caf

The CAF Champions League is an annual continental club football competition run by the Confederation of African Football (CAF). The top club sides from Africa's football leagues are invited to participate in this competition, which is the premier club football competition in the continent and the equivalent to the UEFA Champions League. Due to sponsorship reasons, the official name is Total CAF Champions League, with Total Champions League also in use.The winner of the tournament earns a berth for the FIFA Club World Cup, a tournament contested between the champion clubs from all six continental confederations, and also faces the winner of the CAF Confederation Cup in the following season's CAF Super Cup.
Egypt's Al Ahly SC is the most successful club in the competition's history, having won the tournament eight times. Egyptian clubs have accumulated the highest number of victories, winning the title 14 times.

View More On Wikipedia.org
  1. Kichuguu

    Mechi za CAF za kufuatiliwa Week-end hii

    Week-end hii ndipo mizunguko ya michezo ya CAF inakamilika. Kutakuwa ni michezo 16 lakini ya muhimu kufutaila ni hii hapa chini kwa vile mingine itakuwa ni ya kumailisha ratiba tu. CAF-CL Yanga Vs MC Alger: Mechi hii itaamua ni nani kati ya washindani ataingia robo finali na itakuwa ya...
  2. Vincenzo Jr

    FT: Yanga 0-0 MC Alger | CAF Champions League | Estadio Benjamin Mkapa | 18.01.2025

    Gusa. Achia. Twenda kwao. Ni ligi ya mabingwa Afrika, Yanga wakiwa nyumbani watawakaribisha MC Alger katika mchezo wa mwisho wa makundi. Ni mchezo ambao Yanga atahitaji kushinda ushindi wa aina yoyote ile ili kuweza kufuzu robo fainali. Yanga imekuwa na fomu nzuri ya matokeo kwa mechi za...
  3. GENTAMYCINE

    Hii ndiyo Simba SC mpaka muda huu tayari Mashabiki wa Simba SC wameshajichangisha Milioni 32 kati ya Milioni 100 za CAF ili ikalipwe kama Faini

    Kuna Timu moja nina uhakika wangekumbana na hili Rungu la CAF kama Wangesema wachangishane ili wakalipe Faini huko CAF kwa Mashabiki wao walivyo Masikini na Wabahili (Malugume) nina uhakika hadi hivi sasa wangekuwa na ama Shilingi Mia Tano (Jero) ya Sarafu au Elfu Moja (Buku) ya Karatasi.
  4. Labani og

    Simba waamua kutembeza bakuli kuchangia faini ya CAF

    Bakuli lishaanza kutembezwa. Mlivyokuwa mnatoa viti mnasema Ubaya Ubwela[emoji23][emoji23][emoji23]Haya toeni pesa. Na Zile za Uwanja zipo wapi kwanza? Makolo waomba kuchangia faini ya 100 million Ili kulipa faini Baada ya kuvunja viti [emoji23][emoji23] NB: yawezekana hata sio makolo...
  5. GENTAMYCINE

    CAF wasifiche kuwa waliosababisha Michuano ya CHAN kusogezwa mbele kwa Kutokamilisha Miundombinu yao ni nchi ya Kenya

    Niwalaumu mno CAF kwani kama Kenya (ambao nina uhakika ndiyo wamechelewa kuwa na Miundombinu inayotakiwa kwa Mashindano hayo ya CHAN) bado kwa kuokoa muda na kutoharibu Ratiba za Mataifa mengine (kama Tanzania na Uchaguzi Mkuu mwaka huu) wangeweza kuwapa Rwanda nafasi hiyo kwani tayari Rwanda...
  6. Dalton elijah

    Michuano ya CHAN yasogezwa mbele hadi mwezi August, 2025

    Michuano ya CHAN ambayo ilipangwa kuanza kututuma vumbi kuanzia mwezi ujao Sasa imepigwa Danadana Mpaka mwezi August mwaka huu. Miongoni mwa sababu za Ratiba hiyo ni kutokukamilika kwa baadhi ya miundombinu kwa nchi ya Kenya, Tanzania na Uganda. Pia, CAF wametafuta Muda ambao mashindano yote...
  7. Pdidy

    CAF mmesubiri tutinge robo final mje kutuaibisha na hii adhabu ilikuwa wapi kwani?

    Nimewaza na kuwazuia sanaa Hivi kwa nini Sxafen walipewa adhabu mapema kabisaaa. Hili hali wotee walifanya Fujo na Simba siku Moja Iweje Hawa jamaa leoo wameona tumeingia robo final WANAANZA kutuadhibu Adhabu yetu ilikuwa wapiii kwani? Kwa nini wasubirie Simba tuingie robo final ndio watupe...
  8. M

    Kile kichaka cha CAF ranking kinakaribia kufyekwa rasmi na Yanga ndiyo maana stress na uoga ni mwingi upande wa pili

    Mpaka sasa Yanga anazo alama 34 kwenye CAF ranking na tayari keshaingia kwenye 10 Bora ya CAF ranking. Simba baada ya kufuzu robo fainali kafikisha alama 38, endapo Yanga atafuzu robo fainali klabu bingwa atafikisha alama 39 na kumshusha Simba! Kwa maana iyo ili Simba arudi kwenye nafasi yake...
  9. ChoiceVariable

    CAF wafute kanuni za goli la Ugenini na Head to Head, vinaondoa ladha ya mpira mfano ni Mwakarobo Simba

    Na declare interest,Mimi sio shabiki wa hizo Timu zenu za Kisiasa,Bali mpenda soka tuu Yaani Simba imeingia robo fainali wakati anaemfuatia ana uwezo wa kuzifikia pointi za Simba na Kuipita goal difference Yao. Kilichowafikisha hapo ni huu ujinga wa CAF ku entertain mambo ya goli la Ugenini na...
  10. Greatest Of All Time

    FT: Bravos do Maquis 1-1 Simba SC | CAF Confederation Cup | Estadio 11 de Novembre | 12.01.2025

    Heri ya Siku ya Mapinduzi ya Zanzibar. Ni jumapili tulivu, Mnyama Mkubwa Mwituni, Simba Sports atashuka dimbani dhidi ya wenyeji wake Bravos ya Angola katika mchezo wa Kombe la Shirikisho barani Afrika. Katika mchezo wa kwanza, Simba akiwa nyumbani aliibuka na ushindi wa 1-0, je ataendeleza...
  11. Waufukweni

    Kibu Denis: Mwanga upo kuhakikisha kwamba Simba tunachukua ubingwa wa CAF

    Nyota wa Simba Kibu Denis anasema hawana mechi ya nyumbani wala ugenini na kuna dalili kwa timu yao kuchukua ubingwa wa michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika kutokana na upambanaji wao. "Katika malengo yetu msimu huu moja ni hilo la kubeba ubingwa wa Afrika na naamini kwa uwezo wa timu yetu...
  12. Christopher Wallace

    FT: MC Alger 1-0 TP Mazembe | CAF Champions League | Stade de 5 Juillet | 10.01.2025

    Kundi A katika Ligi ya Mabingwa Afrika, leo kuna mchezo muhimu sana. MC Alger Vs TP Mazembe pale katika dimba la July 5, kuanzia Saa 4:00 Usiku kwa Saa za Afrika Mashariki. Mchezo huu ni muhimu sana kwa hatima ya Yanga katika kusonga mbele. Ikumbukwe MC Alger yupo nafasi ya pili akiwa na...
  13. Malaika wa Misukosuko

    CAF wawe makini na Mechi za MC Alger vs TP Mazembe na Al Hilal vs Yanga, Sisemi sana ila waweke mitego yao kuna Timu itanasa

    Habarini wakuu, Mechi kati ya Mc Alger vs Tp Mazembe, Al Hilal vs Yanga Hizi mechi CAF waziangalie kwa jicho la ukaribu zaidi na la kijasusi zaidi wakitega mitego yao kuna Mtu atanaswa na ndo itakuwa mwisho wa Timu husika kwaherini.
  14. mdukuzi

    Tenzi za Rohoni;Cha Kutumaini Sina, unawafaa Yanga michuano ya CAF

    Aliyetunga wimbo huu ni kama aliwatungia Yanga kwenye michuani ya kimataifa? Wimbo sahihi kwa wakati sahihi
  15. Tembosa

    FT: CS Sfaxien FC 0-1 Simba SC | CAF CC | Stade Olympique Hammadi Agrebi | 05.01.2025

    Siku ya Mechi Kali. Mwenyeji: CS Sfaxien FC Mgeni : Simba SC Mashindano: CAF CC Group Stage. Group A. Uwanja: Stade Olympique Hammadi Agrebi Stadium, Rades, Tunisia. Tarehe: 05th January 2025 Muda: Saa 1Jioni (EAT) VIKOSI. 1. CS Sfaxien 2. Simba SC Updates On 1st Half 00' Mpira...
  16. Malaika wa Misukosuko

    Haya ndo yatakuwa Matokeo ya leo na kesho ya mechi za CAF: Constantine vs Bravos(Bravos atashinda), Yanga vs TP Mazembe(Mazembe atashinda)

    Habarini, Kama nilivyoanza hapo juu haya ndo yatakuwa matokeo ya mechi za Leo za Cafcl na Cafcc za Tarehe 4 January 2025 na kesho 5 January 2025. (Kesho): Constantine vs Bravos (Bravos atashinda) (Leo): Yanga vs Tp mazembe (Tp mazembe atashinda) (Leo): Orlando pirates vs stade abidjan...
  17. Waufukweni

    CAF yatupilia mbali rufaa ya Guinea dhidi ya Tanzania kufuzu AFCON 2025

    Shirikisho la Soka Afrika (CAF) kupitia Kamati yake ya Nidhamu, limetupilia mbali rufaa iliyokatwa na Shirikisho la soka la Guinea (FGF) kufuatia kushindwa kwao na Tanzania katika siku ya mwisho ya mchujo ya kusaka tiketi ya kufuzu AFCON 2025. Guinea iliangazia ukiukwaji wa taratibu za...
  18. Shanily

    Simba ndo giant wa Tanzania kwenye Mashindano ya CAF, msijisahaulishe

    Kipindi timu zetu zikihangaika katika Mashindano ya CAF , kila mara zilikuwa zikitolewa hatua za awali, ni Simba ndo alofufua matumaini ya vilabu vyetu kushiriki makundi na kufanikiwa kutinga robo fainali CAFCL alipoitungua AS vita 2 - 1 Benjamin mkapa. _ Ni Simba ndo ilokusanya point nyingi na...
  19. Mdakuzi

    CAF yazuia Mashabiki Sfaxien Kwenye Mechi dhidi ya Simba

    Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limetoa adhabu kwa klabu ya soka ya Sfaxien kufuatia vurugu zilizoibuka baada ya mchezo dhidi ya Simba. Pia, wameadhibiwa kwa kitendo cha mashabiki wao kutupa mafataki uwanjani kwenye mchezo dhidi ya Cs Constantine. Hivyo, watacheza mechi mbili za nyumbani bila...
  20. errymars

    Ademola Lookman Amestahili tuzo ya mchezaji bora wa Mwaka kwenye Tuzo za CAF 2024?

    https://youtu.be/2nc32h40PQg
Back
Top Bottom