caf confederation cup

The CAF Confederation Cup, known as the TotalEnergies CAF Confederation Cup for sponsorship purposes, is an annual association football club competition established in 2004 from a merger of the CAF Cup and the African Cup Winners' Cup and organized by CAF.
Clubs qualify for the competition based on their performance in their national leagues and cup competitions. It is the second-tier competition of African club football, ranking below the CAF Champions League. The winner of the tournament faces the winner of the aforementioned competition in the following season's CAF Super Cup.
Moroccan clubs have the highest number of victories (seven titles), followed by Tunisia with five. Morocco has the largest number of winning teams, with five clubs having won the title. The competition has been won by 13 clubs, five of which have won it more than once. Club Sfaxien is the most successful club in the competition's history, having won the tournament three times. Zamalek are the current defending champions, having beaten RS Berkane in the 2024 final.

View More On Wikipedia.org
  1. CAF wanaipendelea Simba? Hii tena imenishangaza. Ina maana hawaoni juhudi zetu hawa watu?

    Simba wameongezewa muda na CAF. Sisi Yanga hatupendwi kila sehemu. Huu ni uonevu. Hata sisi tupo Shirikisho na tumeingia robo fainali tunastahili kuongezewa muda. Waache uhuni hawa CAF.
  2. M

    Viongozi wangu wa Simba naomba mtupe kazi ya kwenda kuusafisha uwanja kesho vinginevyo yatatukuta kama wenzetu Yanga

    Wenzetu wamepigana pini wao kwa wao, uwanja wameshauchafua kwa mipango yao ya nje, naomba mtupe kazi kesho asubuhi tubebe mafagio na dawa zetu tunazozijua wenyewe tukausafisha uwanja ule ili aibu iliyowakuta wenzetu kesho isitukute. Tafadhalini sana viongozi, mechi tulizocheza uwanja wa Taifa...
  3. Utabiri wa ukweli: Yanga atashinda 4-0 na Simba atakandwa 3-1

    I salute you kinsmen. Huu ni utabiri halali kabisa wa game zote za Simba na Yanga Yanga atashinda goli 4 Aziz Ki moja, Mzize moja, Dube, Pacome moja, Simba watakandwa 3-1 Goli moja la penati baunsa Ateba atafunga .
  4. Nashauri tiketi za Simba waruhusiwe kuingia nazo kwa Mkapa mechi ya Yanga ili kujaza uwanja bada ya makubaliano

    Mpira ni furaha sio uadui Nashauri tu kama inawezekana Yanga na Simba wakubaliane kama kuna wapenzi wa Simba wanataka kuja kuiona Yanga Wawaruhusu kwa makubaliano yao maalum watumie tiketi zao walizonunua kwa ajili ya mechi ya Constantines ambayo wamepigwa nyundo kuhudhuria Mpira siio...
  5. Kalamu Ya Leo Simba Vs Bravos

    FC Bravos in Build-up na 2-4-1-3 yao wamecheza vizuri sana dakika 45 za kwanza kwa kuzuia hatari za mpinzani wao hasa ndani ya 18 na kucheza muda mwingi kwenye Nusu yao! Kuanzia 1 Vs 1, Accurate Passes, Sharpness + Sond Balls nyingi ndani ya eneo lao walishinda hasa katikati kwa Kagoma na Ngoma...
  6. T

    Akina "Simuelewi Fadlu" Endeleeni tu kutomwelewa!

    Kumekuwa na vijimaneno vingi Tu toka Kwa "Walimu wa makocha" au sijui niwaite "wakosoaji wa makocha" hawana zuri hata kidogo wanachokiona Kwa makocha. Wamekuwa wakimkosoa Sana Fadlu kuwa mara Hana Kikosi cha Kwanza, mara oho! Sijui sub zake hazieleweki lakini yeye anashinda Tu. Na Leo...
  7. FT: Bravos do Maquis 1-1 Simba SC | CAF Confederation Cup | Estadio 11 de Novembre | 12.01.2025

    Heri ya Siku ya Mapinduzi ya Zanzibar. Ni jumapili tulivu, Mnyama Mkubwa Mwituni, Simba Sports atashuka dimbani dhidi ya wenyeji wake Bravos ya Angola katika mchezo wa Kombe la Shirikisho barani Afrika. Katika mchezo wa kwanza, Simba akiwa nyumbani aliibuka na ushindi wa 1-0, je ataendeleza...
  8. K

    Semeni Kabisa Kuhusu Bravos : Msisubiri Abatuliwe Muanze Kusema 'Bomu Mochware'

    Nimesikitishwa Sana Kusikia eti Simba imeifunga timu ya Madrasa huko Tunisia CS Sfaxien...! Hawa jamaa ni Mabingwa mara nne wa michuano ya CAF miaka ya karibuni. Hawa wanaosema hivyo, ndo Wale wale Waliosema mmenunua Ugomvi na watunisia mkienda kwao Kisasi kinawahusu. Sasa toeni Kauli...
  9. Simba ndo giant wa Tanzania kwenye Mashindano ya CAF, msijisahaulishe

    Kipindi timu zetu zikihangaika katika Mashindano ya CAF , kila mara zilikuwa zikitolewa hatua za awali, ni Simba ndo alofufua matumaini ya vilabu vyetu kushiriki makundi na kufanikiwa kutinga robo fainali CAFCL alipoitungua AS vita 2 - 1 Benjamin mkapa. _ Ni Simba ndo ilokusanya point nyingi na...
  10. Jeshi la Polisi latoa tamko baada ya mashabiki wa Simba kuvunja viti Uwanja wa Taifa

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limeripoti fujo zilizotokea tarehe 15 Desemba, 2024, katika Uwanja wa Benjamin Mkapa wakati wa mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika kati ya Simba SC na CS Sfaxien. Mashabiki wa CS Sfaxien walikasirishwa na mwamuzi kuongeza dakika saba, hali iliyopelekea...
  11. M

    Mechi ya leo inaviashiria vingi vya rushwa, rejea tukio la kadi ya njano ya Che Malone

    Kama we ni mtu wa mpira na sio mtu wa kuleta ushabiki kwa kila jambo utaungana nami, mfano ni tukio la kadi ya njano la Che Malone refa alipiga filimbi wakati mshambuliaji kapiga mpira kuelekea goli japo hakurenga goli, pia kama ilikua faulo kwanini hakutoa kadi nyekundu kwa Malone ambae alikua...
  12. Full Time: Bravos do Maquis 3 - 2 Constantine | CAF Confederation

    Bravos do Maquis 2 - 0 Constantine | CAF Confederation Mchezo unaendelea dakika ya 24 Bravos anaongoza goli 2-0
  13. S

    Mambo 15 niliyoyaona Simba vs CS Sfaxien ya Tunisia leo

    1. Simba ifanye tathmini upya kipindi hiki cha dirisha dogo kuhusu uwezo wa wachezaji wake wa kigeni kama kweli wanaweza kuitetea bendera na heshima ya Simba.Hadi sasa dirisha dogo linafunguliwa leo wachezaji wa kigeni wameshindwa kujitoa na kufikia hata nusu ya Kibu Dennis. 2. Tusione haya...
  14. Full Time: Simba SC 2-1 CS Sfaxien | CAF Confederation Cup | Benjamin Mkapa National Stadium | Disemba 15,2024

    Leo ndio leo kwenye kipute hiki cha Kombe la Shirikisho Africa kati ya wenyeji Simba ya Tanzania na wageni Sfaxien ya Tunisia. Hii ni Match Day 3 kwa timu hizi na mechi zilizopita wote walichezea kichapo ugenini (2-1 na 3-2). Leo kila mmoja anatafuta ushindi kufufua matumaini ya hatua ya...
  15. Yanga & Simba kwa makocha hawa asilimia 50 heshima ya nchi kwenye soka itashuka

    Umofia wana Jukwaa. Binafsi nasikitika na trend ya timu zetu kimataifa hadi sasa hamna unafuu kwa Timu zetu Kati ya Simba na Yanga. Kuna shida hasa kwenye management Simba iliwaza nini kumsajili Kocha ambae haja- prove kokote alikuwa Kocha namba 2 Raja na hakuna cha maana alionyesha kwa...
  16. Simba wasivimbe kiasi hicho bado ni wabovu

    Kiwango cha Simba tangu mechi ya Tabora mpaka ya leo kimedhihirisha hii timu bado ni mbovu sema tuu inajificha kwenye kichaka cha Utopolo kufanya vibaya. Washambuliaji wa Simba bado ni goigoi, viungo hawatengenezi nafasi timu inabebwa tuu na uwezo binafsi wa Camara. Soma Pia: Full Time: CS...
  17. Machache yaliyoonekana Simba SC ikitandikwa na CS Costantine

    1. Jean Charles Ahoua hana hadhi ya kuichezea Simba, dirisha dogo timu itafute playmaker mwingine 2. Upangaji wa kikosi umeendelea kuwa tatizo kwa kocha wa Simba, kuwaanzisha kwa pamoja mabeki wa kati watatu kuliwapunguzia umakini katika kutimiza majukumu yao. 3. Timu imecheza vizuri zaidi...
  18. Tuacheni Ujinga. Simba haijawahi hata kutoa Draw nchini Algeria. Leo Itachapwa kama Mbwa koko

    Wanasimba acheni ujinga na kutaka kuwatafutia lawama wachezaji wenu. Simba haijawahi hata kutoa draw nchini Algeria. Leo cha kufanya ni kuounguza idadi ya magoli wasifungwe magoli mengi sana maana hapo ni kupunguza idadi ya magoli tu. Simba yenyewe ni tia ndimu tia ndimu hamna muunganiko kila...
  19. Full Time: CS Constantine 2-1 Simba Sc | CAF confederation cup| December 8, 2024

    Match Day , shirikisho Vikosi vya leo Simba Constantine MPIRA USHAANZA 1900hrs kwa mida ya Tanzania kipindi cha kwanza kimeanza 2' Constantine 0-0 Simba 24' GOOOAL M Hussein anafunga goli Cs Constantine 0-1 Simba 29' Camara yuko chini akipatiwa matibabu baada ya kugongana na machezaji...
  20. Simba wapo Algeria ya vijijini, maporini huko Kwa walima ngano

    Madhara ya kushiriki Mashindano madogo ya Shirikisho, lazima timu zinazoshiriki haya mashindano zinatoka pembezoni. Simba wapo maporini katika Jiji la Constantine Algeria ambalo ni mji wa kale ambapo walifika Roman empire Yaani Kwa hapa Tanzania ni Kama Kilwa, Ruangwa lipo Namungo, Bagamoyo...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…