change

  1. M

    SoC01 Tanzanite kama Sarafu Mtandao Afrika

    WATU maeneo mbalimbali duniani wamekuwa wanasumbuka kupata 'kiwakilishi' sahihi na bora kwenye kubadilishana bidhaa toka dunia kuumbwa. Baada ya uwepo wa DOLA ya Kimarekani na EURO ya Ulaya watu wakadhani mapambano hayo yamefikia tamati. La hasha, bado yanaendelea ! Baada ya majaribio ya kadi...
  2. M

    SoC01 Kiswahili Afrika na jinsi ya kukifanza kukua kiurahisi na kiulaini hali tunaongeza ajira kwa Vijana

    TUSIJIDANGANYE kutaka Kiswahili kuenea fumba na kufumbua duniani. Tutosheke na kukiona Kiswahili kinatawala Afrika hatua kwa hatua. KOKOTE Afrika viongozi, wanasiasa, wasomi na jamii kwa ujumla watu wanazungumzia juu ya fursa za ajira na 'baibai kwa umasikini' kwa vijana. Ila hakuna...
  3. Pascal_TZA

    Yaliyojificha Mochwari, hatosahau, maiti kufufuka, kupakwa makeup aliekaa miaka 7 anahudumia maiti

    Ushawahi kujiuliza nani atakuandaaa siku yako ya mwisho pale mwili utakapotengana na roho, nani atakuosha, nani atakuvisha? au ushajiuliza inakuwaje pale mtu anapofariki katika ajali viungo vyake vya mwili vikatengana, utumbo ukatoka nje? Maswali hayo yakanifanya nifunge safari mpaka Hospitali...
  4. tpaul

    SoC01 Jinsi zawadi za shindano la Stories of Change zinavyoweza kubadili maisha ya washindi

    Uongozi wa mtandao maarufu wa Jamii Forums (JF) umebuni shindano la Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change) kwa wanachama wake. Awamu ya kwanza ya shindano hili itaanza Julai 14 hadi Septemba 15, 2021. Zawadi zilizotangazwa kutolewa ni kama zinavyoonekana kwenye kielelezo...
  5. M

    SoC01 Change in the field of health in Tanzania

    Inadequate and unequally distributed health services are a key impediment to Tanzania's development and have a detrimental influence on the population's health. These shortfalls have the greatest impact on rural areas and impoverished populations. In addition to inadequacies in local...
  6. M

    SoC01 Maboresho ya Nyanja za Uchumi kwa Maendeleo

    MABORESHO YA NYANJA ZA UCHUMI KWA MAENDELEO Maendeleo ya jamii au taifa lolote huchochewa na watu wake, mifumo ya utendaji na uchapakazi. Mabadiliko na udhibiti wa utendaji ni moja ya silaha kubwa katika kuchochea maendeleo na ufanisi ndani ya Taifa. Katika nchi yetu Tanzania kuna haja ya...
  7. M

    Msingi wa mabadiliko

    Watu wengi wanajua wanachopaswa kufanya hapa duniani ili kubadilisha maisha yao na kugusa maisha ya watu wengine katika jamii,lakini changamoto kubwa wanashindwa kuanza kufanya chochote kwa hofu ambayo kimsingi haina mantiki yowote. Hawa ni wale wenye shauku kubwa moyoni mwao kufanya jambo la...
  8. M

    Changa moto za kuelekea kwenye mafanikio

    🛣️ CHANGA MOTO ZA KUELEKEA KWENYE MAFANIKIO ✍🏿 Kila mtu anaye ishi anahitaji kuwa na mafanikio kwa ghalama yoyote ile. Wengi tumekuwa tukikosa kuyaendea malengo yetu ambayo n mafanikio kwa baadhi ya changamoto. 🙏🙏 Naomba ni bainishe baadhi ya changamoto ili uzijue na ukabiliane nazo. 1...
  9. mussaamos

    SoC01 Tutokomeze ulawiti kwa watoto

    Suala kubakwa na kuingiliwa kinyume na maumbile kwa watoto limekuwa likijitokeza Mara kwa Mara hapa nchini. Suala hili linatakiwa kuangaliwa kwa umakini na kutafutiwa mwarobaini wake mapema. Chanzo cha tatizo hili:- (a) Malezi (maadili) mabovu kwa watoto. Nilikuwa nikifanya research kwenye...
  10. noobmaster69

    Everything you ever wanted to know about climate change but were scared to ask.

    What does global warming entail? According to the UN's International Panel on Climate Change, the average global temperature has increased by 1°C, or 2°F, over the past century, due to the Industrial Revolution. Over the course of the twentieth century, global temperature increased by an average...
  11. Sweveboy_tz

    SoC01 Vijana na Ubunifu, Ujuzi, na Maarifa kwenye Soko la Ajira, Ujasiriamali na Kazi

    Tumekuwa tukilalama kuhusu changamoto ya ajira na kazi inayo wakabili vijana ambao ni kundi kubwa kuliko yote Tanzania. Imethibitishwa kuwa wastani wa umri wa Kijana kwa sasa Tanzania ni miaka 17.7. Wengi wamekua wakihoji kama tumetanabaisha maana ya hizi takwimu na jinsi gani kama taifa...
  12. Sweveboy_tz

    Afya sambamba na uchumi

    Afya sambamba na uchumi Changamoto kubwa sana inayotukabiri sisi wa Tanzania pamoja na mataifa mengine yanayoendelea ,ni kwamba tunashindwa kutambua ni jinsi gani afya za wananchi zinaathiri moja kwa moja Uchumi wa Taifa. Iwapo wananchi watakuwa na afya njema basi hata kasi ya kupanda kwa...
  13. The Digital Prowess

    SoC01 It was Jack they spoke to not you, and if you are Jack, change your name

    I’m kidding! But today I want to write to the professionals and the soon to be! As you explore into the horizon of your career, remember no employer or organization has put it in their business objectives to make you rich! Depending on how you got or will get that job, whether it’s successful...
  14. Teargas

    Taxes collected by KRA in 2020 can finance Tanzania budget and still remain with some change

    Total taxes collected by KRA are $16B while Tanzanian total budget for 2021/2022 is $14B. This means that KRA can finance Tanzanian budget na wabaki na change ya $2B KRA surpasses 2020/21 revenue target This is the first time since financial year 2013/14 In Summary •The 2020/2021 revenue...
  15. B

    Fatma Karume: Samia Suluhu's destiny is to change Tanzania's constitution

    #EXCLUSIVE: " Samia Suluhu's destiny is to change Tanzania's constitution." Fatma Karume Former President of Tanganyika Law Society (TLS) Ms. Fatuma Karume exclusively speaks to Mwanzo TV's Leah Ngari on human rights violation in her country, why citizens have no faith in the current...
  16. Patra31

    Change is inevitable, wameamua kutubadirishia

    Hii ni motor grader Tulikuwa na hizi 9 joysticks Sahivi ni 2 joysticks bila steering wheel
  17. TIASSA

    Bureau de change zimerudi?

    Nimeona bureau de change moja inaitwa Kadco. Je hawa wameufata vigezo gani hadi kuruhusiwa?
  18. Masokotz

    It is time to Change your mind

    Ninapoandika andiko hili asubuhi,Mfukoni ni fedha TASLIM SHILING 5000,Benki nina Pesa Kidogo,Vijiasset kidogo sana,Madeni Makubwa sana na Malengo Makubwa sana.Najua hata wewe unayesoma hii unaweza kuwa na hali kama yangu,Kwa ufupi I am broke.I have been broke all my life so it is not something...
  19. MK254

    KeNHA Moves to Change Construction Time of Elevated Road in Nairobi

    Design plans for the Lang'ata Road- Mbagathi Way junction in Nairobi County TWITTER The Kenya National Highways Authority (KeNHA) is seeking to amend the construction times of the planned elevated traffic interchange at the current Lang'ata Road-Mbagathi Way junction referred to as the T-Mall...
  20. Kevin85ify

    Kenya: Multi Billion shilling projects that will change lives for slum dwellers

    Hospitals Nairobi metropolitan services (nms) has started the construction of 24 public hospitals in all the informal settlements in Nairobi. 10 of the new hospitals will be level two and three and the rest will be level 4 hospitals. All the hospitals will require kes 2.8 billion to construct...
Back
Top Bottom