Tundu Lissu atawajibika binafsi kwa Madhara yoyote atakayopata

    Wewe unayemshikilia Adv.Tundu Antipas Lissu bila kuzingatia Mahitaji yake ya Kiafya utawajibika binafsi kwa Madhara yeyote yatakayo mfika. Hakuna kosa lolote alilotenda. Yeye na Wenzake waachiwe Maramoja. Usalama wa Wakili Mwenzetu na wote waliokamatwa ni kipaumbele chetu. Pia soma=> Lissu...
  2. Influenza

    TLS yamtaka Rais Samia kuunda Tume ya kuchunguza Polisi kuhusu utekaji wanaohusishwa nao. Yataka ripoti za uchunguzi kutolewa

    Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) kimemshauri Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kuunda tume maalumu ya kuchunguza ushiriki wa Jeshi la Polisi kwenye masuala ya utekaji na utesaji kwa kuwa Jeshi la Polisi limekuwa likituhumiwa kushiriki katika vitendo hivyo...
  3. figganigga

    Boniface Mwabukusi aapishwa kuwa Rais wa TLS. Aanza kazi rasmi

    Wakili Mwabukusi aapishwa rasmi kuwa Rais wa chama cha Wanasheria Tanganyika. Wakili Boniface Mwabukusi ataendesha chama cha Wanasheria Tanganyika kwa Miaka mitatu. Uapisho huo umefanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma. Wakili Boniface Mwabukusi alitangazwa kuwa Mshindi wa...
  4. Erythrocyte

    Wakili Sweetbert Nkuba kupinga ushinda wa Wakili Boniface Mwabukusi kuwa Rais wa TLS

    Aliyekuwa mgombea wa nafasi ya Rais wa chama cha Wanasheria nchini TLS, Wakili Sweetbert Nkuba amekataa kutambua ushindi alioupata mpinzani wake wa karibu Mwabukusi kwa madai ya ukiukaji wa mwenendo wa uchaguzi. Pia soma: Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274...
  5. amadala

    Kwako Boniface Mwabukusi, hongera kwa kushinda. Usisahau kauli zako za kishujaa

    Hongera Kwa Nafasi ya kuongoza Tanganyika Law Society. Ila nakukumbusha tu usisahau zile kauli zako za kishujaa, tunasubiri kuziona Kwa vitendo. Nakukumbusha tu pitia na hii video vizuri ili usisahau. Soma=> News Alert: - Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274
  6. Idugunde

    Pre GE2025 Mwabukusi ameshinda, Je CHADEMA ya Mbowe itanufaika vipi kisiasa? Naona wanapiga mayowe kila kona

    Huu ushindi utarejesha imani kwa wananchi kuwa CHADEMA sio Saccos? Kwamba Mwabukusi atasaidia kufuta upigaji wa Mbowe wa michango ya Wabunge na wanachama alizokwapua (Shahidi ni Msigwa) Kwamba Lissu atashinda 2025? Naona Shangwe kibao kwa makada CHADEMA kila kona ya Tanzania. Soma=>...
  7. figganigga

    Uchaguzi TLS: Ni Mwabukusi vs Nkuba. Serikali imeshatia Mguu

    Salaam Wakuu, Pamoja na kwanza Mawakili hasa wa kujitegemea na Wananchi wote wanampenda Mwabukusi, lakini Serikali imeshatia Mguu, Mawakili wote wa Serikali wamelipiwa kwenda Dodoma kupiga Kura. Na wapo kikazi kwani wamepewa Maelekezo kwamba Nkuba ashindwe. Kwa siasa za TLS, na Mawakili...
  8. Cute Wife

    Uchaguzi wa TLS 2024: Boniface Mwabukusi ashinda Urais, apata kura 1274

    Wakuu, https://www.youtube.com/live/xowt9FmWrvQ?si=db2lZWYu079tIJb7 UPDATE: Mwabukusi ashinda Urais TLS kwa kura 1274 Jumla ya kura: 2218 Kura zilizoharikika: 3 1. Boniface Mwabukusi - 1274 2. Sweetbert Nkuba - 807 3. Kapteni Ibrahim Bendera - 58 4. Paul Kaunda - 51 5. Emmanuel Muga - 18 6...
  9. L

    TLS isajiliwe kama chama cha siasa tujue moja

    Hakuna chama cha wanasheria hapa, heshima imeshuka sana katika taasisi hii. Hiki chama kimegeuka kuwa chama cha siasa na mm ntafurahi sana huyo Mwabukusi mnayedhani ataleta mabadiliko awe Rais wa hicho chama kipya cha siasa nchini kilichojificha kwenye mwamvuli wa chama cha kitaaluma...
  10. The Burning Spear

    Mwabukusi: Mimi ni Tishio kwa Majizi na Watoa Rushwa, Si Serikali

    Huyu ndiyo Mwabukusi bwana. Ama kweli Tanzania tuna watu ila hawatumiwi vizuri TLS inamfaa sana.
  11. ChoiceVariable

    Pre GE2025 Tahadhari: Endapo Mwabukusi atakuwa Rais wa TLS ni wazi Mawakili watakuwa wamekubali kuburuzwa kiharakati

    Kwa tabia ya yule Jamaa kufokea Kila mtu na kuona wote hawana akili isipokuwa yeye basi Mawakili wajiandae Kuburuzwa na kupelekeshwa na Mwabukusi kama gari bovu,mtu ana mihemko ,hana utulivu wa akili Wala approach nzuri ya kutatua Changamoto eti ndio awe Rais wa watu Wanaojiita wasomi 😂😂👇👇...
  12. B

    Kuna kampeni zinaendelea chinichini za kumfanya Mwabukusi asipigiwe kura kwenye uchaguzi wa Rais wa TLS

    Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) kinarajia kufanya uchaguzi wake mkuu hivi karibuni Jijini Dodoma kumchagua rais wa kuongoza chama hicho kwa kipindi cha mwaka mmoja Wagombea halaii waliopitishwa kupigiwa kura kwenye nafsi hiyo ni sita kati ya hao Wakili machachari Boniface Mwambukusi ni...
  13. Sir John Roberts

    Nadhani Boniface Mwabukusi amekosea fani ya sheria . Nadhani alitakiwa kugombea udiwani au ubunge

    Nadhani Boniface Mwabukusi amekosea fani ya sheria. Nadhani alitakiwa kugombea udiwani au ubunge. Tukubaliane kimsingi uendeshaji wa nchi mbali na kufuata sheria na katiba lakini maslahi ya nchi yapo mbele zaidi ya sheria hii ni common sense tu unaweza usiikute kwenye sheria au katiba...
  14. J

    Boniface Mwabukusi ashinda kesi dhidi ya Tanganyika Law Society. Ruksa kugombea Urais wa Chama hicho

    Kesi ya Boniface AK Mwabukusi kupinga kukatwa kwenye Uchaguzi wa Rais wa Tanganyika Law Society kutolewa hukumu leo pale Mahakama kuu ya Tanzania Jumaa Mubarak 😃 ---- Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Dar es Salaam leo, Ijumaa Julai 26.2024 imetoa hukumu ya kesi iliyokuwa imefunguliwa na...
  15. The Sheriff

    Mwabukusi: Magenge ya nje na ndani ya TLS yanahujumu michakato ya kidemokrasia ili kuwapangia Mawakili viongozi wanaowataka. Sitakubali uhuni!

    Mwabukusi akitema cheche Baada ya wakili Boniface Mwabukusi kukatwa kwenye kinyang'anyiro cha kugombea urais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), kwa madai ya kuwa na doa la kimaadili kinyume na kanuni za uchaguzi huo, ameibuka akisema kuwa wakati wa zoezi hilo la uchaguzi, aliwekewa...
  16. Cute Wife

    Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS

    Kamati ya Rufaa ya Uchaguzi imemuengua Boniface Mwabukusi kugombea nafasi ya Rais wa TLS katika Uchaguzi Mkuu wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika kwa mwaka 2024 Wanadai hana sifa ya kugombea urais wa chama cha mawakili tanganyika. Mashauriano yanaendelea baada ya maamuzi husika. PIA SOMA -...
Back
Top Bottom