Bugando Medical Centre (BMC) is a tertiary care medical facility owned by the Episcopal Conference of the Catholic Bishops of Tanzania. The hospital is operated in collaboration with the Tanzania Ministry of Health and Social Welfare.
Habari wadau.
Hali naona imeanza kuwa mbaya kwa upande wetu Tanzania ,nasikia huko Bugando washaanza kukumbwa na upungufu wa mitungi ya oxygen.
Kipindi hiki lockdown haikwepweki bila shaka. Mpaka sasa Bugando Hospital wanaupungufu wa mitungi 500 ya oxygen.
Huku mtaani kwetu Buza sioni kabisa...
Habarini wakuu,
Naomba kuifahamu kiundani hii shule.
Je, mazingira yake yapoje na je ni rafiki kwa kusoma hasa michepuo ya sayansi?
Vipi kuhusu upatikanaji wa hostels kwa wanafunzi?
Historia ya shule, imeanzishwa lini na perfomance-wise ikoje?
Asanteni.
Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imesema mzigo wa magonjwa ya saratani upo kwa wanawake kwa asilimia 70.
Pia imesema hakuna takwimu za kuthibitisha Kanda ya Ziwa inaongoza kwa matukio ya saratani nchini.
Hayo yalielezwa jana na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo, Prof...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.