Masala tea (; lit. 'mixed-spice tea') is a tea beverage made by boiling black tea in milk and water with a mixture of aromatic herbs and spices. Originating in India, or Thailand the beverage has gained worldwide popularity, becoming a feature in many coffee and tea houses. Although traditionally prepared as a decoction of green cardamom pods, cinnamon sticks, ground cloves, ground ginger, and black peppercorn together with black tea leaves, retail versions include tea bags for infusion, instant powdered mixtures, and concentrates.
The term "chai" originated from the Hindi word "chai", which was derived from the Chinese word for tea, cha (see: Etymology of tea). In English, this spiced tea is commonly referred to as masala chai, or simply chai, even though the term refers to tea in general in the original language. Numerous coffee houses use the term chai latte or chai tea latte for their version to indicate that it is made with steamed milk, much like that used to make a caffè latte, but mixed with a spiced tea concentrate instead of espresso. By 1994, the term had gained currency on the U.S. coffeehouse scene.
TAARIFA KUTOKA SHIRIKA LA VIWANGO TANZANIA (TBS)
Ufafanuzi kuhusu bidhaa ya Majani ya Chai ya "SAFARI PRIMIUM TEA"
@TBS_Tanzania
====
Shirika la Viwango Tanzania (TBS) linapenda kutoa ufafanuzi juu ya taarifa inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii inayoonesha utata unaotokana na taarifa...
Kisa hiki kinapatikana kwenye kitabu Unyonge wa Mwafrika.
Chai ya Kandambili
Wakati mmoja nilipata kuwa Karani Mkuu wa Boma, wenyewe humwita Chief Clerk. Chief Clerk enzi za mkoloni mtu mkubwa sana. Ikafika sikukuu ya Malkia. Siku hiyo hualikwa machifu na watu wakubwa katika Wilaya nyumbani...
Kwa vile CHADEMA wapo Mara, ingefaa kama wangekwenda kulizuru kaburi la Mwalimu. Kwa sababu inafaa kama watu wanafanya shughuli za kisiasa Mara wapite kumsabahi Mwalimu. Inafaa watu wanaotaka kuongea na Watanzania,waende kwanza kumsabahi Mwalimu. Inafaa watu wanaotaka kuongea na Foreigners...
Waziri wa Kilimo, Husein Bashe ametangaza bei mpya ya chai ambayo ni Sh366 kwa kilo itakayoanza kutumika kwenye mnada wa kwanza utakaofanyika Februari 10, 2023.
Kwa zaidi ya miaka mitano, bei ya zao hilo haijawahi kupanda kutoka Sh314 jambo lililokuwa linawadidimiza wakulima. Pamoja na bei...
Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ameagiza viwanda vya chai kulipa madeni ya wakulima vinginevyo atavifutia leseni.
Amesema haiwezekani wakulima waliopeleka chai kwenye viwanda vyao tangu Agosti, 2022 bado hawajalipwa malipo yao jambo ambalo sio sahihi.
Bashe amesema hayo jana Januari 18 wakati...
Asalaam alyeikum ndugu wana jamii ya jamiiforum..?
Awali ya yote poleni kwa maswahibu mnayopata sehemu mbalimbali na wale mnaokula raha shikilieni hapohapo.
Mwenzenu juzi kati nimeyakanyaga!,mwisho wa mwaka huu nikaamua niende zangu kijijini kusalimu ndugu na jamaa pamoja na majirani.. siku ya...
Na Gianna Amani
Inawezekana kuwa hujui hili lakini taarifa za kihistoria zilizopo zinaeleza kuwa chai na kinywaji cha chai asili yake ni nchini China na Myanmar na jambo la kushangaza zaidi mataifa mengine yameijua Chai katika karne ya 16.
Chai ni kinywaji maarufu duniani kinachokadiriwa...
"Mbinu za Jadi za Kichina za Kutengeneza Chai na Desturi Zinazohusiana” zilizowasilishwa na China tarehe 29 Novemba, zilipitishwa kwenye Mkutano wa 17 wa Kamati ya Kiserikali ya UNESCO ya Kulinda Urithi wa Utamaduni Usioshikika uliofanyika huko Rabat, Morocco, na kuorodeshwa kuwa Urithi wa...
Na Gianna Amani
Inawezekana kuwa hujui hili lakini taarifa za kihistoria zilizopo zinaeleza kuwa chai na kinywaji cha chai asili yake ni nchini China na Myanmar na jambo la kushangaza zaidi mataifa mengine yameijua Chai katika karne ya 16.
Chai ni kinywaji maarufu duniani kinachokadiriwa...
Oya kwema wakuu?
Jana katika pita pita zangu nikamfuma huyu jamaa bishoo kajibanza mahali anapiga chai kwa mama ntilie. Nikajiuliza zile show off za kutumia mamilioni kwa ajili ya kifungua kinywa tu pale Kempiski Hotel zimeishia wapi mpaka anajumuika na sisi wanyonge huku kwenye chai za buku...
Mwenye kufahamu mmiliki wa mradi nilioutaja hapo juu aje inbox tafadhali.
Hali ya uchumi tunasema ni mbaya ila kuna mradi wa maajabu ulikamilika eneo la Kiligolf Maji ya chai huko Arusha Tanzania.
Je ni Lini Mh. Rais wetu mama Samia atakwenda kufungua mradi huo ambao tayari umeshakamilika...
Tulipaswa kukomaa ili waliokula bil kumi zetu wazitapike.
Mbowe na genge lake walipaswa kuzitema.
Leo hii tunahangaika kupata mapato.
Join ze chain imefeli na sasa tuje na mkakati gani kuchangishana pesa?
Moja kwa moja kuokoa muda..
Mimi sio mpenzi wa kutumia majani ya chai ya dukani mara nyingi napenda kutumia chai ya mchaichai,baada ya kupitia nyuzi mbalimbali humu zinazohusu mti wa mlonge na faida zake nikahamasika sana kutengeneza majani ya chai ya mlonge.
Nikaingia YouTube na gugo na...
Kenya inapanga kuanza kuuza chai nyeusi kwenye soko la China kufuatia kuongezeka kwa mahitaji ya bidhaa hiyo kwenye soko la China. Nia hiyo ya Kenya imejulikana kwenye ziara iliyofanywa na balozi mteule wa Kenya nchini China Bibi Muthoni Gichohi, kwenye kiwanda cha chai cha Nduti mjini Murang’a...
Wakuu hasa wale Wataalamu Wa Chemical na Hata Physics Kwa Ujumla nataka kupata Ufafanuzi hapa Kidogo!
Chupa zetu za Kuhifadhi Joto La Vinywaji au Vimiminika Kama Chai, Kahawa au Maji Moto Ndani Imegundulika Kuna Vidonge!! Naam Ni vidonge!
Video hii inasambaa Mtandaoni Kuhusu Hili Jambo!! TFDA...
Waziri anayehusika na Mipango wa Pakistani amependekeza kuwa wananchi wapunguze unywaji wa chai kwa kuwa Serikali hutumia fedha nyingi kuingiza chai kutoka nje ya nchi, pendekezo hilo limesababisha hasira ya wananchi dhidi ya serikali na kusema kuwa uchumi umedorora kutokana na serikali kuwa na...
Wananchi wameshauriwa kupunguza unywaji wa chai ili kusaidia Uchumi wa Nchi. Waziri wa Mipango na Maendeleo, Ahsan Iqbal ametoa wito huo akisema, "Tunakopa ili kuagiza Chai, kunywa vikombe vichache kutashusha gharama kubwa za uagizaji"
Inaelezwa kuwa, Akiba ya Fedha za Kigeni ya Pakistan...
Kama unaona stori ni ya uongo na hujatozwa hela kwanini umkatishe msimuliaji tamaa?! Sisi wengine tunanufaika na simulizi za humu kwani zinatupunguzia stress.
Sasa unakuta stori ni nzuri sana na ungependa kusoma muendelezo wake, wanaibuka watu wa kumkatisha tamaa msimuliaji kwa kumuambia...
Bodi ya Chai ya Kenya jana ilitangaza kuwa ingawa mapambano kati ya Russia na Ukraine yameathiri shughuli za uchukuzi, lakini mapato ya chai ya Kenya inayouzwa nje yameongezeka kwa asilimia 10.4 katika robo ya kwanza ya mwaka 2022 ikilinganishwa na mwaka jana kutokana na ongezeko la bei duniani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.