Bunge & Born was a multinational corporation based in Buenos Aires, Argentina, whose diverse interests included food processing and international trade in grains and oilseeds. It is now known as Bunge Limited.
Mbunge wa Nyang’hwale, Hussein Amar ameihoji Serikali ina mpango gani wa haraka kuzuia utekaji unaoendelea katika Jiji la Dar es Salaam.
Miongoni mwa matukio matano ya watu kutekwa na kutoweka katika mazingira ya kutatanisha yalitokea mwaka 2023, limo la kutekwa mfanyabiashara Mussa Mziba (37)...
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 14, Kikao cha 6, leo Januari 6, 2024.
https://www.youtube.com/live/SYTvPYLNpNk?si=ZxFlRBcsLo7LLqGU
Gharama ya kutibu wagonjwa wa sukari kwa mwaka ni TZS bilioni 300, na gharama za kutibu wagonjwa wote wa tezi dume ni TZS bilioni 46.42, hivyo...
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 14, Kikao cha 2, leo Januari 31, 2024.
https://www.youtube.com/live/aKnZBQWXD_o?si=nsUmxYJmKTyrVV5i
"Mchango wangu unajielekeza katika Muswada wa Tume ya Uchaguzi, ninatamani katika kutekeleza majukumu ya Tume ya Uchaguzi ambayo yapo na...
Mkutano wa 14 wa Bunge la 12 umepangwa kufanyika kwa muda wa wiki tatu kuanzia leo Januari 30, 2024 hadi tarehe Februari 16, 2024. Taarifa ya Bunge imeeleza kuwa Mkutano huu umeongezewa wiki moja kutokana uzito wa majukumu yaliyopangwa ikiwemo uzito wa Miswada itakayoshughulikiwa.
Miswada...
Leo tarehe 10 novemba 2023, Bunge limesoma miswada miwili ya sheria za uchaguzi kati ya miswada mitano iliyosomwa kwa mara ya kwanza. Miswada hiyo kuhusu sheria ya uchaguzi kwa mujibu wa bunge ni
Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa Mwaka 2023; na
Muswada wa Sheria ya...
Orodha ya Shughuli za leo.
Dua
Maswali na Majibu
Miswada mbalimbali ya Sheria kusomwa kwa mara ya kwanza ikiwemo Muswada wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani wa mwaka 2023.
Aidha, muswada wa sheria za marekebisho ya vyama vya siasa (2023) utasomwa kwa mara ya kwanza...
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 13, Kikao cha 8, leo Novemba 8, 2023.
https://www.youtube.com/live/EJYdReKJgo4?si=HbiC7GkWhGzGquFd
Kwa mujibu wa takwimu za Mfumo wa Taarifa za Uendeshaji wa Huduma za Afya (MTUHA), jumla ya wagonjwa 86,990 wa Sickle Cell walihudumiwa kwa mwaka...
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 13, Kikao cha 7, leo Novemba 7, 2023.
https://www.youtube.com/live/1XyCg-1VaDw?si=ZauwTRbVZHBthDGw
NAIBU WAZIRI: CHANGAMOTO YA MTANDAO WA VODACOM IMEATHIRI WATU MILIONI 1.8
BUNGENIWizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhandisi...
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 13, Kikao cha 6, leo Novemba 6, 2023.
https://www.youtube.com/live/5b96dhbHqyo?si=pgTrPHJvwGnYJKTO
SPIKA TULIA: WABUNGE MARUFUKU KUZUNGUMZA NA SIMU BUNGENI, HESHIMUNI SEHEMU YA KAZI
Spika wa Bunge, Tulia Ackson amekumbushia katazo lake kwa...
Bunge la 12 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania litaketi kwenye Mkutano wa 13, Kikao cha 4, leo Novemba 3, 2023 ambapo mambo kadhaa yatajadiliwa. Karibu kufuatilia kikao hiki.
https://www.youtube.com/live/UZMpzMvlg2k?si=E92_VLUo4Q-0U9o0
Serikali imekamilisha uandaaji na uidhinishaji wa Sera ya...
Fuatilia yanayojiri kwenye Bunge la 12, Mkutano wa 13, Kikao cha 3, leo Novemba 2, 2023.
https://www.youtube.com/live/Px2Csdrfk20?si=ydhC7gCMmMBrjxso
===
TAARIFA YA KAMATI KUHUSU RIPOTI ZA MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI KWA HESABU ZILIZOKAGULIWA ZA SERIKALI KUU NA MASHIRIKA YA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.