Mabibi na Mabwana wa JF....
Kasinde
na Mahabibi wake (Da.....) tunawatakia siku ya ufunguaji maboksi mwema.
Yetu tushafungua
tukiwa na pajama
(Usiulize maswali, sina majibu)
sasa twaenda sakata rhumba viunga vya baharini...... si kwa joto hili la Mbagala....
Enjoy your day, with...
Wale wapenzi wa boxing unaweza kuangalia sasa pambano la Canelo vs Plant kupitia link hii Boxing : Canelo Alvare vs Caleb Plant - HesGoal.Com Sports News
Pambano la sita 'super heavy weight' kati ya Hafidh Mlawa na Emmanuel Philimon lilikuwa kali sana!!!
Ila kitendo alichokifanya bwana Emmanuel baada ya pambano kumalizika ni kibaya sana, dharau kubwa, ni cha kukemewa na BFT pamoja na wadau wote wa mchezo wa ndondi/masumbwi Tanzania.
Pole sana...
Kwa kipindi cha miaka kama miwili hivi mchezo wa ngumi ulionekana kurudi kwa kasi na kuanza kufuatiliwa na watanzania wengi kama ilivyokuwa huko nyuma enzi za kina Rashid Matumla.
Hii ilichochewa kwa kiasi kikubwa na uwepo wa Mwakinyo ambaye alipata jina baada ya kumtwanga Mwingereza ambaye...
Mimi ni mshabiki mzuri wa ngumi. Hivi karibuni kumekua na mwamko mkubwa wa ngumu za kulipwa nchini. Shida kubwa inakuja pale panapokua na pambano zuri lakini muda unakua sio rafiki kabisa.
Tukiangalia ngumi za Marekani ambazo nyingi wanapigana Las Vegas huwa zinakua masaa ya alfajiri kwetu. Kwa...
Vifuti, mateke ya kutosha, Mawashi, yoko na mai gel za kutosha,
Leo kutakuwa na mapambano sita, yote ntakuwa naupdate hapa
Michezo yote ina rounds Tatu
Pambano la Kwanza
Frank Moshi Vs Jafari Juma
Mshindi Jafari Juma
Pambano la Pili
Ally Said Vs Patna Ally
Mshindi, Ally Said
Pambano la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.