chalamila

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    Tuache chuki binafsi, RC Chalamila anafaa

    Huyu ukiacha tukio lake la kuchapa viboko (tena watoto wa shule) hamna sehemu record ya matukio yake ni njema tu kwa kuwa hakuwa mtu wa visa visa. Yeye anamaliza hapo hapo halafu kwa hekima zenye utani ndani yake. Roho yake ilikuwa ni nzuri tu na alizicheza vema siasa za mkoa huo. Huyu mimi...
  2. Chalamila amalize kwanza tatizo la Daladala na Bajaj Mbeya Kabla hajapelekwa Mwanza

    Mheshimiwa Samia! Ninakubaliana na uteuzi wako kwa Mhe. Chalamila kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mwanza. Kijana mdogo, mchapakazi, lakini mara nyingi huwa anakuwa moto na kukosa busara, kitu ambacho kwa umri wake bado ana muda mwingi wa kujifunza. Lakini taarifa zinasema, kwa muda mrefu sana Mkuu wa...
  3. Hongereni wana Mbeya na poleni wana Mwanza

    Toka ateuliwe kuwa mkuu wa mkoa wa Mbeya huyu ndugu wana Mbeya hawajawahi kumkubali kabisa, maana utendaji wake wa kazi ni wa sifasifa tu na mda wote kwa media siyo kama Jembe la Simiyu lililopelekwa Dodoma, hongereni saana pia wana Idodomya. Naamin kabisa watu wa Mbeya watakuwa na furaha sana...
  4. Watu wa Mwanza tumemkosea nini Rais kutuletea Chalamila kuwa Mkuu wa Mkoa? Tumekosa nini Yarabbi!

    Hili suala limenihuzunisha sana. Jiji la Mwanza linaenda pelekewa Chalamila awe Mkuu wa Mkoa. Mbeya wameondolewa a Clown ambaye ameletwa jiji la Mwanza kama adhabu kwetu. Huyu mtu alipaswa apumzishwe. Hakuwahi kuwa na hekima au akili ya kuwa na cheo hicho. Mbeya wanashukuru sana maana...
  5. Rais Samia, bado RC Chalamila na RC Hapi

    Katika awamu ya tano kuna vijana viongozi waliotia fora kutumia madaraka vibaya. Mama Samia amewakonga mioyo watanzania kwa kumuondoa Ole Sabaya, Mkuu wa Wilaya ya Hai, aliyetia fora kwa kuongoza kwa ubabe, uonezi na uporaji. Sasa bado viongozi wawili, RC wa Mbeya Chalamila, mtu asiye na staha...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…