1. Chauma: chama kichanga na mwenyekiti ni Alhaj. Jee lissu atakiweza?
2. NCCR mwenyekiti ni Selasini, anamjua vizuri Lissu kwamba friji , jee atafanya nae kazi?
3. CCM. CCM ni chama kikubwa chenye dola. Lissu akienda huko atapewa cheo apate kiyoyozi, mafauili ya chama wala hayakaribii
4. ACT...