Kundi A katika Ligi ya Mabingwa Afrika, leo kuna mchezo muhimu sana.
MC Alger Vs TP Mazembe pale katika dimba la July 5, kuanzia Saa 4:00 Usiku kwa Saa za Afrika Mashariki.
Mchezo huu ni muhimu sana kwa hatima ya Yanga katika kusonga mbele.
Ikumbukwe MC Alger yupo nafasi ya pili akiwa na...
Habari za mda huu Wana michezo Kila ukiangalia squad ya yanga akiwa anacheza Champions league kuanzia mechi ya kwanza na Al HILAL naona jina la zawadi MAUYA
Nikajua maybe ni kosa la AZAM TV mechi ya juzi na MC ALGER pia jina Hilo limejitokeza
Je yanga mambo yao yanaendeshwa kihuni tu bila...
Mimi Jemedari wa mchongo naumia sana kuona GSM ananunua game. Jambo hili linaharibu ladha ya ligi.
GSM aliinunua Simba akaikanda 5, Azam 4, Vital'O 10, CBE 7. Tafadhali huyu adhibitiwe. Leo nasikia kanunua game ili Simba ipelekewe moto na Al Ahly Tripoli.
Kibaya zaidi kila nikimpigia simu...
Huu ni mfumo mpya au format mpya ambao UEFA wameleta ili team ziweze kutana mapema zile nzuri kuongeza idadi ya match na team shiriki zikiongezeka team 4 zaidi toka team 32 mpaka 36.
Uefa kupitia mfumo mpya ambao utakuwa ni league moja ya msimamo(Table standing) team zote 36,yani 1-36 on...
Habari wapenzi wa soccer.
Young Africans yupo kwenye mashindano makubwa ya CAF Champions League 2024/2025 na Simba Sc yupo kwenye mashindano ya CAF Confederation Cup 2024/2025.
Natamani kila mmoja ashinde kwenye mashindano ambayo yupo yaani Young Africans awe bingwa wa CAF Champions League...
Timu zinazoshiriki kutafuta nafasi kushiriki ya Michuano ya Mabingwa Ya Afrika Kwa Wanawake Kuwakilisha nchi wanachama wa CECAFA ni :
Commercial Bank of Ethiopia (Ethiopia)
Kenya Police Bullets (Kenya)
Yei Joint FC (South Sudan)
Simba Queens (Tanzania)
PVP Buyenzi (Burundi)
Kawempe...
Muda mchache ujao, saa 4:00 Dortumd watamenyana na Real Madrid katika dimba la Wembley pale London.
Ni fainal ya Uefa Champions League, karata yako unampa nani? Twende kazi…
MAZUNGUMZO GROUP LA WATSUP LA CHAMPIONS LEAGUE
Semaji Mamelod : Mnyamaaa 😭😭
Semaji Al Ahly : Pacha naumia sana kwa ajili yako
Semaji Mazembe : Jirani tutakumic sana Champions League
Mimi Mashine : Msijali wanangu narejea punde
Semaji Raja : Ni Mapito tuu hayo Lunyasi mimi miaka miwili...
Kuna quote Moja inasomeka kwa wadhamini wa UEFA CL HEINEKEN BEER kwamba (cheers to all fans men included)
Nimejaribu kutafta namna nielewe nimekosa, wanamichezo tuletane kati apa
BAYER 04 LEVERKUSEN
VS
ATALANTA BC
Mabingwa wa bundesliga bayer leverkusen kumenyana na atalanta fainali ya ligi ya europa.
Naomba kujua maoni yenu! Klabu gani itashinda Europa League Finali leo na kwa nini?
Mchezo wa kwanza wa Fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika unapigwa leo katika dimba la Olympique Hammadi Agrebi baina ya wenyeji Esperance dhidi ya mabingwa watetezi Al Ahly.
Mchezo huo unatarajiwa kupigwa Saa 4:00 Usiku kwa Masaa ya Afrika ya Mashariki.
Updates ==================
30’ Esperance...
Carlo Ancelotti raia wa Italia ana rekodi kubwa ya kuwa kocha aliyefika Fainali 5 na kubeba mataji manne ya Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA Champions League), mara 2 akiwa AC Milan na mara 2 akiwa Real Madrid
Msimu huu 2023/24 amefika Fainali akiwa na Real Madrid ambapo anatarajiwa kucheza dhidi...
Shirika la Kupambana na Dawa za Kulevya Duniani limethibitisha kuwa Tunisia haizingatii Kanuni za Dunia za Kupambana na Dawa za Kulevya na kuiwekea nchi hiyo vikwazo. Sundowns inasubiri tangazo rasmi la CAF tu kucheza na Al Ahly katika CAFCL huku ES Tunis ikishindwa kuwakaribisha Al Ahly katika...
Nimeamka zangu Asubuhi hapa,baada ya kupiga Ishara ya Msalaba kumshukuru Mungu kwa kuniamsha salama,
Nashika simu nakuta Reminder ya kua Leo ni Derby ya Kariakoo Moja ya Derby kubwa sana Afrika Mashariki na moja ya Derby mi saiv naita hata Derby inayoongoza even kusini Mwa Jangwa la Sahara...
Perezida Samia Suluhu Hassan wa Tanzania yashimagije amakipe ya Simba Sports Club na Young Africans yo mu gihugu cye, nyuma yo gusezererwa muri ¼ cy’irangiza cya CAF Champions league.
Young Africans yasezerewe na Mamelodi Sundowns yo muri Afurika y’Epfo kuri penaliti 3-2, nyuma yo kurangiza...
Mamelodi sundowns ni timu yenye CV ya ajabu sana.
Imewai kutwaa kombe la africa mara moja mwaka 2016.
Na hiyo mara moja walitwaa kwa vituko vingi sana. Vinachekesha. Baada ya kushindwa uwanjani waliamua Mpira uchezwe na wanasheria wa mamelodi mahakamani
Mwaka huo 2016 mamelodi alishiriki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.