Salaam Wakuu,
Pamoja na kwanza Mawakili hasa wa kujitegemea na Wananchi wote wanampenda Mwabukusi, lakini Serikali imeshatia Mguu, Mawakili wote wa Serikali wamelipiwa kwenda Dodoma kupiga Kura.
Na wapo kikazi kwani wamepewa Maelekezo kwamba Nkuba ashindwe.
Kwa siasa za TLS, na Mawakili...