Leo nimesikiliza nyimbo za Chameleon kama Jamila, Naumia, Shida za dunia na nyingine nyingi, nmegungua kua EastAfrica itaichukua muda mrefu Sana au isipate kabisa msanii aina ya josee, kutunga mashairi, Melody, ujumbe wa nyimbo zake ni kitu kinachoishi miaka na miaka.
Jamaa alikua anatunga...
Huyo mzungu ndiyo Dorotia mwenyewe, Kama uliwahi kusikia Ngoma ya Dorotia toka Kwa Jose Chameleon.Alikua Mpenzi wa Jose na walizaa mtoto mmoja aitwaye Ayla Mayanja
Dr. Jose Chameleon aliivuruga East Africa na ngoma kali sana hit baada ya hit yani tunabandua Ugali tunabadika maharage yani...
Mwanamuziki Jose Chameleon amewaomba radhi mashabiki wake baada ya kumbusu kaka yake Weasel jukwaani, wakati wa tamasha la Gwanga Mujje, kitendo ambacho wengi wamekiita kuwa ni cha kuudhi
Mnamo Februari 24, ndugu hao wawili walikuwa jukwaani wakitumbuiza, wakati Chameleone alipoelekea Weasel na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.