bunge la 12

Bunge & Born was a multinational corporation based in Buenos Aires, Argentina, whose diverse interests included food processing and international trade in grains and oilseeds. It is now known as Bunge Limited.

View More On Wikipedia.org
  1. Roving Journalist

    Jumanne Sagini: Serikali inafuatilia kwa ukaribu matukio ya utekaji yanayoendelea Jijini Dar es Salaam

    Mbunge wa Nyang’hwale, Hussein Amar ameihoji Serikali ina mpango gani wa haraka kuzuia utekaji unaoendelea katika Jiji la Dar es Salaam. Miongoni mwa matukio matano ya watu kutekwa na kutoweka katika mazingira ya kutatanisha yalitokea mwaka 2023, limo la kutekwa mfanyabiashara Mussa Mziba (37)...
  2. Roving Journalist

    Dkt. Mollel: Gharama za kutibu wagonjwa wa Kisukari ni Tsh. Bilioni 300 kwa mwaka

    Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 14, Kikao cha 6, leo Januari 6, 2024. https://www.youtube.com/live/SYTvPYLNpNk?si=ZxFlRBcsLo7LLqGU Gharama ya kutibu wagonjwa wa sukari kwa mwaka ni TZS bilioni 300, na gharama za kutibu wagonjwa wote wa tezi dume ni TZS bilioni 46.42, hivyo...
  3. Roving Journalist

    Pre GE2025 Idrissa Juma: Elimu ya kupokea Matokeo kwa viongozi wa vyama vya siasa baada ya Uchaguzi iwekwe kwenye Sheria

    Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 14, Kikao cha 2, leo Januari 31, 2024. https://www.youtube.com/live/aKnZBQWXD_o?si=nsUmxYJmKTyrVV5i "Mchango wangu unajielekeza katika Muswada wa Tume ya Uchaguzi, ninatamani katika kutekeleza majukumu ya Tume ya Uchaguzi ambayo yapo na...
  4. Roving Journalist

    Bunge la 12, Mkutano wa 14, Kikao cha 1, Januari 30, 2024

    Mkutano wa 14 wa Bunge la 12 umepangwa kufanyika kwa muda wa wiki tatu kuanzia leo Januari 30, 2024 hadi tarehe Februari 16, 2024. Taarifa ya Bunge imeeleza kuwa Mkutano huu umeongezewa wiki moja kutokana uzito wa majukumu yaliyopangwa ikiwemo uzito wa Miswada itakayoshughulikiwa. Miswada...
  5. Singo Batan

    Miswada miwili ya sheria za uchaguzi yatua bungeni

    Leo tarehe 10 novemba 2023, Bunge limesoma miswada miwili ya sheria za uchaguzi kati ya miswada mitano iliyosomwa kwa mara ya kwanza. Miswada hiyo kuhusu sheria ya uchaguzi kwa mujibu wa bunge ni Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023; na Muswada wa Sheria ya...
  6. Roving Journalist

    Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa mwaka 2023 kusomwa kwa mara ya kwanza Bungeni, leo Novemba 10, 2023

    Orodha ya Shughuli za leo. Dua Maswali na Majibu Miswada mbalimbali ya Sheria kusomwa kwa mara ya kwanza ikiwemo Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa mwaka 2023. Aidha, muswada wa sheria za marekebisho ya vyama vya siasa (2023) utasomwa kwa mara ya kwanza...
  7. Roving Journalist

    Serikali: Sehemu zenye maambukizi ya ugonjwa wa malaria kwa wingi ndizo ambazo pia zina wagonjwa wengi wa Seli Mundu

    Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 13, Kikao cha 8, leo Novemba 8, 2023. https://www.youtube.com/live/EJYdReKJgo4?si=HbiC7GkWhGzGquFd Kwa mujibu wa takwimu za Mfumo wa Taarifa za Uendeshaji wa Huduma za Afya (MTUHA), jumla ya wagonjwa 86,990 wa Sickle Cell walihudumiwa kwa mwaka...
  8. Roving Journalist

    Waziri Bashungwa atoa maelekezo kwa TANROADS kukarabati mifereji, Novemba 7, 2023

    Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 13, Kikao cha 7, leo Novemba 7, 2023. https://www.youtube.com/live/1XyCg-1VaDw?si=ZauwTRbVZHBthDGw NAIBU WAZIRI: CHANGAMOTO YA MTANDAO WA VODACOM IMEATHIRI WATU MILIONI 1.8 BUNGENIWizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi...
  9. Roving Journalist

    Bunge la 12: Prof. Kitila: Uchumi wa Tanzania unakua kwa Wastani wa 6% kwa Mwaka ndani ya Miaka 20 iliyopita

    Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 13, Kikao cha 6, leo Novemba 6, 2023. https://www.youtube.com/live/5b96dhbHqyo?si=pgTrPHJvwGnYJKTO SPIKA TULIA: WABUNGE MARUFUKU KUZUNGUMZA NA SIMU BUNGENI, HESHIMUNI SEHEMU YA KAZI Spika wa Bunge, Tulia Ackson amekumbushia katazo lake kwa...
  10. Roving Journalist

    Serikali imekamilisha uandaaji na uidhinishaji wa Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 Toleo la Mwaka 2023

    Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania litaketi kwenye Mkutano wa 13, Kikao cha 4, leo Novemba 3, 2023 ambapo mambo kadhaa yatajadiliwa. Karibu kufuatilia kikao hiki. https://www.youtube.com/live/UZMpzMvlg2k?si=E92_VLUo4Q-0U9o0 Serikali imekamilisha uandaaji na uidhinishaji wa Sera ya...
  11. Roving Journalist

    Taarifa ya kamati kuhusu ripoti za CAG kwa hesabu zilizokaguliwa za serikali kuu na mashirika ya umma kwa mwaka 2022

    Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 13, Kikao cha 3, leo Novemba 2, 2023. https://www.youtube.com/live/Px2Csdrfk20?si=ydhC7gCMmMBrjxso === TAARIFA YA KAMATI KUHUSU RIPOTI ZA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA HESABU ZILIZOKAGULIWA ZA SERIKALI KUU NA MASHIRIKA YA...
Back
Top Bottom