bot

A board of directors is a group of people who jointly supervise the activities of an organization, which can be either a for-profit or a nonprofit organization such as a business, nonprofit organization, or a government agency.
The powers, duties, and responsibilities of a board of directors are determined by government regulations (including the jurisdiction's corporate law) and the organization's own constitution and bylaws. These authorities may specify the number of members of the board, how they are to be chosen, and how often they are to meet.
In an organization with voting members, the board is accountable to, and may be subordinate to, the organization's full membership, which usually elect the members of the board. In a stock corporation, non-executive directors are elected by the shareholders, and the board has ultimate responsibility for the management of the corporation. In nations with codetermination (such as Germany and Sweden), the workers of a corporation elect a set fraction of the board's members.
The board of directors appoints the chief executive officer of the corporation and sets out the overall strategic direction. In corporations with dispersed ownership, the identification and nomination of directors (that shareholders vote for or against) are often done by the board itself, leading to a high degree of self-perpetuation. In a non-stock corporation with no general voting membership, the board is the supreme governing body of the institution, and its members are sometimes chosen by the board itself.

View More On Wikipedia.org
  1. chizcom

    BoT mnisikilize ili kwendana na wakati dunia inataka nini

    Kitu kilichonileta na kushtuka kama mnakumbuka miaka ya nyuma china ilihodhi sana dola ya Kimarekani nchini mwao ambapo malipo mengi walikuwa wanataka dola na kufikia mzunguko wa dola ukawa upo China. Hapo ndipo Marekani akashtuka kuwa pesa yake yote ipo China!.baada kutangaza hatachapisha pesa...
  2. Nafaka

    Elon Musk ataka kumlipa dogo aliyetengeneza bot ya twitter inayomfuatilia kila anapoenda

    Elon Musk alimfuata DM dogo wa miaka 19 twitter ambaye ametengeneza bot yenye jina la ElonJet na bots nyingine zinazofuatilia location za matajiri. Alimuuliza hizo bot zinamwingizia kiasi gani, dogo akasema kama $20 tu kwa mwezi, Elon Musk akampa offer ya 5000$ ili afute account ya bot...
  3. B

    Nimesikiliza hotuba za nyuma kuhusu akiba ya Serikali , zinasoma Bilioni siyo Milioni; Gavana wa BOT na watu wako mnasikilizaga hizi hotuba?

    Kosa la uandishi lililopelekea kosa la matamshi lililotokea kwenye hotuba za Mhe Rais kuhusu akiba ya Taifa limekuwa likifanyika Katika hotuba za nyuma. Hotuba yake ya Juni alisema Tena USD Bilioni 4000+ na siyo Usd Milion 4000+, Juzi Bilioni 6000+ na siyo Milioni. Ukisoma vyombo vya habari...
  4. mama D

    BoT - Mkutano wa 20 wa Taasisi za fedha Tanzania 25th & 26th November 2021

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Tupate muelekeo wa uchumi toka kwa Govana, Wizara na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
  5. S

    Serikali kupitia BoT, iruhusu watumishi wa umma wanaolipwa posho za mwezi kukopa kupitia posho zao

    Kwa wale watumishi wa umma ambao taasisi zao huwalipa posho kila mwezi(mfano JWTZ, Polisi, n.k), wakati umefika waruhusiwe kukopa kupitia posho hizo kwa kukatwa sehemu ya posho zao kulipa mikopo watayochukua. Tofauti na mikopo kupitia mishahara ambayo huwa ni ya muda mrefu (miaka 7 mpaka 8)...
  6. E

    Usaili Benki Kuu ya Tanzania (BoT) 2021 umeshafanyika?

    Hivi BOT washaanza kuita watu kufanya usaili? Mwenye taarifa naomba anijulishe kuhusu usaili wa mwaka huu 2021.
  7. Dit000

    Uwekezaji hati fungani BOT

    Habari ndugu zangu naomba wanauchumi wanisaidie vitu hivi Nimejalibu kupitia bond investment calculator ya BOT, nimejalibu kuweka tsh mil 500,000,000 kwa muda wa miaka 25 na nikabofya calculate nimeletewa kama picha inavyooenesha, sasa hio faida ya kila mwaka wameipata kwa kuzingatia bid ya...
  8. frado

    Elimu ya fedha ambayo BoT wanapaswa kuifahamu

    CASH IS NOT THE KING Najua wengi ni ngumu sana kuamini hiki ninachoenda kukiandika lakini sikuzote ukweli haufichiki na hata ambao wataamini naamini watashangaa sana, ukweli ni kuwa dunia ipo speed sana na kama bado hujui kinachoendelea basi nitaenda kuweka wazi kila kitu bila uwoga kuhusu...
  9. Cicadulina

    VIDEO: Gavana wa BOT akimpongeza Sabaya kufanikisha kukamatwa kwa fedha bandia

    Tazama video
  10. Jembe Jembe

    Utetezi wa Sabaya: Amwangushia zigo Hayati Magufuli na kudai Gavana Luoga na Makamu wa Rais Dkt. Mpango walifahamu

    Mshtakiwa wa kwanza katika kesi ya unyang'anyi wa kitumia silaha na Kupora Mali na fedha ,Lengai ole Sabaya (34)ameiambia mahakama kuwa alitumwa na rais marehemu John Magufuli kuvamia duka la Shaahid Store ili kumkamata Mmiliki wa duka hilo, Mohamed Saad. Akiongozwa na wakili Mosses Mahuna...
  11. S

    Hatua ya BOT kuhakikisha riba inayotozwa na mabenki inashuka, inahusu na riba ya mkopo ya wafanyakazi itayotolewa na Mabenki ya Biashara?

    Nimesoma taarifa ya BOT inayoongelea kushusha riba kwa wakopaji katika mabenki ya kibiashara lakini nimeshindwa kuelewa kama punguzo hilo litagusa mikopo inayotolewa na mabenki kwa wafanyakazi Nauliza hivi kwasababu taarifa ya BOT inaongelea punguzo kwa sekta binafs pamoja na sekta ya...
  12. The Assassin

    BoT: Hatua za kisera kuongeza upatikanaji wa mikopo kwa Sekta Binafsi na kupunguza viwango vya riba

    Benki kuu ya Tanzania imetoa muongozo wa benki za biashara kupunguza riba kwa sekta binafsi. Benki kuu imetenga fungu la Trilioni moja ambayo itatumika kuzikopesha benki na taasisi za fedha kwa riba ya 3% na kutaka benki zitoe mikopo kwa riba isiyozidi 10%. Binafsi napongeza hizi hatua za...
  13. Analogia Malenga

    CHADEMA, Zitto, wataka ripoti BoT iwekwe hadharani

    Rais Samia alikabidhiwa ripoti hiyo kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, kama alivyoagiza uchunguzi ufanyike wa fedha zilizotolewa benki hiyo kati ya Januari na Machi, mwaka huu. Wakitoa maoni yao baada ya kuzungumza na Nipashe jana kwa nyakati...
  14. Q

    Rais Samia apokea Taarifa ya Ukaguzi Maalum BoT, CAG abaini uwepo wa malipo kufanywa nje ya bajeti

    Rais Samia Suluhu Hassan leo amepokea Taarifa ya Ukaguzi Maalum kutoka kwa CAG inayohusu matumizi ya fedha zilizotolewa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuanzia Januari hadi Machi 2021. Ripoti imebaini uwepo kwa miradi ambayo haikupangwa na hivyo kufanya malipo nje ya bajeti.
  15. mama D

    Serikali, Wizara, Halmashauri, Agencies za umma (TRA, BRELA, BOT, TRA, TIC) mkiendelea na kazi kwa mazoea mtaendelea kuwa wahujumu uchumi namba 1

    Nchi yetu imepita kwenye mabadiliko makubwa sana ndani ya miaka sita. Kumekua na mageuzi makubwa sana kiutawala na kiuchumi tangu 2015. Kukataa kwamba mfumo uliokuwepo kabla ya 2015 ulishavunjwa na hauwezi kurudishwa ni kujidanganya, kinachotakiwa ni sasa ni kutembea na mabadiliko kwa serikali...
  16. S

    Ripoti ya Uchunguzi wa pesa zilizotolewa BoT kupokelewa Juni 30, 2021

    Hii ni moja ya habari katika magazeti ya leo na pia iko mitandaoni, hivyo wacha tusubiri hiyo kesho kusikia kilichomo katika hiyo ripoti. Swali ni je, ripoti hiyo itajibu maswali watu waliyonayo au ndio itaongeza maswali na pengine kukatisha watu tamaa? Kuna mtu ukimuona amehudhuria...
  17. J

    Rais Samia kupokea ripoti ya miezi mitatu (Januari-Machi) ya Benki Kuu kutoka kwa CAG

    Rais Samia amesema CAG ameshakamilisha ripoti ya CAG kuhusu Benki kuu kwa kipindi cha kuanzia January hadi March 2021 na ataikabidhi kwake siku ya Jumatano au Alhamisi. Umma utaelezwa yaliyomo ndani ya ripoti hiyo, amesisitiza Rais Samia. Chanzo: ITV
  18. M

    Rais Samia, wananchi tuna haki ya kujua kilichomo kwenye ripoti uliyoiunda kuchunguza pesa za BoT

    Ndugu Rais, Ukifunika ripoti hii unatupa wasiwasi sisi wananchi kuwa unalinda upigaji na ufisadi, na hili litakuandama kisiasa kwa muda mrefu sana. Ndugu Rais, uchunguzi wa hizi pesa uliuagiza hadharani, wananchi tukishuhudia, tukisikia, na kwa hiyo tuna haki ya kujua je pesa zetu ziko salama...
  19. T

    How PAP acquired IPTL for almost nothing and looted US$124m from the BoT

    My take Kama kuna jambo mwenda zake aliinusuru nchi hii ni kuitoa kwenye makucha ya mataperi wa nishati, tulikuwa tumetizamishwa kibra na wala hatukuwa na nguvu za kujinasua kupitia mahakama za kimataifa, maana tayari tulikuwa tumejinyonga kwa kamba yetu wenyewe kupitia mikataba ya kimangungo...
  20. K

    Waandishi andikeni kuhusu Crypto Currency

    Kauli ya Mama, Dunia imeandika. Bongo je? Blogs za Bongo mnaandika nini hii ni hot cake info inaweza kuwapa mileage. Fanyeni utafiti andikeni kwa Kiswahili watu wasome na kuelewa.
Back
Top Bottom