boxer

Lim Yo-hwan (born 4 September 1980), known by the ID SlayerS_`BoxeR` (usually shortened to BoxeR), is a former professional player of the real-time strategy computer game StarCraft. He is often referred to as The Terran Emperor (Korean: 테란의 황제), or simply "The Emperor", and is widely considered to be one of the most successful players of the genre as well as an esports icon. In late 2010, he retired from StarCraft: Brood War and founded the StarCraft II team SlayerS. Since the disbanding of SlayerS, he briefly returned to SK Telecom T1 (SK T1) as a coach before retiring due to health related issues. He is currently a professional poker player.
Lim has a record of 548 wins and 416 losses (56.80%) in his professional career. He is one of the highest-paid professional gamers, with annual earnings that exceed $400,000 US Dollars and endorsement contracts that bring in an additional $90,000 per year.

View More On Wikipedia.org
  1. Chief Wingia

    Boxer BM 100cc na madereva bodaboda wa kanda ya ziwa hasa Bukoba na Mwanza mjini

    Habari zenu wadau. Last week nilikuwa pande za Kagera (Bukoba) na viunga vyake pia nilipita na jijini Mwanza (Mwanza town). Nikiri kuna mengi nilijionea ila la kushangaza ni madereva wengi wa bodaboda kutumia pikipiki za Boxer BM 100cc katika harakati zao za kuingiza kipato. Tofauti kabisa na...
  2. KING MIDAS

    Hii ndio sababu iliyonifanya niache kuvaa nguo za ndani (vest na boxer)

    Maisha ni fumbo kubwa lililojaa somo kubwa iwapo tu utasimama thabiti na ukiwa na msimamo chanya na kuwa mtu unayependa kujifunza kupitia na magumu unayoyapitia. Nilipoingia kwenye biashara na kuanza kushika vijihela ambavyo nilikuwa sijawahi kuvishika kabla, basi na tabia mpya zikaanza...
  3. Sky Eclat

    64 year old Madonna is now dating 29 year old Boxer Josh Popper

    I wish I can have that energy!
  4. S

    Pikipiki Used Tvs /boxer / Toyo / Sanya inahitajika

    Naitaji pikipiki Used mbili tvs / boxer na Toyo / Sanya Bajeti: laki saba Saba Kila Moja Yeyote mwenye nayo naomba tuwasiliane. Tuwasiliane kwanza pm Kisha nitakupatia namba zangu Gharama za usafiri mpaka hapa nilipo ni za kwangu Karibu
  5. The bump

    INAUZWA BOXER CC 125 (ina mwezi unaenda mwezi wa Pili) BM X

    Hii pikipiki nilininunua TAR 5 mwezi wa 9 nita attach risiti ya Manunuzi. Pikipiki sina namna naweza ielezea, "ni mpya" Naiuza sio kwa shida hivyo mteja apatikane asipatikane yote kheri. Sababu ya Kuiuza ni kutokana na ngekewa ambayo imenitokea bila kutarajia, sikua nimetarajia kabisa kupata...
  6. Movies Store

    BOXER decoration Kuanzia Lights mpaka Tires

    Habari zenu ndugu zangu,naomba kwa watumiaji wapikipiki hasa BOXER msaada wenu wa fundi au mahali ninapoweza peleka pikipiki yangu ikafanyiwa mbwembwe ikawa na muonekano mpya kabisa. Nakutana na pikipiki nyingi barabarani ni boxer ila kuna vitu imeongezwa imekua nzuri sana pikipiki hiyo hiyo...
  7. L

    INAUZWA Pikipiki TVS & Boxer

    Kwa Mahitaji ya pikipiki Aina ya TVS na Boxer BM/ BMX Tupigie 0652659775/0620617985 N.B ni kwa DSM pekee
  8. E

    Pikipiki boxer x125

    Wanajamii forum naomba kuuliza maximum speed ya boxer x125. Na je ni sahihi kuwa na speed ya mwisho 75km/h au kuna vitu natakiwa nirekebishe , pikipiki ni zile za zaman za gia 4.
  9. Degelingi_One

    PIKIPIKI: Bajaj Boxer 150 vs TVS 150

    Wasalaam wakuu humu ndani, Mwezi ujao natarajia kuingia dukani kuchukua chombo cha usafiri pikipiki. Kuna hivi vyuma Boxer na tvs kwa haraka haraka unaweza ukadhani ni vyuma sawa. Lakini wataalamu na wazoefu wanavijua vema kipi kinamzidi mwenzake. Naomba ushauri wenu ipi ni nzuri hasa...
  10. Daktari W Sindabhalla

    Boxer yangu katika chumba cha mpangaji mwenzangu

    Habari wana JF. Ninaomba ufahamu ili niiokoe ndoa ya watu. Wiki iliyopita nilimtembelea dada yangu anayeishi Dodoma mjini - Chang'ombe Extension. Yeye na MR. wake na watoto 2 wana chumba na sebule. Kwakuwa nilikuwa na majukumu binafsi mbali na kuitembelea familia hii na kutokana na ufinyu...
  11. Orketeemi

    Naomba kujua bei za pikipiki TVS na Boxer

    Wakuu kwema? Naomba mwenye kujua anijuze bei za pikipiki aina tofaut tofaut za brand ya TVS na za Brand ya Boxer Kwa DSM au Mwanza. Natanguliza shukrani.
  12. Ramon Abbas

    INAUZWA Pikipiki boxer bm 150 kwa 750,000: Tegeta Dar es salaam

    Boxer bm 150 namba B iko vizuri na inatumika hadi sasa engine haijawahi kushushwa kadi yake ipo biashara mnaandikishana mpaka kwa mwanasheria, polisi na serikali za mitaa haijawahi piga boda boda (private use only) 𝐦𝐚𝐥𝐢 𝐲𝐚 𝐦𝐜𝐡𝐮𝐧𝐠𝐚𝐣𝐢 𝐰𝐚 𝐤𝐚𝐧𝐢𝐬𝐚 bei 750,000 dar es salaam.. 𝐭𝐞𝐠𝐞𝐭𝐚 𝐤𝐢𝐛𝐚𝐨𝐧𝐢...
  13. Chomo

    Msaada: Nataka kujua thaman na ubora wa pikipiki aina ya Boxer

    Wakuu hivi karibuni natarajia kununua chombo cha moto (piki piki) Mapendeleo yng ni kuwa na piki piki aina ya boxer,lkn naziona zipo tofaut tofaut,zingne nasikia zinaitwa mdomo wa mamba.. Kwa anaejua tafadhari; Ipi ni Boxer imara zaid kuliko nyingne? Bei yake imesimama ngapi huko madukani...
  14. Z

    Piki piki boxer engine kuwa na vishindo

    Jaman mwenye uelewa kuhusu piki piki boxer engine kuwa na vishindo na kugonga gonga tatizo litakuw nini?
  15. N

    INAUZWA Nauza pikipiki aina ya Boxer

    Nauza pikipiki yangu ya kutembelea, ipo vizuri sana. Price; 1.5m Location; Mwanza Buzuruga Karibu Pm
  16. Mambembe

    Hivi inakuwaje mwanaume unavaa bukta ya kuchezea mpira ndani ya suruali badala ya boxer?

    Jamani katika kitu kinachoniuzi ni kumuona mwanaume kavaa li bukta la kuchezea mpira ndani ya suruali yaani nakereka kuliko maelezo embu fikiria unakutana na mkaka kavaa kapendeza yaani yuko smart kuliko maelezo alafu kavaa libukta la mpira hivi wenzangu mnajisikiaje? Kwanini mtu usivae boxer...
Back
Top Bottom