What you are about seeing and reading about is the Costliest Car in the World, The Buggati Lat Voit Nor, it's Value, it's Features and the Only human being walking the earth that owns it.
It was unveiled in 2019 and it costs a whooping sum of 19 million Dollars which is 6.9 Billion Naira in...
1998 Toyota corolla for sale.. Cc 1490, MANUAL Transmission.. 180,0000kms..Color white..Very good Condition.. Price Tzs 4.5 million
Contact 0717900640
Dar es Salaam
The untamed technological ambitions of the young creatives and inventors all across Africa is an attestation of a generation that is hungry to deliver cutting-edge technology to the continent. They brave heavy odds stacked against them to come up with products that are game-changing.
What...
Naomba kujua kwa anayefahamu bei ya kitambaa cha car shade pekee yake pamoja na labor ya kushona kwa car shade ya mita 5 kwa mita 5. Asanteni
0625 536 529
NISSAN X-TRAIL VS TOYOTA HARRIER
CAPACITY; harrier ina uzito mkubwa zaidi kwa kuwa na maximum weight ya 2700Kg lakini x-trail ina uzito wa 2170 Kg lakin x-trail ina nafasi kubwa ya kubeba mpaka uzito wa 1773Kg ambapo ni asilimia 11 zaidi ya harrier na ina roof kubwa kuliko harrier.
ENGINES...
Sumtech Company Limited
Tuna bidhaa zenye uwezo wa kulinda,kutoa taarifa kuhusu gari lako,kwa kupitia simu yako mteja anaweza kuona,
-Speed
-Sehemu ya gari yako ilipo
-kuzima au kuwasha gari
-Routes za gari
-Gari lilipo
-Mwendo wa mafuta,kujua mafuta yaliyowekwa au kiasi gani cha mafuta...
Habari!!
Speaker au subwoofer ya gari au nyumbani unaweza kuifanya ya kisasa yenye Bluetooth kwa kutumia kifaa hiki hapa
Kinapatikana kwa bei nafuu ya Tsh. 15000. Tu kwa mawasiliano zaidi nicheki kwa 0767142928 text,call,WhatsApp tufanye biashara.
Napatikana Mbeya.
Mikoani tunatuma ukihitaji...
Hi,
I am eager to get my driving license in Tanzania, however I am 16 years old. The Tanzanian law book says 16 years of age for motorbikes. Even the TRA website says 16 years of age for motorbike. However, when I contacted TRA, they said you are required to be 18.
What is the correct driving...
Hi,
I am eager to get my driving license in Tanzania, however I am 16 years old. The Tanzanian law book says 16 years of age for motorbikes. Even the TRA website says 16 years of age for motorbike. However, when I contacted TRA, they said you are required to be 18.
What is the correct driving...
Habari wakuu,
Nimejikusanya muda sasa kuweza kumiliki gari la ndoto zangu. Tatizo ni budget yangu kwani nimefuatilia kuhusu my dream car naona mfuko haujajaa linapokuja suala la TRA.
Je, waweza nishauri gari gani linaloweza kuwa;
- Economy,
- Confortable,
- Attractive,
- Unique,
- Stand out on...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.