bunge la tanzania

The National Assembly of Tanzania (Swahili: Bunge la Tanzania) and the President of the United Republic make up the Parliament of Tanzania. The current Speaker of the National Assembly is Job Ndugai, who presides over a unicameral assembly of 393 members.

View More On Wikipedia.org
  1. milele amina

    Ninaishauri Serikali ya Tanzania kupitia Bunge, kutunga na kuingiza sheria ya mitaala mipya ya elimu. Sio kila Waziri wa elimu kubadili mfumo wa elimu

    Ninaishauri serikali ya Tanzania kupitia Bunge, kutunga na kuingiza Sheria ya mitaala mipya ya elimu kwenye katiba ya nchi. Huu ni hatua muhimu katika kuhakikisha mfumo wa elimu unakuwa thabiti na endelevu, bila kuathiriwa na mabadiliko ya kisiasa au kubadilishwa kwa viongozi wa elimu. Kila...
  2. Mindyou

    Pre GE2025 Spika Tulia Ackson: Natamani kumuona Manara bungeni. Naibu Spika akistaafu siasa nitamshauri Manara akagombee

    Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Tulia Ackson ameeleza jinsi ambavyo amekuwa akitamani kumuona Mkurugenzi Mtendaji wa ManaraTv Hajji Manara akiwa ni miongoni mwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. "Unajua kule bungeni...
  3. Allen Kilewella

    Kwanini wabunge wa Zanzibar wasitoke nje ya Bunge yanapojadiliwa mambo ya Tanganyika?

    Yanapojadiliwa mambo ya Tanganyika yasiyo ya Muungano, ni kwanini wabunge toka Zanzibar wasiwe wanatoka nje ya bunge na kuwaachia wabunge wa Tanganyika kujadili mambo yanayowahusu watanganyika? Ni sawa wabunge toka nchi nyingine kujadili mambo yasiyowahusu ya nchi nyingine?
  4. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Wanu Ameir Awasilisha Taarifa ya OACP/EU Kwenye Kamati ya Bunge la Tanzania

    MHE. WANU H. AMEIR AMEWASILISHA TAARIFA YA OACP/EU KWENYE KAMATI YA BUNGE Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama wakiongozwa na Mwenyekiti, Mhe. Vita Kawawa wamepokea na kujadili Taarifa ya Wawakilishi wa Tanzania katika Umoja wa Mabunge ya Afrika, Carribeani...
  5. Dance Macabre

    Pre GE2025 Wabunge waliohudumu nafasi zao kwa muda mrefu zaidi…

    Ni wabunge gani waliopo bungeni wamehudumu kwa muda mrefu zaidi? Nani anashikilia rekodi ya kuhudumu kwa muda mrefu zaidi? Muda wa wastani wa mbunge kuhudumu ni miaka mingapi?
  6. C

    Kuna mtu anaweza kuniambia faida za Wabunge Tanzania?

    Kwa mujibu wa katiba,kazi za bunge ni kutunga sheria na kuisimamia serikali. Katika kazi hizo mbili,kazi ya kutunga sheria inafanywa na wanasheria wa serikali kusha kupitishwa na Bunge. Sheria iwe mbaya ama nzuri hakunaga sheria ambayo hupigiwa kura ya hapana. Kama ndivyo basi, kwa nini...
  7. Mzee wa Code

    Bunge ni Mali ya Wananchi kitendo cha kuwazuia Wabunge wenye taarifa muhimu za Kamati ni udhalimu

    Bunge la Tanzania Leo limeanza kikao vyake jijini Dodoma ambapo bunge ili litajadili taarifa za kamati tatu muhimu, ambazo zimewasilishwa na kamati hizo za kudumu kamati hizi zimewasilisha taarifa muhimu baada ya kupitia taarifa ya Cag ambapo makati hizo tatu za kudumu ambazo ni Kamati ya Kudumu...
  8. Waufukweni

    Spika Dkt. Tulia Ackson aibana Serikali kuhusu ajira kwa wanaojitolea katika taasisi mbalimbali za umma

    Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, ameibana serikali kuhusiana na suala la ajira kwa vijana wanaojitolea katika taasisi mbalimbali za umma. Akizungumza bungeni, leo Oktoba 29, 2024 Dkt. Tulia alisisitiza kuwa vijana hawa wanatoa mchango mkubwa kwa nchi, hivyo ni muhimu kwa serikali kuzingatia...
  9. Suley2019

    Mkutano wa 17 wa Bunge kuanza kesho Oktoba 29, 2024

    Mkutano wa Kumi na Saba wa Bunge utaanza kesho Jumanne tarehe 29 Oktoba 2024 na kumalizika tarehe 8 Novemba 2024 Jijini Dodoma. Shughuli ambazo zinatarajiwa kufanyika wakati wa Mkutano huu ni pamoja na: 1.0 Kupokea na kujadili taarifa za Kamati za PAC, LAAC NA PIC Katika Mkutano huu, Bunge...
  10. BLACK MOVEMENT

    Kinachoniuma ni kwamba Bunge la Tanzania halina hata mamlka ya kumuhoji mkuu wa wilaya

    Bunge la Tanzania halina mamlaka hata ya kumuita na kumujoji mkuu wa wilaya na wakimuita haendi na hawana cha kumfanya. Hili ni bunge la wapiga makofi na wakitoka hapo zile Posho zao wananunua Bati na mifuko ya cement wanaenda kuhadaa wajinga jimboni mwao. Sasa angalia ni tunahitaji miaka...
  11. J

    Natamani Bunge la Tanzania liwe linaangaliwa kama la Kenya, Fikiria hapa tupo Bar na tunatazama impeachment ya Gachagua mubashara 😂

    Sijajua Kwanini kona zote za hii Bar Watu wote tunafuatilia impeachment ya Gachagua mubashara Citizen TV Natamani akina Babu Tale na Kibajaj wafikie Viwango vya akina Omutata na Sakaya Ila sijui itakuwa lini maana Zitto Kabwe na Halima Mdee Viwango vilipandaga na kushuka ghafla Mlale Unono 😀
  12. kwa-muda

    Sijawahi kumkubali Tulia Ackson toka awe Spika wa Bunge la Tanzania, lakini nimegundua she is smart

    Mimi si kati ya watu wanaomkubali Mh. Tulia kutokana na ubabe na ambavyo huendesha bunge. Nahisi ni kutokana na siasa za nchi ambapo mtawala huwa Mungu mtu na sheria ni maamuzi ya mtawala. Kutokana na kutokumkubali hata majibu yake ya IPU sikutaka hata kusikiliza wala kutazama nilikuwa nasoma...
  13. M

    Dr Tulia akumbana na maswala mazito bunge la kimataifa tofauti na bunge la Tanzania

    Msikilize Na bunge letu lingalikuwa kama hili tungalikuwa tupo mbali sana kimaendeleo Cc Peter Msigwa Lucas
  14. Yoda

    Inamaanisha nini kufuatilia bunge la Kenya zaidi kuliko bunge letu tukufu?

    Kuna Watanzania wengi sana wanafuatilia kwa makini bunge la Kenya huku wakipuuza kufuatilia hata kidogo mambo yanayoendelea kwenye bunge lao, huko sio kukosa uzalendo? Pia Wakenya wenyewe hawafuatilii kabisa bunge letu, sijawahi kuona Mkenya ameposti mtandaoni kuhusu jambo lolote linaloendelea...
  15. B

    Spika wa Bunge la Tanzania Tulia Akson Mwansasu bado haamini kama Polisi Tanzania wanahusika na utekaji na mauaji ya Wanachi

    Akiongea na na Watangazaji wa kipindi cha asubuhi Good Morning cha Wasafi radio Septemba 27, 2024 Spika wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia Akson Mwansasu ameshangaa Jeshi la Polisi kuhusishwa na utekaji na mauaji ya raia wema Hivi karibuni vijana watatu wa chama cha demokrasia na maendeleo...
  16. Waufukweni

    James Mbowe: Bunge la Tulia ni Dhaifu na Halina Ubinadamu

    Mwanachama wa CHADEMA, James Mbowe, amekosoa vikali Bunge chini ya Spika Tulia Ackson, akisema kuwa ni dhaifu na halina ubinadamu. Kauli hii imekuja baada ya Bunge kutupilia mbali ombi la kujadili suala la utekaji na mauaji, ambapo Aida Joseph Khenani alitoa hoja ya kuitaka Bunge lijadili suala...
  17. J

    Wabunge wetu waende Kenya wakajifunze namna ya kuchambua Mikataba, Adani apigwa chini na Seneti!

    Ni hilo tu kama itampendeza Spika Tulia basi awapeleke akina Babu Tale hapo Kenya wakapigwe msasa Mlale Unono 😀
  18. D

    Kuna wakati Huwa natamani Jengo la Bunge lingejengwa Kagera, Arusha, Kilimanjaro au Mbeya

    DODOMA - BUNGE limepitisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Shule ya Sheria Tanzania wa Mwaka 2024 ambao umeondoa sharti la kila mhitimu wa shahada ya sheria kupita katika shule hiyo. Sharti hilo lilimtaka kila mhitimu wa shahada ya sheria nchini kulazimika kupitia na kufaulu masomo ya...
  19. J

    Imebakia mikutano mitatu Bunge la Shujaa Magufuli na COVID-19 lifikie tamati, tumepitia kipindi kigumu kweli kweli 🐼

    Utakuja kushangaza 2025 Wapiga Kura wanawarudisha bungeni Wabunge hawa hawa Hakika aliyeturoga kafa Kwako Malaria 2 ukiwa Gaza 😄
  20. Mkalukungone mwamba

    Yaliomkuta Mpina yahamia kwa DK. Mabula, Spika Tulia amtaka Kuwasilisha Ushahidi Kuhusu Madai ya Wodi ya Kituo cha Afya Sangabuye

    Wakuu kwema! Yaliomkuta Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina hatimaye yamemkuta Dk. Angelina Mabula ametakiwa apeleke ushahidi Bungeni kuhusu Kituo cha Afya Sangabuye wodi moja wanaume, wanawake na watoto. Hii inaleta maana gani kwa Wabunge hawa waliokutana na hili jambo kutoka kwa Spika, na jinsi...
Back
Top Bottom