bunge la tanzania

The National Assembly of Tanzania (Swahili: Bunge la Tanzania) and the President of the United Republic make up the Parliament of Tanzania. The current Speaker of the National Assembly is Job Ndugai, who presides over a unicameral assembly of 393 members.

View More On Wikipedia.org
  1. chiembe

    Wabunge wa Bunge la Tanzania wasiojua kingereza, walifanyaje uchaguzi wa wabunge wa Bunge la Afrika mashariki waliosailiwa kwa lugha ya kingereza?

    Kuna mahali naona hapako sawa, ili uwe mbunge Tanzania ni kujua kusoma na kuandika, kwa maana kwamba hata darasa la nne anaweza kuwa mbunge, na pengine hata kingereza akawa hajui, inakuwaje anamsikiliza mtahiniwa/msailiwa kwa lugha ya kingereza wakati yeye haijui?halafu baada ya hapo anapiga...
  2. M

    Bunge lichukue hatua kwa kauli ya kejeli ya Waziri Makamba ya kuita wawakilishi wetu upuuzi mtupu

    Nimefuatilia mjadala mkubwa wa Waziri wa Nishati kutumia lugha za kashfa kwa Mamlaka iliyokuwa inahoji kuhusu kuchelewa kwa Bwawa la Julius Nyerere pamoja na tatizo la kukatika kwa umeme. Sote tunatambua hoja hizo ziliibuliwa bungeni na Kamati za Bunge za Nishati na Madini pamoja na Kamati ya...
  3. Jamii Opportunities

    Afisa Ugavi Daraja la II Bunge la Tanzania - 2 Posts

    POST AFISA UGAVI DARAJA LA II - 2 POST EMPLOYER Parliament of Tanzania APPLICATION TIMELINE: 2022-06-11 2022-06-24 JOB SUMMARY NIL DUTIES AND RESPONSIBILITIES i. Kutayarisha makisio ya vifaa vinavyohitajika (Schedule of Requirements); ii. Kuandaa utaratibu wa upokeaji wa vifaa...
  4. T

    Maombi kwa Spika Wa Bunge la Tanzania Dkt. Tulia

    Mungu tunajuwa Wewe ni Mungu mwaminifu sana. Naniukweli usio pingika ktk malango yako ya siri haikuwa Rahisi kwa Dr Tulia kupita nakuwa. Spika wa Bunge la jamuhuri ya muungano wa Tz. Mlinde na ufunike ktk kipindi hiki waovu wameongezeka ktk uso wa dunia. Unajuwa yakuwa anamitego na majukumu...
  5. Erythrocyte

    Wajue Wagombea 9 watakaoshiriki Uchaguzi wa Spika wa Bunge la Tanzania

    Orodha yao ya kimkakati hii hapa ==== KATIBU wa Bunge na msimamizi wa uchaguzi wa Spika Nenelwa Mwihambi (NDC) ametangaza kukamilika zoezi la uteuzi na utaratibu wa uchaguzi wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania leo Januari Akiongea na Waandishi wa habari leo Bungeni...
  6. econonist

    Dkt. Tulia anaenda kuliua Bunge kama atachaguliwa kuwa Spika

    Kwa maoni yangu kwa kauli ya jana ya Naibu Speaker Dr Tulia Ackson, ni kweli kama atachaguliwa kuwa speaker wa bunge bunge litakufa na kubaki kuwa kitengo cha ikulu. Kwanza, anadai Rais ana nguvu Sana. Ina maana hajui kuwa bunge lipo pale kwaajili ya kuangalia na kumchunga Rais asitumie nguvu...
  7. ESCORT 1

    Nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

    Kufuatia kujiuzulu kwa Spika wa Bunge, Job Ndugai leo hii, kiti cha Spika kipo wazi. Je nani anafaa kuwa Spika mpya wa Bunge letu?
  8. IKUNGURU IJIRU CHUKU

    Hii gari inaitwa Ford consul model ya mwaka 1954 ni gari ambayo ilimilikiwa na Adam sapi mkwawa alikuwa spika wa bunge la Tanzania

    Remember
  9. M

    Hivi Bunge la Tanzania linaisimamia Serikali au linashirikiana na Serikali?

    Kwa akili ya kawaida Tujiulize Bunge letu linafanya kazi ya kuisimamimia Serikali au linashirikiana na Serikali? Bunge ni chombo cha wananchi ambacho hutakiwa kuisimamia Serikali na kuishauri kwenye mambo kadha wa kadha, sasa tujiulize ni Sheria ngapi za kumuumiza mwananchi zimepitia kwenye...
  10. jitombashisho

    Bunge la Tanzania jitafakarini kwanini hamfuatiliwi mijadala yenu kama zamani

    Lipo tatizo tena kubwa mno kwenye Mhimili wetu wa Bunge la Tanzania. Binafsi,hadi mchana wa leo sikuwa natambua kwamba vikao vya Bunge vimeanza huko Dodoma na imani yangu ni Watanzania wengi ambao pia hawaelewi kuhusu vikao hivyo kama vimeanza. Sasa,kwa aina hiyo ya kupuuzwa lazima Bunge letu...
  11. N

    Bunge la Tanzania ni mzigo kwa nchi, ni hasara kwa nchi

    Naomba niseme haya ni maoni yangu binafsi, na ni mtizamo wangu binafsi, na ndivyo ilivyo. Bunge la Tanzania lililojaa utitiri wa wabunge hadi wabunge feki, ni mzigo kwa nchi ni hasara kwa nchi wala halina faida yoyote Utitiri wa wabunge wa majimbo, wabunge wa viti maalumu wabunge wa kuteuliwa...
  12. MAHANJU

    Hivi Bunge la Tanzania linafanya kazi gani hasa?

    Tunapojiita kua tuna bunge badala ya kufanya kazi ya kuishauri na kuisimamia serikali badala yake linafanya kazi ya kuitetea serikali ni hasara kwa taifa kupoteza mabilioni ya shilingi kuwalipa mishahara. Mmekaa mnapitisha tozo ambazo ni maumivu kwa Watanzania tena kwa kishindo mnagonga meza...
  13. MURUSI

    Wakati Bunge la Kenya likipinga Mzigo wa Kodi kwa Wananchi, Bunge letu wanapitisha kwa kishindo

    Huku Bunge la Tanzania likitishiwa na Ndugai kwamba wasipo pitisha Bajeti Rais atavunja Bunge, Kwa upande wa Majirani zetu kwao ni tofauti kabisa. Tanzania Bunge lilihitimisha Mjadala wa bajeti kwa kupitisha kwa kishindo bila hata mabadiliko. Pamoja na utata wa kodi kama ya majengo kulipwa kwa...
Back
Top Bottom