WATU maeneo mbalimbali duniani wamekuwa wanasumbuka kupata 'kiwakilishi' sahihi na bora kwenye kubadilishana bidhaa toka dunia kuumbwa.
Baada ya uwepo wa DOLA ya Kimarekani na EURO ya Ulaya watu wakadhani mapambano hayo yamefikia tamati. La hasha, bado yanaendelea !
Baada ya majaribio ya kadi...
TUSIJIDANGANYE kutaka Kiswahili kuenea fumba na kufumbua duniani. Tutosheke na kukiona Kiswahili kinatawala Afrika hatua kwa hatua.
KOKOTE Afrika viongozi, wanasiasa, wasomi na jamii kwa ujumla watu wanazungumzia juu ya fursa za ajira na 'baibai kwa umasikini' kwa vijana. Ila hakuna...
Ushawahi kujiuliza nani atakuandaaa siku yako ya mwisho pale mwili utakapotengana na roho, nani atakuosha, nani atakuvisha? au ushajiuliza inakuwaje pale mtu anapofariki katika ajali viungo vyake vya mwili vikatengana, utumbo ukatoka nje?
Maswali hayo yakanifanya nifunge safari mpaka Hospitali...
Uongozi wa mtandao maarufu wa Jamii Forums (JF) umebuni shindano la Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change) kwa wanachama wake. Awamu ya kwanza ya shindano hili itaanza Julai 14 hadi Septemba 15, 2021. Zawadi zilizotangazwa kutolewa ni kama zinavyoonekana kwenye kielelezo...
Inadequate and unequally distributed health services are a key impediment to Tanzania's development and have a detrimental influence on the population's health. These shortfalls have the greatest impact on rural areas and impoverished populations. In addition to inadequacies in local...
MABORESHO YA NYANJA ZA UCHUMI KWA MAENDELEO
Maendeleo ya jamii au taifa lolote huchochewa na watu wake, mifumo ya utendaji na uchapakazi. Mabadiliko na udhibiti wa utendaji ni moja ya silaha kubwa katika kuchochea maendeleo na ufanisi ndani ya Taifa. Katika nchi yetu Tanzania kuna haja ya...
Watu wengi wanajua wanachopaswa kufanya hapa duniani ili kubadilisha maisha yao na kugusa maisha ya watu wengine katika jamii,lakini changamoto kubwa wanashindwa kuanza kufanya chochote kwa hofu ambayo kimsingi haina mantiki yowote.
Hawa ni wale wenye shauku kubwa moyoni mwao kufanya jambo la...
🛣️ CHANGA MOTO ZA KUELEKEA KWENYE MAFANIKIO
✍🏿 Kila mtu anaye ishi anahitaji kuwa na mafanikio kwa ghalama yoyote ile.
Wengi tumekuwa tukikosa kuyaendea malengo yetu ambayo n mafanikio kwa baadhi ya changamoto.
🙏🙏 Naomba ni bainishe baadhi ya changamoto ili uzijue na ukabiliane nazo.
1...
Suala kubakwa na kuingiliwa kinyume na maumbile kwa watoto limekuwa likijitokeza Mara kwa Mara hapa nchini. Suala hili linatakiwa kuangaliwa kwa umakini na kutafutiwa mwarobaini wake mapema.
Chanzo cha tatizo hili:-
(a) Malezi (maadili) mabovu kwa watoto. Nilikuwa nikifanya research kwenye...
What does global warming entail?
According to the UN's International Panel on Climate Change, the average global temperature has increased by 1°C, or 2°F, over the past century, due to the Industrial Revolution. Over the course of the twentieth century, global temperature increased by an average...
Tumekuwa tukilalama kuhusu changamoto ya ajira na kazi inayo wakabili vijana ambao ni kundi kubwa kuliko yote Tanzania. Imethibitishwa kuwa wastani wa umri wa Kijana kwa sasa Tanzania ni miaka 17.7.
Wengi wamekua wakihoji kama tumetanabaisha maana ya hizi takwimu na jinsi gani kama taifa...
Afya sambamba na uchumi
Changamoto kubwa sana inayotukabiri sisi wa Tanzania pamoja na mataifa mengine yanayoendelea ,ni kwamba tunashindwa kutambua ni jinsi gani afya za wananchi zinaathiri moja kwa moja Uchumi wa Taifa.
Iwapo wananchi watakuwa na afya njema basi hata kasi ya kupanda kwa...
I’m kidding! But today I want to write to the professionals and the soon to be!
As you explore into the horizon of your career, remember no employer or organization has put it in their business objectives to make you rich! Depending on how you got or will get that job, whether it’s successful...
Total taxes collected by KRA are $16B while Tanzanian total budget for 2021/2022 is $14B. This means that KRA can finance Tanzanian budget na wabaki na change ya $2B
KRA surpasses 2020/21 revenue target
This is the first time since financial year 2013/14
In Summary
•The 2020/2021 revenue...
#EXCLUSIVE: " Samia Suluhu's destiny is to change Tanzania's constitution." Fatma Karume
Former President of Tanganyika Law Society (TLS) Ms. Fatuma Karume exclusively speaks to Mwanzo TV's Leah Ngari on human rights violation in her country, why citizens have no faith in the current...
Ninapoandika andiko hili asubuhi,Mfukoni ni fedha TASLIM SHILING 5000,Benki nina Pesa Kidogo,Vijiasset kidogo sana,Madeni Makubwa sana na Malengo Makubwa sana.Najua hata wewe unayesoma hii unaweza kuwa na hali kama yangu,Kwa ufupi I am broke.I have been broke all my life so it is not something...
Design plans for the Lang'ata Road- Mbagathi Way junction in Nairobi County
TWITTER
The Kenya National Highways Authority (KeNHA) is seeking to amend the construction times of the planned elevated traffic interchange at the current Lang'ata Road-Mbagathi Way junction referred to as the T-Mall...
Hospitals
Nairobi metropolitan services (nms) has started the construction of 24 public hospitals in all the informal settlements in Nairobi.
10 of the new hospitals will be level two and three and the rest will be level 4 hospitals.
All the hospitals will require kes 2.8 billion to construct...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.