Chamazi is an administrative ward in the Temeke district of the Dar es Salaam Region of Tanzania. In 2016 the Tanzania National Bureau of Statistics report there were 79,705 people in the ward, from 63,650 in 2012.
Mpaka muda hii Kitayose hawajatokea uwanjani kupasha misuli. Bado dkk 18 mpira uanze.
---
Kitayosce FC ilianza mechi dhidi ya Azam ikiwa na wachezaji nane [8], Bodi ya Ligi tulipokea uthibitisho kutoka TFF kuwa wachezaji nane [8] tu wa Kitayosce ndio wanastahili kucheza mechi ya Ligi.
Kikanuni...
🌳 PLOT FOR SALE IN CHAMAZI REAL-ESTATE
_________________________________
#Mladi mpya wa viwanja uliopo chamazi mbande Kilometer 1.5 kutoka uwanja wa mpira wa azam ( AZAMCOMPLEX) .
🌳 Mladi wenye uduma zote muhimu na rafik kwa jamii .
WASILIANA NA WAUSIKA KWA NAMBA ZIFUATAZO
0689357572}...
Kutoka Yanga official page
Amekwenda Azam Sc.
-----
Uongozi wa klabu ya Yanga umethibitisha umefikia uamuzi wa kumuuza mchezaji Feisal Salum maarufu Feitoto kwa klabu ya Azam FC.
Feitoto ameuzwa kwenda Azam FC kwa dau ambalo halijawekwa wazi na ataungana na timu yake mpya baada ya dirisha la...
Kuna wimbi kubwa la wafanyabiashara na biashara kwa ujumla kwa maeneo ya Mbagala kata ya Chamazi: Hii ni kutokana na nyomi la watu:
Siku hizi kumekuwa na biashara nyingi sana, sasa kwa anaeogopa kuanza biashara Mbagala fursa ndo hiyo…
Tafuta sehemu ambazo mji umekuwa
Kwenye matangazo mengi, mf. Kupatana, Facebook market n.k, utakuta matangazo mengi ya nyumba zinazouzwa zipo Mbagala Chamazi.
Ni kwanini? Hii inatia shaka hata kununua nyumba hizo. Kunani Chamanzi?
Wakati mkandarasi mradi awamu ya tatu ya mabasi yaendayo haraka ’mwendokasi’ barabara ya Gongo la Mboto akiwa tayari ameanza kazi, miundombinu ya mradi huo inatarajiwa kufika hadi Chamazi.
Hayo yamesemwa leo Jumanne Novemba 15,2022 jijini humo na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Mabasi Yaendayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.