Chumba chako ni chako na mume wako tu. Haipendezi chumba cha wanandoa kuingiwa kiholela na watu ambao washavunja ungo iwe mschana wa kazi, wakwe, mawifi, mashemeji, majirani au yeyote yule.
Chumba chako kikikosa staha na ndoa yako pia itakosa kuheshimiwa. Unapolala na mumeo hapafai kuonekana...
Pumzika mpambanaji Honorath Godfrey Makoi ulikuwa na ndoto nyingi sana.
Msiba uko nyumbani kwake Swaswa.
Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma.
1. Chako ni Chako
2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔)
3. The Evick...
Leo nimezunguka Dar nzima nimeshangaa kukuta mabango kila mahala hususani stand za magari, packing na vituo mbali na mawe pia.
Mabango hayo yanashawishi ubinafsi ili watu waendelee kuwa wabinafsi. Halafu anayetarajiwa kueneza hayo ni mtu anayejiita mtumishi tena amenipa majina ya mtume na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.