chako ni chako

  1. Magical power

    Chumba chako ni chako na mume wako tu

    Chumba chako ni chako na mume wako tu. Haipendezi chumba cha wanandoa kuingiwa kiholela na watu ambao washavunja ungo iwe mschana wa kazi, wakwe, mawifi, mashemeji, majirani au yeyote yule. Chumba chako kikikosa staha na ndoa yako pia itakosa kuheshimiwa. Unapolala na mumeo hapafai kuonekana...
  2. AmKATRINA

    TANZIA Mmiliki na Mkurugenzi wa Bar ya Chako ni Chako jijini Dodoma, God Makoi, afariki dunia kwa ajali ya gari

    Pumzika mpambanaji Honorath Godfrey Makoi ulikuwa na ndoto nyingi sana. Msiba uko nyumbani kwake Swaswa. Alikuwa mmiliki wa Bar tatu maarufu jijini Dodoma. 1. Chako ni Chako 2. GM Sport & Bar (hii aliifunga ili kuifanyia marekebisho, na mpaka sasa iko kwenye matengenezo, so sad 😔😔) 3. The Evick...
  3. D

    Mabango yaliyoandikwa chako ni chako yanachochea ubinafsi

    Leo nimezunguka Dar nzima nimeshangaa kukuta mabango kila mahala hususani stand za magari, packing na vituo mbali na mawe pia. Mabango hayo yanashawishi ubinafsi ili watu waendelee kuwa wabinafsi. Halafu anayetarajiwa kueneza hayo ni mtu anayejiita mtumishi tena amenipa majina ya mtume na...
Back
Top Bottom