chanika

Chanika is an administrative ward in the Ilala district of the Dar es Salaam Region of Tanzania. According to the 2002 census, the ward has a total population of 23,450.

View More On Wikipedia.org
  1. J

    Kiwanja kinauzwa Chanika

    Habari Kiwanja kinauzwa Chanika maeneo ya Buyuni, Kigezi Kina ukubwa wa 1600 sqm bei ni milioni 18, ama ukitaka kukatiwa pia sawa Maelezo zaidi DM
  2. Enkaly

    Kero ya daraja la Nyiburu kwa wakazi wa Chanika

    Daraja la Nyiburu ni daraja pekee ambalo limekua kero kwa wakazi wa Chanika. Madiwani wapo, wabunge wapo hivi inahitajika nin cha ziada ambacho kama wakazi tunaweza kuelezwa mkandarasi alipewa muda gani kumaliza hilo daraja? Sasa ni zaidi ya miwili kama wanajenga flyover kweli? Daraja la...
  3. D

    Usalama wa Raia na Mali zao: Vibaka waliokata watu mapanga nyumba 21 Chanika ni fedheha isiyovumilika

    Taarifa inasema! Vibaka walivamia katika kata tatu huko chanika na kuathili nyumba 21 Ingawa haijajulikani rasmi idadi halisi ya vibaka hao lakini haiondoi ukweli kwamba kuna uzembe katika mfumo wa ulinzi. Tukiaachana na intelijensia ya kushindwa kuwabaini hao vibaka mapema! Inashangaza kuona...
  4. STREET SMART

    Plot4Sale Kiwanja/ Shamba linauzwa Heka Moja Chanika Mwanzo Mgumu

    Habari za asubuhi wadau, nimeshikwa na shida nauza kiwanja changu kilichopo Mwanzo mgumu chanika. Ukubwa hekari moja Bei 2.5m maongezi yapo Mawasiliano piga simu 0718658747
  5. M

    House4Rent Je, unahitaji Nyumba ya Kupanga, Apartment ama Nyumba ya kununua? Karibu katika uzi huu

    Nyumba Iko Kimara Suka - 1Km kutoka Morogoro road, kushoto ukiwa kama unakwenda Mbezi. Sifa za nyumba: Ziko mbili ndani ya fence 1 Vyumba 3 kimoja Master AC mbili (Sitting room moja na master bedroom moja) Jiko la ndani + Stoo ya ndani + Public toilet ndani Feni za juu vyumba vyote Sliding...
  6. W

    House4Sale Nyumba inauzwa Chanika

    Dalali_wa_ kuuza_ nyumba. NYUMBA_INAUZWA Chanika_Lubakaya _____________________________ NYUMBA INAVYUMBA VINNE VYA KULALA NA CHUMBA KIMOJA NI MASTER BEDROOM _____________________________ # Sebule kubwa # Dining room # Jiko la kisasa # Public toilet # Kisima kipo # Full tiles na gypsum #...
  7. hp4510

    Nahitaji Eneo la kununua kwa matumizi ya biashara Chanika

    Wakuu Hari ya Mwaka Mpya Naitaji Eneo la kununua Kwa ajili ya kufanyia Biashara, Eneo liwe karibu kabisa na Barabarani, Napenda Sana chanika, kama ni chanika mwisho au sehemu yoyote sio nje ya chanika Mimi Niko Dar so mwenye eneo kama Hilo ambae analiuza please naomba unidm Kwa maelezo zaidi...
  8. hp4510

    Nahitaji eneo la kununua la biashara Chanika, Dar es Salaam

    Wakuu Hari ya Mwaka Mpya Naitaji Eneo la kununu Kwa ajili ya kufanyia Biashara, Eneo liwe karibu kabisa na Barabarani, Napenda Sana chanika, kama ni chanika mwisho au sehemu yoyote sio nje ya chanika Mimi Niko Dar so mwenye eneo kama Hilo ambae analiuza please naomba unidm Kwa maelezo zaidi
  9. M

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Dar es alaam - Chanika

    Habari za leo wana JF. Ninauza kiwanja changu ambacho kipo Chanika Zingiziwa. Kina hati ya serikali ya mtaa. Kina ukubwa wa sqm 406. Kipo eneo la tambarare, udongo wake ni kichanga. Ni sehemu iliyozungukwa na makazi ya watu. Kipo karibu na Zahanati ya Zingiziwa. Bei ni milioni nne na laki...
  10. B

    Plot4Sale Kiwanja chenye msingi kilichopo Chanika kinauzwa

    Ukubwa 20*20m Msingi wa kisasa Tofali mia mbili zipo Gari inafika Umeme nguzo ipo site Bei 5m, mazungumzo yapo 0712464478
  11. My Son drink water

    IGP Sirro, huyo ni mtoto wa nani?

    IGP Sirro jana umetoa kauli nzito na ngumu mno kutolewa na kiongozi wa aina yako na mtu mwenye umri mkubwa kama wewe na mtu anayeheshimika kwa cheo chake kama wewe. Angalia sana ulimi wako jinsi unenavyo, muombe sana Mungu akupe hekima ili kabla ya kutamka neno lolote hekima ikutangulie. Jana...
Back
Top Bottom