chan

Chan Kong-sang (listen) (Chinese: 陳港生; born 7 April 1954), known professionally as Jackie Chan, is a Hong Kong martial artist, actor, stuntman, film director, action choreographer, screenwriter, producer, and singer. He is known in the cinematic world for his slapstick acrobatic fighting style, comic timing, use of improvised weapons, and innovative stunts, which he typically performs himself. He has trained in Wushu or Kung Fu and Hapkido, and has been acting since the 1960s, appearing in over 150 films.
Chan is one of the most recognisable and influential cinematic personalities in the world, gaining a widespread following in both the Eastern and Western hemispheres, and has received stars on the Hong Kong Avenue of Stars and the Hollywood Walk of Fame. He has been referenced in various pop songs, cartoons, and video games. He is an operatically trained vocalist and is also a Cantopop and Mandopop star, having released a number of albums and sung many of the theme songs for the films in which he has starred. He is also a globally known philanthropist and has been named as one of the top 10 most charitable celebrities by Forbes magazine. In 2004, film scholar Andrew Willis stated that Chan was "perhaps" the "most recognised star in the world". In 2015, Forbes estimated his net worth to be $350 million, and as of 2016, he was the second-highest paid actor in the world.

View More On Wikipedia.org
  1. Subira the princess

    Maslahi, mishahara duni kwa Polisi chanzo cha rushwa na dhuluma

    Wasalaam. Nimefanya utafiti mdogo kujua kwanini police wanakula rushwa na kudhulumu raia nikagundua ni mishahara duni wanayolipwa na serikali sikivu ya ccm. Police walishaua wafanyabiasha wa madini kutoka mahenge na kuwadhulumu pesa na madini kisha kutangaza wameua majambazi. Dhuluma na uonevu...
  2. Abu Ubaidah Commando

    CHAN FINAL: Morocco yaifunga Mali 2-0 na kutwaa ubingwa

    The Atlas/Morocco wanaandika historia ya kubeba ubingwa wa michuano ya CHAN mara mbili mfululizo. 2018 🏆 2020 🏆 Rekodi kwa miamba ya Atlas. Baada ya kuitungua Mali 2-0 kwenye mchezo wa fainali ya CHAN, timu ya taifa ya Morocco inakuwa timu ya kwanza kutwaa taji hilo mara mbili mfululizo...
  3. Jacobus

    Timu ya Taifa ya mpira wa miguu haijarejea toka CHAN 2021?

    Nimepitia humu sijaona chochote na pia 'website' ya TFF kimya tena hii haina taarifa ya kitu kinachoitwa CHAN 2021. Nimetafuta hii kutaka kufahamu kama TFF wameamua chochote kuhusu kocha wa timu hiyo kutokana na matokeo mabaya tokea kuteuliwa kwa kocha huyo licha ya haya ya CHAN 2021. Watupe...
  4. Lupweko

    Aishi Manula aongoza kwa ubora wa magolikipa CHAN hadi sasa (Round 3)

    Kwa mujibu wa mtandao wa michezo wa Sofascore, golikipa mahiri wa timu ya taifa ya Tanzania na klabu ya Simba, Aishi Manula, hadi sasa ndiye mwenye rating kubwa kuliko magolikipa wote walio na timu zinazoshiriki michuano ya CHAN huko Cameroon. Hii ni hadi round ya tatu inapokamilika hapo jana...
  5. M

    TFF, Benchi la Ufundi la Taifa Stars huko CHAN 2021 nimeshamaliza Kazi kwa Kikosi hiki Namibia leo na Guinea Wiki ijayo wanakufa!

    ANGALIZO Tafadhali kisibadilishwe na pia Kicheze kama ambavyo nimekipanga kwani Kiunyangindo kimeonyesha Mafanikio na tutashinda mechi zilizobakia. Kikosi cha Kuanza kiwe hiki tu.... 1. Aishi Manula 2. Shomary Kapombe 3. Yassin Mustafa 4. Ibrahim Ame ( kama bado hajapona aanze Dickson Job )...
  6. Erythrocyte

    Tunaishukuru ZBC kwa kutuwezesha kuona michuano ya CHAN, wengine wameshindwa

    Napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa uongozi wa ZBC, viongozi wa Zanzibar pamoja na Wananchi wake wote kwa wema wao wa kuamua kutuhurumia na kutumia TV yao ambayo hatuchangii hata senti 5 kipande kwenye uendeshaji wake kutuonyesha michuano hii ya CHAN inayoendelea nchini Cameroon. Bila wao...
  7. vipik2

    Marefa wa CHAN Cameroon

    Nimeangalia jinsi marefa wanavyochezesha Mpira huko Cameroon nikafurahi Sana kuona wapo vizuri na wanajali standards za sheria zote, ndipo nilipopata hamu ya kujua je ni akina nani na wanatoka inchi gani. Kwa mshangao karibu kila inchi imetoa marefa kadhaa lakini Tanzania hatuna hata refa mmoja...
  8. Shadida Salum

    Taifa Stars yaendelea na mazoezi kuelekea CHAN

    Kikosi cha Timu ya taifa "Taifa Stars" kimeendelea na mazoezi leo katika uwanja wa Gymkhana kwa ajili ya kujiandaa na michezo miwili ya kirafiki ya kimataifa dhidi ya DR Congo na mashindano ya CHAN yatakayofanyika Cameroon. Mashindano ya CHAN awali ilikuwa yafanyike kuanzia tarehe 4 hadi 25...
  9. Shadida Salum

    CAF yatangaza tarehe mpya ya fainali za CHAN

    Timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars ilikua na kibarua kizito cha kupindua matokeo dhidi ya timu ya Taifa ya Sudan baada ya kupoteza nyumbani bao 1-0 katika mchezo wa kwanza wa kufuzu fainali za CHAN uliochezwa tarehe 22 Septemba 2019. Licha ya kupoteza nyumbani katika mchezo wa marudiano...
Back
Top Bottom