car

  1. NAUZA Compressor machine, Gas cylinder 2, Floor Jack 3ton, Dry vacuum cleaner, Car pressure wash machine, Welding machine.

    Compressor machine L 1000, Gas cylinder 2, Floor Jack 3ton, Dry vacuum cleaner, Car pressure wash machine, Welding machine. Vyote kwa jumla 4ml tu. Nipo sinza. Bei sawa na bure. Wahi mapema kabisa tajiri Mawasiliano 0767266299
  2. Magari ya kukodi/ car rentals

    Need a ride? We’ve got you covered! From sleek sedans to rugged SUVs, Rhond's company limited offers top-quality rentals at unbeatable prices. ✨ Why choose us? ✅ Flexible rental options ✅ Affordable rates ✅ Well-maintained, reliable cars ✅ 24/7 customer support Book now and drive...
  3. Car rentals/Magari ya kukodisha

    Need a ride? We’ve got you covered! From sleek sedans to rugged SUVs, Rhond's company limited offers top-quality rentals at unbeatable prices. ✨ Why choose us? ✅ Flexible rental options ✅ Affordable rates ✅ Well-maintained, reliable cars ✅ 24/7 customer support Book now and drive...
  4. Tips for car owners

  5. Natafuta eneo la Car Wash Dar

    Hello wanjamii Kwa mtu yeyote ambaye anafaham sehem ambayo ipo sehem nzurii Kwa car wash hapa JIJINI DAR es salaam anifahamishe. Kuhusu vigezo Nataka iwe sehem ambayo ipo road inafikika kirahis na mtu anaweza kujua kama Kuna biashara ya car wash. Ikiwa center itakuwa vizurii zaidi sehem ambayo...
  6. Car experts, hii ni gari aina gani na tolel la mwaka gani?

  7. Car parking shades

    Tunatengeneza car parking shade za kisasa kwa bei nafuu
  8. Tunatengeneza Car parking shades

    Ilinde gari yako kwa kuipark sehemu salama pia hizi car parking shades huleta muonekano mpya wa nyumba yako au ofisi yako tupigie kwa namba 0687897026/0767583628
  9. Natafuta Mwekezaji (Milioni 50-Mtaji): Car rentals mega project

    Habari za Muda huu mwanakitaa/ mwana jf, mpambanaji Ningependa nikufunue macho kidogoo. Je unajua makampuni mengi makubwa yalianza kushika soko wakati uchumi ume yumba (Always Opportunity in adversity) Natafuta mwekezaji upande wa car tentals/logistics ni fursa kubwa iko upande huu ENDAPO...
  10. My Top 5 list ya Movies za Mashindano ya Magari!

    1. Ford v Ferrari (2019) 2. The Fast and the Furious (2001) 3. Rush (2013) 4. Days of Thunder (1990) 5. Cars (animation) (2006)
  11. Wazee wa First Car: Nunua Mazda Verisa chap chap kabla TRA hawajapandisha kodi!

    TRA Tanzania wametumwa kodi na sisi tunataka kuendesha vyuma kutoka Japan sio kwa Sossi Magari. Sasa kuna tabia ya hawa ndugu zetu kupandisha kodi ya gari maradufu wakiona uhitaji unakua mkubwa, nina mifano mingi ila naomba niwape miwili. Wa Kwanza Mwaka jana (2023) nilikua nasaidiana na...
  12. car rentals/ kodi magari

    Unahitaji gari la kuaminika kwa siku chache au wiki? Usiende mbali! Rhond's company limited huduma zetu za kukodisha magari zinatoa: Magari yaliyotunzwa vizuri Vipindi vya ukodishaji vinavyobadilika Bei nafuu Mchakato wa haraka na rahisi wa kuweka gari Safiri kwa faraja na uhakika...
  13. A

    Hybrid cars

    Nawasalimu wote jukwaani Kutokana na kuzidi kupaa kwa bei za mafuta napenda kujua zaidi kuhusu hizi hybrid cars. Ufanisi wake, uimara wake, consumption ya mafuta[nimesikia ni ndogo] na mengine mengi na je magari hAya ni rafiki kwa mazingira ya nchi yetu Mnaofahamu au kuwai kutumia gari hizi...
  14. Ushauri: Biashara ya car wash

    Wazoefu wa hii biashara naomba ufafanuzi; Niandae bajeti ya Tsh ngapi kwa ajili ya hii biashara mchanganuo wa bei ya machine na Vitu vingine vinavyohitajika. Location nzuri iweje Mambo gani ya msingi nizingatie Ili nipate location nzuri Gharama za uoshaji zikoje kwa sasa. Changamoto ya hii...
  15. Car companies that drive the World

    Sijaona Isuzu Mitsubishi
  16. Kama hauna mambo mengi, daka Mitsubishi i-MIEV electric car, hafu sahau gharama za mafuta!

    Wadau wa JF Garage. Kuna chuma, EV kutoka kampuni la Kijapan Mitsubishi inaenda kwa jina Mitsubishi i-MIEV (Mitsubishi innovative Electric Vehicle). Hii unaweza kuipata BEforward kwa bei kati ya Mil 5 hadi 6 na kuendelea, na kodi zake (kwenye calculators ya TRA haipo) nimeulizia ni Tsh Mil 3.5...
  17. Nahitaji vijana wawili wenye uhitaji wa kujifunza Car Diagnosis, repairs na umeme wa magari kiujumla.

    Sifa Awe na basic knowledge ya magari madogo(Zingatia). Muaminifu na mchapakazi Garage iko Iko Makuburi, Ubungo. Hakuna malipo. Tuma message ya kawaida au whatsapp +255688758625 (usipige simu tafadhali).
  18. Magari ya kukodi / Car rentals

    RHOND'S COMPANY LIMITED Karibu kwenye huduma zetu za kukodisha magari(car rental), ambapo tunakuhakikishia usafiri wa uhakika na wa kuaminika. Tunatoa magari ya kisasa kwa bei nafuu na huduma bora kwa wateja wetu wote. Tunatoa: Magari ya Aina Zote: Kuanzia magari madogo, magari ya familia...
  19. Ni changamoto zipi zinazikumba car wash za hapa bongo?

    Kuna jamaa aliniuliza kuna changamoto gani au kero zinakumbananazo car wash za hapa bongo kwa maana yeye alitaka siku moja aanzishe automated car wash kama hio hapo chini https://youtube.com/shorts/gp6_tX0no50?si=VHD5CWh6KZ_epVth Nikaona isiwe tabu wacha niulize huku JF labda kuna watu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…