Lim Yo-hwan (born 4 September 1980), known by the ID SlayerS_`BoxeR` (usually shortened to BoxeR), is a former professional player of the real-time strategy computer game StarCraft. He is often referred to as The Terran Emperor (Korean: 테란의 황제), or simply "The Emperor", and is widely considered to be one of the most successful players of the genre as well as an esports icon. In late 2010, he retired from StarCraft: Brood War and founded the StarCraft II team SlayerS. Since the disbanding of SlayerS, he briefly returned to SK Telecom T1 (SK T1) as a coach before retiring due to health related issues. He is currently a professional poker player.
Lim has a record of 548 wins and 416 losses (56.80%) in his professional career. He is one of the highest-paid professional gamers, with annual earnings that exceed $400,000 US Dollars and endorsement contracts that bring in an additional $90,000 per year.
Boda boda use inauzwa , bei ni 1.3M.
Boxe BM , inamarekebisho yatahitajika kama laki 4.
Ipo Dar es salaam , kitunda.
Namba ya simu/ whatsapp 0754200363
Elimu ndogo ya boxer (Me) na chupi (Ke)
Chupi / Boxer inafyata nabidi ifyatuliwe
Matone ya mkojo hudondokea
Kwa wanaume zinachafuliwa na manii (Bao)
Kwa wanawake zina zinagusa Period
Chupi ni nguo ya kwanza kupokea hewa chafu
Bora uende dukan ununue chupi / boxer za bei chee kuliko original...
https://youtube.com/shorts/gTEMno7Z2-U?si=xSlG6kfVeuVYMh01
Kumbe jamaa ana asili ya morocco. Ila Kwenye filamu alitengenezwa ili afananie kama mthailand.
Ila jamaa ni mtalaam wa martial arts pia ni muaandaji wa filamu za zinazohusiana na martial arts.
Kickboxer ni moja ya classic movies...
Nimepita vijiwe kadhaa hapa nimechunguza kisha nikaona pikipiki nyingi ni boxer ikabidi niulize wadau hapa majibu yao ni kua TVS humpakii mtu haya maeneo TVS nenda mbeya au dsm. Lakini hakunitajia sababu kwa nini wateja wanapenda BOXER.
Habar wakuu,Nina pikpik aina ya boxer bm 150 sasa hii pikpiki huwa inatoa mlio wa kwenye injinimlio huwa huwa kama Luna kitu kinagonga gonga ndani ya injini
Kwa mafundi nimepeleka na wamebadili kila kitu Ila baada ya Sikh tu kamlio kanaanza tena
Je shida nini wakuu?
KARIBUNI WATEJA AGIZA PIKIPIKI BOXER 125 KWA 2200000 TU
PIKIPIKI NI MPYA UTAPATA NDANI YA SIKU 15
UNALIPIA MILIONI 1850000 PIKIPIKI YAKO IKIFIKA UTALIPIA PESA ILIYOBAKI KAMA USAFIRI NA KODI
UKIFIKA UTAPEWA MKATABA NA RISITI TUPO MBEZI MSIGANI KARIBU NA KIWANDA CHA MABATI UNALIPIA OFISINI...
Habarini za Asubuhi wakuu.
Nimewaletea mzigo huu kwenu Pikipiki TVS inauzwa, ina miezi 5 tu tangu inunuliwe. Ni yakwangu mwenyewe haijatumika sana.
Model: TVS 125
Plate number: DQF
Bei yake: 2,000,000 Fixed
Nicheki WhatsApp: 0683535699
NB: Nimekosea kwenye headline siyo Boxer ni TVS
kimfaacho mtu chake sindio wanajamiiforums enh nina uza pikipiki yangu aina ya Boxer bm 125. pikipiki hii imetengenezwa mwaka 2022 ikasajiliwa hapa Tanzania mwaka 2023 hivyo ina mwaka sasa tokea ianze kufanya kazi.
nilikuwa naitumia kwendea kazini tu. na vijisafari vidogo vidogo. hivyo sijawahi...
Kichwa cha Habari kinajitosheleza.
Miaka ipi tumeanza kuvalisha watoto pempas je ni 90' au 2000'. Na vipi kuhusu chupi na vipi kuhusu boxer naombeni ufafanuzi.
Mpaka mida ya saa nane adhuhuri binti haonekani, ikafika alsir around saa kumi na moja hakuna anayejua kapatwa na masahibu gani binti wa watu.
Aliondoka home majira ya saa sita tukajua ameenda dukani, kwakuwa ni mgeni maeneo haya na siku hiyo ilikuwa siku ya mnada huwa pamechangamka sana...
Boxer bm150
Haina tatizo lolote unapiga starter unaondoka
Nzuri sana kwa wenye maduka makubwa ya jumla kwa ajili ya usambazaji
bei Tsh 680,000
0658643636 Mbezi Magufuli stand
Pikipiki imenyooka kama rula, mkoa wowote ulipo inakufikia kwa kuendeshwa sio kusafirishwa.
Cc 125 powerfull boxer haijawahi fanya boda boda hata siku 1, ina mwaka katika matumizi na Km 10,000 imemwagwa oil mara 10 tu tangu inunuliwe.
Bei iko fixed, mahali ilipo GOBA
CONTACT :
0695697796...
Ndugu wanajamvi nategemea kwenda Shinyanga nikitokea Dar es salaam kwa Piki piki boxer cc125 mwenye uzoefu itakuwa vyema ukanisaidia.
Nataka kujua mafuta naweza kutumia kiasi gani. Je, nijiandae kwa changamoto gani barabarani pikipiki hii ninayotaka kuitumia ni mpya. na nina tegea kwenda na...
Habari zenu wadau na wapenda bike, aisee niende moja kwa moja kwenye mada.
Kampuni ya Bajaj wamekuja na toleo jipya la pikipiki aina ya Boxer 125hd isiyokuwa na paper oil filter.
Tuone kama muendelezo wa uboreshaji huu utaweza kuboresha engine za boxer maana toleo hili jipya jamaa wameondoa...
Pikipiki Boxer or TVS inahitajika iwe katika condition nzuri
Location: Mwanza
NB: Isiwe mbovu, na pia kama una brand nyingine kama Honda na bei reasonable nicheki.
MODEL: Boxer
MODEL NUMBER: BM 125
LOCATION: Tegeta, DSM
Iko vizuri kabisa na ENGINE haijawahi kuguswa
Ina registration card
BEI: 1,100,000/= maongezi yapo
NICHEKI PM KWA MAWASILIANO ZAIDI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.