branch

  1. kayanda01

    Jiji la Moshi mliwakosea nini Toyota Tanzania Ltd? Hakuna Branch wala Authorized Parts Dealer

    Moshi yote: *Hakuna Toyota branch; * Hakuna Authorized Dealer; * Hakuna Authorized Service Workshop; *Hakuna hata Authorized Parts Dealer Nilisikiaga kuwa Moshi ni jiji, why Toyota Tanzania Ltd alipe kisogo jiji hilo la wajuaji? Kuna jamaa zangu hapo wamefika mji huo jioni ya leo na...
  2. Mkogoti

    Ninadaiwa Tala, Branch, Tigo Nivushe, Nipige Tafu, M-Pawa, Songesha. Je, mimi ni nani?

    Habari za Jumapili? Katika maisha unapitia na changamoto kama hizo, nina mikopo japo sio mikubwa sana lakini inaniweka wasiwasi sana nisije nikaenda jela bure natafuta namna niwalipe madeni yao, lakini uchumi wa kati baba/mama kwangu ni shida sana; unasumbua sana mimi kwangu upo wa mwisho...
  3. Kevin85ify

    Kenya: One of the oldest UK schools(Durham school), set up first african branch in Nairobi

    Durham International School, which is one of the oldest schools in England, is set to open its first branch in Africa in Nairobi, Kenya. The school is located in the leafy suburbs of Thigiri and is expected to open in January 2021. The school will offer the British curriculum and will start...
  4. Jamii Opportunities

    Assistant Branch Managers at Abacus Pharma (A) Ltd

    Position: Assistant Branch Managers Abacus Pharma (A) Ltd Location: Dar es salaam Job Summary Assists in overseeing daily branch operations, managing all staff in the branch, Pharmacy inventory management, Dispatch & Dispensing process, etc. Job Description Responsibilities/Specialized...
  5. Bab fei

    Ushauri juu ya Aga Khan University Tanzania branch

    Wakuu mwenye kufahamu ubora wa elimu wa hiki chuo hasa masters course.
  6. Jamii Opportunities

    16 jobs positions at Toyota Tanzania Limited which is opening a new branch in Mbeya

    Toyota Tanzania Limited is opening a new branch in Mbeya and is now seeking well qualified, result oriented, dynamic and enthusiastic professionals to fill in the following positions below: 1. Auto Cleaner Good car washing skills, at least two years’ experience in a reputable carwash or...
  7. Babu Kijiwe

    TCRA fungeni haraka Laini yangu ili Branch na M-Power wasinisumbue

    Hawa wadai wangu wanapenda kunikumbusha kwa SMS hasa hawa Branch. Leo natangaza mwisho wao kwani line yangu inafungwa muda si mrefu sijui watamtumia nani SMS. Ikibidi TCRA yakwangu fungeni sasahivi, za wengine subirini sa 6 usiku. Ahsante NIDA kwa kutusaidia. Poleni M-Power poleni Branch...
  8. kigogo1ivi

    Ahsanteni sana Branch kwa kunisamehe kale kadeni

    Nashangaa sikuizi sioni tena zile sms zenu "mara tupo mtaaani kwako tunakupa masaa mawili uwe umelipa kabla hatujakukamata" na zile za kunitangaza kwenye vyombo vya habari eti mimi ni mdaiwa sugu lkn kuna ka sms kalikuwa kananikera kweli eti mnanitumia RB No. kisha mnaniambia natafutwa kitengo...
  9. Goodluckmkali

    Sasa unaweza kopa hadi shilingi milioni moja za kitanzania kupitia simu yako janja ya mkononi

    Sasa unaweza kopa hadi shilingi milioni moja za kitanzania kupitia simu yako janja ya mkononi na kurejesha kidogokidogo mahali popote na wakati wowote. Ili kupata mkopo inabidi uwe na vitu vifuatavyo:- (a)uwe na kitambulisho, eidha cha kupigia kura, cha taifa au leseni ya udereva. (b)laini ya...
Back
Top Bottom