Kumezuka utaratibu wa Wanachuo kuishi kinyumba katika hosteli 'bubu' hususan Msewe, Changanyikeni, Mabibo, Survey, Mlalakua, Makongo na Kigamboni.
Vijana badala ya kusoma wanawaza kudinyana**a.k.a **kuloweka Pamoja na madawa, pombe daily na kuchoropoa vichanga. Hapo usiulize UKIMWI au STD's...
Msako wa polisi wanasa kiwanda bubu cha silaha
KIWANDA cha kutengenezea bunduki za kienyeji aina ya gobore kimegundulika baada ya msako mkali kuendeshwa na Jeshi la Polisi mkoa wa Tanga na kufanikiwa kumkamata mtu mmoja anayehusika na kutengeneza vifaa hivyo pamoja na bastola aina ya Trurus...
Jeshi la Polisi mkoani Arusha linamshikilia mwanamke mmoja mkazi wa Sakina ambaye ni msimamizi wa kiwanda bubu kinachozalisha pombe kali na kumkuta akiwa na vitu mbalimbali ikiwemo stika 340 za TRA, chupa 483 za pombe kali, mtambo wa kutengenezea pombe hiyo pamoja na pipa lililojaa pombe kali...
Mbunge wa Dodoma jiji Mheshimiwa Anthony Peter Mavunde ni garasa hata sijui bungeni huwa anaenda kufanya nini,bubu si bubu,sijui mkimya sijui ni mpole yaani haeleweki.
Bila hii miradi ya kuboresha Makao Makuu sijui hata ingekuwaje? Barababa nyingi bado hazipitiki, sehemu inayohitiji hata...
Piiiipooozzzzz.....!!!!
Mie niko Calabash
Napiga Savanna kama nanawa sanitaizaaaa 😜😜😜😅😅
Cheers everyone but take care, the shit is real 😉.
Kasie Matata.
Maisha yamekuwa magumu sana huku uswahilini kwetu. Ninatamani hata kuuza hii Taxi bubu yangu (Chaser Avante GX-100) nifungue walau pub ndogo.
Sasa ni karibia mwezi wa saba huu tangia nianze biashara hii ya kuendesha Taxi bubu. Nilianza mwezi wa tano (May) mwaka huu wa 2020. Biashara imekuwa...
Nimeona mitandaoni mgombea Bubu wa CHADEMA anamwaga sera kupitia kwa mtafsiri. Nimevutiwa sana nae. Naombea ashinde. Hivyo naomba Lissu aende kumsaidia.
Wakuu niende moja kwa moja kwenye mada, kuna binti nimemuona ni bubu nahitaji nimnusuru kwa maana ya kumuoa.
Kuhus mawasiliano nashukuru tunaelewana japo kwa ishara japo ndio hivyo ni mwendo wa aba ba ba ba lakini sio inshu sana cha muhimu lile la muhimu kama mke analimudu.
Ningependa kupata...
Dr Sebi Tells How He Cures A.I.D.S
THERE IS ONLY ONE DISEASE MUCUS.......
WHERE MUCUS IS THE HUMMAN BODY?
According to Dr. Sebi, there exist only one disease which is mucus. He contended mucus in skin, blood and lymphatic system and membranes causes many afflictions.
DR.SEBI ADVICE IF YOU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.