cashier

  1. M

    Natafuta kazi ya Accountant, Cashier au Customer Services

    Hello mimi ni binti wa miaka 23 nimehitimu chuo kikuu cha Dar es salaam mwaka jana 2024 Bachelor of Commerce in Accounting. Mimi kama kijana nahitajii kazi ili niweze kutimiza ndoto zangu maana saizi nipo tu nyumbani roho inaniuma sana naombeni msaada wenu kwa atakayeguswa na hili. Asanteni...
  2. M

    Natafuta kazi ya cashier or customer service nipo jijini Dar es salaam

    Hello naitwa jenipha Nimemaliza degree ya uhasibu chuoo kikuu cha Dar es salaam natafuta kazi naombeni msaada wenu 0713776534
  3. cashier (preferably a lady living in Arusha)

    Wakuu habari, Anahitajika cashier wa duka lililoko Arusha. Upendeleo maalumu ni kwa binti wa kitanzania aishie Arusha aliye mwaminifu kwenye masuala ya pesa na kuhudumia wateja pamoja na uzoefu wa angalau miaka mitano (5 na kuendelea). Mshahara ni kati ya Tsh. 200,000 hadi Tsh.250,000...
  4. Cashier at Kamanga Medics Hospital February, 2024

    Position: Cashier Key Requirements • Certificate / Diploma in Accountancy from any recognized institution. • Minimum one year of working experience in the same position. • Good customer care services to the clients. • Ability in analytical and problem solving skills • Ability to maintain...
  5. K

    Cashier Anahitajika Dar es Salaam

    Description To work as a cashier Minimum Education O-Level QUALIFICATION: Minimum NBAA DIPLOMA IN ACCOUNTS Send your CV and application letter to: teseandtecho@gmail.com Deadline; 10 JULY 2023
  6. Naitaji Cashier wa Min Restaurant ( Kigamboni)

    Naitaji kijana wa kike au kiume ambae amemaliza form 4 na anaweza kufanya kazi ya kusimamia mauzo na manunuzi ya vitu kwenye restaurant Kazi yake kubwa itakuwa ni kufunga hesabu za siku, kujua maitaji ya vitu vinavyoitajika Kwenda kununua hivyo vitu Na kusimamia mauzo Kazi ni kuanzia saa 1...
  7. F

    Ma cashier wa mwendo kasi wana ujanja wa kuuza ticket za mwanafunzi kwa watu wazima kisha kinachozidi 450 ni chao.

    Habari za jioni Kwenye mwendokasi dar ma cashier wajanja sana. Nauli ya mwanafunzi ni 200 Nauli ya mtu mzima ni 650. Hizi tiket za mwanafunzi na mtu mzima zinafanana kila kitu tofauti ni maandishi ya bei tu. Ma cashier huwa wana tabia ya kuprint tiket nyingi wakiwa wenyewe.. kisha wateja...
  8. Voucher Examiner (Alternate Cashier) at U.S Embassy Dar Es Salaam

    About Announcement Number: Dar es Salaam-2022-037 Hiring Agency: Embassy Dar Es Salaam Position Title: Voucher Examiner (Alternate Cashier) Open Period:03/17/2022 – 03/31/2022 Format MM/DD/YYYY Vacancy Time Zone: GMT+3Series/Grade:LE – 0420 7 Salary: TZS TSh29,568,947 Work Schedule: Full-time –...
  9. M

    Natafuta kazi sales and marketing, customer service au data entry.

    Habari za mchana viongozi. Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 23 Nina ujuzi katika sales and marketing na customer care service na data entry na stock controller namba yangu ya simu 0654918030.
  10. M

    Nafasi za Kazi Coast Mart Supermarket – Cashier

    Job Position Cashier At Coast Mart Supermarket Coast Mart Supermarket is located in the heart of Kibaha, in a new modern building with its 1,200 square meters meets the different needs of customers with entire departments. dedicated to fresh, healthy and all other products. A store that...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…