Spika wa Bunge la Wawakilishi ambaye yupo kwenye mvutano wa Kisiasa, amehojiwa na Polisi baada ya moto mkubwa kuteketeza sehemu ya Bunge la taifa hilo la Afrika Magharibi
Moto huo umeharibu kabisa ukumbi wa pamoja wa Bunge, lakini hakuna mtu aliyekuwa ndani ya jengo wakati wa tukio, huku Polisi...