bugando

Bugando Medical Centre (BMC) is a tertiary care medical facility owned by the Episcopal Conference of the Catholic Bishops of Tanzania. The hospital is operated in collaboration with the Tanzania Ministry of Health and Social Welfare.

View More On Wikipedia.org
  1. #COVID19 Hospitali ya Bugando yakumbwa na upungufu wa mitungi ya Oksijeni kwa Wagonjwa wa Kupumua

    Habari wadau. Hali naona imeanza kuwa mbaya kwa upande wetu Tanzania ,nasikia huko Bugando washaanza kukumbwa na upungufu wa mitungi ya oxygen. Kipindi hiki lockdown haikwepweki bila shaka. Mpaka sasa Bugando Hospital wanaupungufu wa mitungi 500 ya oxygen. Huku mtaani kwetu Buza sioni kabisa...
  2. U

    TANZIA TANZIA: Daktari Bingwa Mishipa ya Fahamu na Ubongo Ronald William Hodge Afariki Dunia

    Mwendazake alihudumu akiwa Daktari Bingwa wa Mishipa ya Fahamu & Ubongo (Neurologist) Hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Bugando
  3. Msaada: Nahitaji kuifahamu Bugando Secondary School iliyopo Geita

    Habarini wakuu, Naomba kuifahamu kiundani hii shule. Je, mazingira yake yapoje na je ni rafiki kwa kusoma hasa michepuo ya sayansi? Vipi kuhusu upatikanaji wa hostels kwa wanafunzi? Historia ya shule, imeanzishwa lini na perfomance-wise ikoje? Asanteni.
  4. T

    Hospitali ya Bugando yataka wanaoingia na kutoka hospitalini kuacha Barakoa zao getini wanapoondoka

    JE TUKIZIRUDISHA WANAPEWA WENGINE JE? TUNACHANGIA BARAKOA? Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR): Asilimia 70 ya Saratani yabainika kwa Wanawake

    Taasisi ya Taifa ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), imesema mzigo wa magonjwa ya saratani upo kwa wanawake kwa asilimia 70. Pia imesema hakuna takwimu za kuthibitisha Kanda ya Ziwa inaongoza kwa matukio ya saratani nchini. Hayo yalielezwa jana na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo, Prof...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…