Imetumika miezi miwili tu, na iko complete (body, lens ya 24-105mm, speedlight, slots cards 4, charger pamoja na battery kama inavyoonekana kwenye picha
Bei 3.7m (lakini kuna mazungumzo)
Kama uko interesting, nicheki fasta kwa +255676095799
Wadau nauza camera Canon 4000d EoS
Ina lens tatu ambazo 18-55mm,55-250 mm na professional digital lens
Ina adapter ya 64 gb
Type of product
DSLR
Pamoja na charge yake.
Bei ni 650k
Kama upo Interested nicheki WhatsApp +255745588735
Canon EOS 1100D 12.0MP Digital SLR Camera - Black (Kit w/ EF-S 18-55mm + 75-300mm f/4-5.6 III ipo katika hali nzuri kabisa original box Na inauzwa pamoja na lens zake 2 kama unavyoonekana katita picha imetumika kidogo sana ipo kama mpya bei TZ 650000. LAKI SITA NA NUSU.
About this product...
Canon 600d
Ipo katika hali nzuri
Lens 18-55
Ina chagi yake na betri 2
Bei laki 6 maongezi yapo
Na lens kubwa ipo 55-250(bei laki na nusu).
+255 757 936 699.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.